Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Prof. Mark Mwandosya: Mgonjwa wa COVID 19 amekamatwa km 160 kutoka Mbeya mjini baada ya kutoroka hospitali

Mmmmh Barbarosa , unanitia mashaka sana kwa kutomfahamu Prof. Mwandosya ni nani Tanzania


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu huyu ni uvccm wa aina ya bashite ams muro ,hao ndo tunategemea watuletee Tanzania ya viwanda
 
Lipumba ni Professor anafundisha wapi?
Kwani kila Professor ni lazima afundishe?
Unajua maana na tafsiri ya Professor wewe?
MATAGA at work even in senselessly issues!

Sent using Jamii Forums mobile app


Ndiyo! Kila Profesa lazima afundishe, au kufanya research Chuoni au Research Institute yoyote, kama hafundishi na kastaafu anaitwa emeritus Profesa!
 
Cha ajabu kipi hapo?

Chadema wanadandia kila jambo
 
Wewe ni moja wa wapumbavu

Huyo Mark ni Professor wa Electronics and Electrical engineering,Hao ndio vijana wa Nyerere aliowaamini na kuwatuna wakapate maarifa ulaya na kuja kulitumikia Taifa
Amefundisha University of Dar es Salaam sana

Wapo akina Homel Mwakyusa hao ni vijana wa Nyerere

Unapoongelea vijana wa Nyerere basi hilo ni kundi la kina JK,Ben Mkapa,Salim Ahmed,Mwakyusa,Mwandosya

Kiongozi huyo Mwandosya na Mwakyusa ni moja ya watu hatari sana sana

Wamekwisha staafu

Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee

You are gifted fool
umewataja vijana wa nyerere waliopelekwa ulaya nje ya nchi ili waje kusaidia taifa umemtaja hapo ben mkapa,jk kikwete,salim a salim,mwandosya.n.k

sasa mbona badala ya kusaidia taifa wamezidi kulizamisha taifa,
mikataba mibovu na ya aibu chini ya tawala za kama ben mkapa,mkapa anaongoza kwa kufanya madudu mengi wakati wa utawala wake.

napata mashaka na elimu ya vijana wa nyerere waliyopatiwa huko ulaya na mabeberu kuja kusaidia taifa ni elimu ya aina gani mpaka wanafanya madudu ya aibu wao wakiwa watawala ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukisikia Bongo kuna Maproffesa wawili tu basi ni Prof. Mwandosya na Prof. Luhanga


Mbona wapo wengi sana wanaotumia hiyo Profesa au wao ndio wana hati miliki, BTW kama umewasifia hivyo ni lazima kuna makubwa wamefanya unaweza kuyaweka hapa?
 
Duuh! Jamaa kauliza ndio unamwita mpumbavu siyo fair mkuu
Wewe ni moja wa wapumbavu

Huyo Mark ni Professor wa Electronics and Electrical engineering,Hao ndio vijana wa Nyerere aliowaamini na kuwatuna wakapate maarifa ulaya na kuja kulitumikia Taifa
Amefundisha University of Dar es Salaam sana

Wapo akina Homel Mwakyusa hao ni vijana wa Nyerere

Unapoongelea vijana wa Nyerere basi hilo ni kundi la kina JK,Ben Mkapa,Salim Ahmed,Mwakyusa,Mwandosya

Kiongozi huyo Mwandosya na Mwakyusa ni moja ya watu hatari sana sana

Wamekwisha staafu

Kama umesoma vyuo vya kata na elimu ya kuunga unga huwezi yajua hayo ndio maana mnakosa heshima kwa wazee

You are gifted fool

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ametusaidia Nini Sasa na elimu yake hiyo tofauti na mateso tunayoyapata leo, mnataka kumlaumu Rais aliyepo madarakani mnasahau hawa wasomi waliotufikisha hapa, think big!

Eti mbobezi wa Electronics mavi kabisa,,,,kaisaidiaje nchi tofaut na kujifanya mwema baada ya kukosa ulaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hayo matago pori uliyolishwa na Magufuli kuhusu wasomi mpaka uje upate maziwa,corona ishafanya yake
 
Back
Top Bottom