TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Urudishe hela zao wale waliokupa kandarasi ya kupigia debe chanjo zao!Hii chanjo ndio itakuwa hatari kwa maisha ya kiumbe hai chochote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urudishe hela zao wale waliokupa kandarasi ya kupigia debe chanjo zao!Hii chanjo ndio itakuwa hatari kwa maisha ya kiumbe hai chochote.
Hongereni na natumaini inawezekana; kwani hao waliogundua chanjo wamesoma mbinguni; si wengine mlisoma nao mkawagaraza darasani... mbona nchi nyingine wanaweza? Inabidi kuwa wabunifu tu kuangaliana na mazingira yetu (chanjo zinazohitaji kuhifadhiwa kwenye baridi kali hazituwezi); chanjo zinazoharibika mapema hazituwezi... chanjo ni sayansi tu.. kama mnavyo vinavyotakiwa kwanini msiweze.?Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.
Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.
Source: ITV habari
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa umeniamsha usingizini na kichekoHii chanjo ndio itakuwa hatari kwa maisha ya kiumbe hai chochote.
Hivi hawa hapa si Doroth Gwajima na Mollel?....Au nafananisha? 😳Ile juisi ya wizara kwa hisani ya Dr. Gwajima & husband imefeli kwani?View attachment 1895956
Wizara ya Afya, Serikali ya JMT, na WHO!Nani ataithibitisha?
Asante sana umesoma vizuri sana mawazo yangu. Kwa mara nyingine asante sana.
===
Kwa sababu za kiusalama ilitakiwa iwe siri mpaka chanjo ipatikane......vinginevyo hujuma ipo nje nje! Hatujasahau wataalamu wa Iran walivyouliwa kwa mazingira tata!
Kikubwa wajibu maswali watakayoulizwa bila kubabaika.Chanjo ya kizalendo inakuja.
Wanaokataa kuchanja kwa kusema chanjo za kibeberu wakose kisingizio.
Ndio Doroth na Mollel wakiwakilisha wizaraHivi hawa hapa si Doroth Gwajima na Mollel?....Au nafananisha? 😳
Changa la macho hili ili washawishi watu wachanje kuwa za kwetu. Walishindwa nini kipindi JPM anawashawishi watengeneze chanjo zetu, mask zetu nk. Watanzania sisi we are not smart. Tunapenda vya denzoHizi ndizo habari tunataka kusikia, sio ujinga ujinga tu kama vingwendu.
Hiyo ndiyo itatumalizaKatibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.
Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.
Source: ITV habari
WHO,Nani ataithibitisha?