#COVID19 Prof. Makubi: Wanasayansi Wazalendo wanakaribia kutengeneza Chanjo ya Corona ya Kitanzania

#COVID19 Prof. Makubi: Wanasayansi Wazalendo wanakaribia kutengeneza Chanjo ya Corona ya Kitanzania

cha ajabu wamekandia za kutoka nje wakidai chanjo lazima iwe kwenye majaribio si chini ya miaka kumi ,. sasa hv nao wanatoa yao.. hii ndo itakuwa ya hatar sababu ni ya kimihemuko
Halafu huyu Makubi si ndio huyu aliyekuwa daktari wa jiwe? Kama alishindwa hata kututangazia yaliyompata Jiwe hii chanjo si itatupeleka alipo Jiwe.
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.

Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.

Source: ITV habari
Hhahahahaha......................hii ni chai ya siturungi, hata hilo wazo walikuwa nalo? kwa hiyo beberu akifungua operation zake za kutengeneza chanjo hapa tandale kwa mfuga mbwa tayari hao ni wanasayansi wazalendo......
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa hawa, aisee hawa wanaweza kutuua kimasihara kabisa, eti wanatengeneza chanjo ya corona[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo inaweza kuwa na madhara makubwa na ya haraka kuliko hizi za Johnson & astrazeneca
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.

Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.

Source: ITV habari
Sawa,tutaanza kuwachanja wenyewe kwanza
 
Mkuu ulivyokomment nimeishia kucheka tu maana akili zetu wabongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Soon tutaibuka na chanjo yetu ya kupaka sio sindano tena.
Nchi yetu ina wanasayansi "kimu" wengi kama alivyokuwa babu wa Loliondo[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Comments hizi zimenifanya nicheke kama chizi
 
Tatizo sio kutengeneza..., tatizo ni research ya kutosha na investment kubwa inayotumika...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sahihi kabisa mkuu, hivi nani atakubali kuchomwa hiyo chanjo!
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona...
Soon mtaanza kuchanja matango pori. Je unafikiri wapinzani wa hizi chanjo hawatazipinga kwani watadai inatakiwa mchukue miaka 10 hadi 15 Bwana Katibu Mkuu.
 
Hongereni na natumaini inawezekana; kwani hao waliogundua chanjo wamesoma mbinguni;
Actually waliogundua chanjo / aliyegundua wala hakusoma ilikuwa through observation (good luck)... romour has it ilikuwa ni mtumwa mtu mweusi
Onesimus (late 1600s–1700s[1]) was an African man who was instrumental in the mitigation of the impact of a smallpox outbreak in Boston, Massachusetts. His birth name is unknown. He was enslaved and, in 1706, was given to the New England Puritan minister Cotton Mather, who renamed him. Onesimus introduced Mather to the principle and procedure of inoculation to prevent the disease, which laid the foundation for the development of vaccines.
si wengine mlisoma nao mkawagaraza darasani... mbona nchi nyingine wanaweza?
Walio forefront katika haya mambo ya medicine ni corporations, mashirika makubwa na investment kubwa.., issue sio uelewa tu, bali ni investment ya muda na funds za kutosha, unaweza ukafanya projects 100; ikafanikiwa moja; na ikishafanikiwa kuna wizi na watu kutumia investment yako ya uguduzi wao kutengeneza na kuuza cheap; (sasa wewe ili kurudisha pesa zako inabidi uwe a powerhouse ili uweze kuweka patents na kuwa-sue wanaoiga bila kukulipa)
Inabidi kuwa wabunifu tu kuangaliana na mazingira yetu (chanjo zinazohitaji kuhifadhiwa kwenye baridi kali hazituwezi); chanjo zinazoharibika mapema hazituwezi... chanjo ni sayansi tu.. kama mnavyo vinavyotakiwa kwanini msiweze.?

I FULLY SUPPORT YOUR EFFORTS.. ni bora ujaribu ushindwe, kuliko ushindwe usijaribu!
Katika afya za watu hili sio kama kutengeneza viatu kwamba visipodumu unanunua kipya.., hizi ni afya za watu..., Nakumbuka kuna chanjo ilileta madhara Nigeria, kampuni husika ikawa sued na kuwafidia walioathirika (hata kama fidia haiwezi kurudisha uhai ila inaleta responsibility na watu kuwajibika).

Ni mengi ya kujaribu ila sio kwenye afya za watu, (sio kwamba hatuna akili bali investment inayohitajika ni kubwa na return on investments sio guaranteed) Hata wahindi wenye pharamaceuticals nyingi wanachofanya ni research kufanywa na wengine wenyewe wanafanya productions

Kwahio kabla hatujaanza kwenye chanjo hizo akili tupeleke kwenye irrigation, kuhakikisha tunajitegemea kwenye mavazi, Battery, Toothpicks, Radio, n.k. hayo mengine nashauri hao magwiji wetu madaktari badala ya kufanya haraka kwenye Corona waendelee kufanya research kwenye miti shamba yetu ambayo imekuwa ikitumika kutibu, magonjwa yetu miaka na miaka kuona ni kwanini inafanya kazi na kuiboresha zaidi.

Au wale wanaosema kila siku wanatibu mifupa, ukimwi, cancer n.k. waulizwe na tiba zao ziwe documented na accredited by WHO ili tuwasaidie ndugu zetu wa ulimwengu mzima
 
Tusidanganyane, Tanzania hatuna uwezo, utaalamu, wala vifaa vya kutengeneza chanjo ya corona.

Maabara za kutengeneza hiyo chanjo hatuna, achilia mbali gharama za kuitengeneza hiyo chanjo.

Narudia tena kusema; "tusidanganyane"
 
Ile juisi ya wizara kwa hisani ya Dr. Gwajima & husband imefeli kwani?View attachment 1895956
Hii picha ina maswali mengi .

Kitu kilichosaidia kwa kiwango kikubwa chanjo ya covid kupatikana kwa muda mfupi wazungu ( USA, UK, Russia) walitumia program za kisayansi za kompyuta Artificial intelligency model (AI) za kiwango cha juu , sijui kama Afrika yetu zipo.
 
Back
Top Bottom