Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Alipewa na chuo kimoja huko china na kila mtu alishangaa,it was abnormal,yaani mtu anapewaje uprof ,nadhani hata yeye hakwekwenda kuupokea maana aliona ni joke
Hahahah vasco da gama alisiende tena. Ila nilikuwa najua kuwa kuna uprofesa mwingine unapewa kutokana na uvumbuzi au jambo special ambalo mtu kafanya lenye manufaa katika nchi au jamii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ohh kumbe, nilifikiri ni kuokoa maisha kwanza halafu ndio twitter.
Tahadhari ndio kuokoa maisha ya WENGI. Huyo sio wa kuimba mapambio kama hao mnaowapenda na kusifu IQ zao.
Uzuri muda utakuja weka sawa yote.
 
umewataja vijana wa nyerere waliopelekwa ulaya nje ya nchi ili waje kusaidia taifa umemtaja hapo ben mkapa,jk kikwete,salim a salim,mwandosya.n.k

sasa mbona badala ya kusaidia taifa wamezidi kulizamisha taifa,
mikataba mibovu na ya aibu chini ya tawala za kama ben mkapa,mkapa anaongoza kwa kufanya madudu mengi wakati wa utawala wake.

napata mashaka na elimu ya vijana wa nyerere waliyopatiwa huko ulaya na mabeberu kuja kusaidia taifa ni elimu ya aina gani mpaka wanafanya madudu ya aibu wao wakiwa watawala ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Nyerere alitengeneza kizazi kinachoabudu utawala, kinachoimba mapambio tu hata kama hayana maana.

Ni kizazi kilichokuwa na njaa ya kutisha lakini hakikuwa na chembe ya uzalendo hata kidogo.

Ni kizazi hiki cha Nyerere ndiyo kiligeuza rushwa kuwa mfumo rasmi wa maisha ya viongozi na kwamba kupewa nafasi ya uongozi ulikuwa ulaji na siyo utumishi.

Inasikitisha sana kizazi hiki wakati Nyerere anakitengeneza alihakikisha kinasoma bure, kula bure, kulala bure na kunya bure lakini ndiyo kilichokuja kuwatumbukiza watanzania kwenye maisha ya ajabu kuwahi kuyapata.


It is the worthless generation this nation has ever had.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni moja wa wapumbavu

Huyo Mark ni Professor wa Electronics and Electrical engineering,Hao ndio vijana wa Nyerere aliowaamini na kuwatuna wakapate maarifa ulaya na kuja kulitumikia Taifa
Amefundisha University of Dar es Salaam sana

Wapo akina Homel Mwakyusa hao ni vijana wa Nyerere

Unapoongelea vijana wa Nyerere basi hilo ni kundi la kina JK,Ben Mkapa,Salim Ahmed,Mwakyusa,Mwandosya

Kiongozi huyo Mwandosya na Mwakyusa ni moja ya watu hatari sana sana

Wamekwisha staafu

Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee

You are gifted fool
Sasa mtu kasoma zuoni college mochwari maintenance atamjulia wapi nguli huyo !!pale dit ameweka record ambayo labda itavunjwa 2090

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana nikatanguliza neno " Nadhani" kwani huo ni mtazamo wangu kwamba kuna umri mtu ukifika matumizi ya mitandao ya kijamii unaachana nayo.
Tweeter mbona ndio uwanja wa maelites dniani kote? Akina Obama, Clinton, Ramaphosa, Odinga, Trump, Kikwete n.k wote wapo active tweeter, au huingiagi Tweeter?
 
Tahadhari ndio kuokoa maisha ya WENGI. Huyo sio wa kuimba mapambio kama hao mnaowapenda na kusifu IQ zao.
Uzuri muda utakuja weka sawa yote.


Kwa kawaida angewasiliana na Mamlaka husika kwanza moja kwa moja ili kujua kulikoni halafu ndio angeenda twitter, sasa anashindana na Mangi Kimambi kuwa wa kwanza? Kumbuka mgonjwa kutoroka ni kawaida wengine wana psychological problems, ...
 
Tweet hii ya Prof. Mark Mwandosya aliyoitoa leo inaacha ujumbe mzito kwa wizara ya afya ambayo kimsingi imegeuka kuwa wizara ya kutoa matangazo zaidi. Mbaya zaidi kwa sasa wizara hiyo imevurugwa baada ya hotuba ya juzi na hawajui waende na lipi. Kujifukiza ama? Wagonjwa wameamua kujiongeza.
View attachment 1431217
Ujinga wa mgonjwa uishambulie wizara na Rais?

Na hii imebabishwa na hotuba ya Rais na wizara yetu ya afya?...

Moscow Coronavirus Patient Escapes Hospital Quarantine - The Moscow Times
 
Back
Top Bottom