Nadhani kuna umri mtu ukifikia kuna mambo inapaswa kuwaachia vijana, matumizi ya vitu kama facebook, tweeter n.k.
Hahahah vasco da gama alisiende tena. Ila nilikuwa najua kuwa kuna uprofesa mwingine unapewa kutokana na uvumbuzi au jambo special ambalo mtu kafanya lenye manufaa katika nchi au jamiiAlipewa na chuo kimoja huko china na kila mtu alishangaa,it was abnormal,yaani mtu anapewaje uprof ,nadhani hata yeye hakwekwenda kuupokea maana aliona ni joke
Tahadhari ndio kuokoa maisha ya WENGI. Huyo sio wa kuimba mapambio kama hao mnaowapenda na kusifu IQ zao.Ohh kumbe, nilifikiri ni kuokoa maisha kwanza halafu ndio twitter.
Unaweza mtaja Prof mmoja wa aina hiyo?Hahahah vasco da gama alisiende tena. Ila nilikuwa najua kuwa kuna uprofesa mwingine unapewa kutokana na uvumbuzi au jambo special ambalo mtu kafanya lenye manufaa katika nchi au jamii
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Nyerere alitengeneza kizazi kinachoabudu utawala, kinachoimba mapambio tu hata kama hayana maana.umewataja vijana wa nyerere waliopelekwa ulaya nje ya nchi ili waje kusaidia taifa umemtaja hapo ben mkapa,jk kikwete,salim a salim,mwandosya.n.k
sasa mbona badala ya kusaidia taifa wamezidi kulizamisha taifa,
mikataba mibovu na ya aibu chini ya tawala za kama ben mkapa,mkapa anaongoza kwa kufanya madudu mengi wakati wa utawala wake.
napata mashaka na elimu ya vijana wa nyerere waliyopatiwa huko ulaya na mabeberu kuja kusaidia taifa ni elimu ya aina gani mpaka wanafanya madudu ya aibu wao wakiwa watawala ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Globally?? 🙄🙄Idiot! Kwa hiyo asitweet? Prof anatweet mara moja kwa mwaka, akitweet inatrend globally..
Sent using Jamii Forums mobile app
3
Sasa mtu kasoma zuoni college mochwari maintenance atamjulia wapi nguli huyo !!pale dit ameweka record ambayo labda itavunjwa 2090Wewe ni moja wa wapumbavu
Huyo Mark ni Professor wa Electronics and Electrical engineering,Hao ndio vijana wa Nyerere aliowaamini na kuwatuna wakapate maarifa ulaya na kuja kulitumikia Taifa
Amefundisha University of Dar es Salaam sana
Wapo akina Homel Mwakyusa hao ni vijana wa Nyerere
Unapoongelea vijana wa Nyerere basi hilo ni kundi la kina JK,Ben Mkapa,Salim Ahmed,Mwakyusa,Mwandosya
Kiongozi huyo Mwandosya na Mwakyusa ni moja ya watu hatari sana sana
Wamekwisha staafu
Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee
You are gifted fool
Tweeter mbona ndio uwanja wa maelites dniani kote? Akina Obama, Clinton, Ramaphosa, Odinga, Trump, Kikwete n.k wote wapo active tweeter, au huingiagi Tweeter?Ndio maana nikatanguliza neno " Nadhani" kwani huo ni mtazamo wangu kwamba kuna umri mtu ukifika matumizi ya mitandao ya kijamii unaachana nayo.
Prof kitila si alikuwa jalalani tu hapo juzi katiKwamba ukiitwa profesaa lazima ufundishe? Prof Lipumba na Prof Kitila wanafundisha wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tahadhari ndio kuokoa maisha ya WENGI. Huyo sio wa kuimba mapambio kama hao mnaowapenda na kusifu IQ zao.
Uzuri muda utakuja weka sawa yote.
Hahahaha nadhani ni Prof pekee wa aina hiyo hapa duniani
Unanizidi, umetangulia kuonyesha usivyo na thamaniMkuu mbona hata wewe huna faida yeyote bwashee.
Unalazimisha uonekane una thamani kumbe huna.Unanizidi, umetangulia kuonyesha usivyo na thamani
Ujinga wa mgonjwa uishambulie wizara na Rais?Tweet hii ya Prof. Mark Mwandosya aliyoitoa leo inaacha ujumbe mzito kwa wizara ya afya ambayo kimsingi imegeuka kuwa wizara ya kutoa matangazo zaidi. Mbaya zaidi kwa sasa wizara hiyo imevurugwa baada ya hotuba ya juzi na hawajui waende na lipi. Kujifukiza ama? Wagonjwa wameamua kujiongeza.
View attachment 1431217
Jikite kwenye mada , kapuku wee !Hivi huyo Mzee ni Profesa wa fani gani? Mbona hafundishi popote?
mkuu ficem ni walewale tu kama yule alouza nyumba public kwa hawarah, na ako na hotel anayoirun hawara yake mwingine, juzjuz kamzalisha wazir tena mke wa mtuHuyu aliyeuza TTCL kwa bei ya mkeka?
Na offer ya mwanaye kusomeshwa bure SA.?
Sent using Jamii Forums mobile app