Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye anasikitika kutangaza kifo cha PROF. MATTHEW LUHANGA, aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia 1991 hadi 2006...
Apumzike kwa amani Profesa Matthew Luhanga.
Nyie serikali endeleeni kusimamisha uchumi wenu kwanza.
Kipaumbele chenu ni kusimika rais mwanamke 2025.