TANZIA Prof. Mathew Luhanga, aliyekuwa Makamu Mkuu wa UDSM kuanzia 1991 hadi 2006 afariki dunia


Walikuwa marafiki na kuna kitabu kimoja nondo kweli cha Telecom wameandika pamoja...

"Control System Analysis and Design Using the Smith Chart", chapisho la mwaka 1990 toka Wiley
 
Bila shaka utakua Professor kwa Sasa au ndo unnasubiri uteuzi na ww kama Bashiru?
 
Kumbe humu Kuna Baba au Babu zetu.

Shikamoo mzee wangu na heshima kwako
Asante tupo pamoja, mbona mimi nimo miaka tu na "ban" nyingi ninazo hasa wakati ule wa uchafuzi.
Shule hiyo ilitoa wakurugenzi TRC (Mboma), TBS (Mwakyembe), Tanesco (Luhanga sr), Chuo cha Usafirishaji (Mbwanji) na VC Udsm (Luhanga jr) Katibu Mkuu Nishati (Mwakapugi). Hao wote walikuwa pamoja wakati mmoja.
 
Kumbe pale ilikuwa chuo cha TTCL? Aiseee zamani serikali iliwekeza,mbona siku hizi naona Kama kwenye elimu serikali Wala haiweki nguvu yeyote?
Siku hizi inawapa kipaumbele watu wenye vipaji maalumu kama Haji Manara, Cyprian Msiba, na Pierre Liquid
 
Sasa vijana CoET pale wanamkubali Manara zaidi kuliko huyo Prof
 
Heshima yako mzee wangu!
 
Nakupata vizuri.
 
dunia ni mapito tu lkn bado kuna baadhi ya watu wanawatendea binaadamu wenzao sivyo.
 
Hapa umejielekeza vibaya. Unajua u-vc wa Luhanga uliishia lini? Na je, ni lini TTCL College imeingia Udsm? Kwa hili pongezi ziende kwa aliyemfuata. Profesa Mkandala alifanya transformation nyingi udsm.
 
Huyu Prof bwana enzi zake akiwa VC UDSM alianza kozi ya Law hapohapo UDSM akadisco mwaka wa kwanza [emoji3]
Kivipi Mkuu? Huyo aliyem disco alikuwa na ujasiri wa kujifunika shuka moja na nyoka[emoji3][emoji3]
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…