#COVID19 Prof. Makubi: Wanasayansi Wazalendo wanakaribia kutengeneza Chanjo ya Corona ya Kitanzania

#COVID19 Prof. Makubi: Wanasayansi Wazalendo wanakaribia kutengeneza Chanjo ya Corona ya Kitanzania

Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.

Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.

Source: ITV habari
Hongereni na natumaini inawezekana; kwani hao waliogundua chanjo wamesoma mbinguni; si wengine mlisoma nao mkawagaraza darasani... mbona nchi nyingine wanaweza? Inabidi kuwa wabunifu tu kuangaliana na mazingira yetu (chanjo zinazohitaji kuhifadhiwa kwenye baridi kali hazituwezi); chanjo zinazoharibika mapema hazituwezi... chanjo ni sayansi tu.. kama mnavyo vinavyotakiwa kwanini msiweze.?

I FULLY SUPPORT YOUR EFFORTS.. ni bora ujaribu ushindwe, kuliko ushindwe usijaribu!
 
Mhh! ni lini hiyo chanjo wameanza kujaribu kuitengeneza? Mbona kimya kimya hivyo!!!
 
Asante sana umesoma vizuri sana mawazo yangu. Kwa mara nyingine asante sana.
===
Kwa sababu za kiusalama ilitakiwa iwe siri mpaka chanjo ipatikane......vinginevyo hujuma ipo nje nje! Hatujasahau wataalamu wa Iran walivyouliwa kwa mazingira tata!

I hope hatawaonyesha wafanyabiashara wa chanjo, hao wataalam wako wapi na ni akina nani. Kumbuka ccm hawaachianagi vikombe vya maji katika mikutano yao.
 
Hizi ndizo habari tunataka kusikia, sio ujinga ujinga tu kama vingwendu.
Changa la macho hili ili washawishi watu wachanje kuwa za kwetu. Walishindwa nini kipindi JPM anawashawishi watengeneze chanjo zetu, mask zetu nk. Watanzania sisi we are not smart. Tunapenda vya denzo
 
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.

Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.

Source: ITV habari
Hiyo ndiyo itatumaliza
 
Back
Top Bottom