Na sio mara moja. Kuna siku tulikutana kwenye hafla moja Mbeya yeye akiwa mgeni rasmi pia alisema hivyo kuwa yeye Prof anayemtambua hapa Tanzania ni Mark Mwandosya tu.
Ila tuache utani huyu Prof alikuwa zaidi ya kichwa. Ukisoma CV yake mmh.
Sema alikuwa na dharau sana ndio weakness yake.
R.I.P
Bila shaka utakua Professor kwa Sasa au ndo unnasubiri uteuzi na ww kama Bashiru?Hata mimi nilipokuwa UDSM, VC alikuwa Kuhanga, na Mzee Punch alikuwa amempa jina la "Octopus" kama sikosei; ninamkumbuka sana "Poacher" na Dean of Students "Akili Hana". Baada ya Kuhanga, alikuja Prof Mmari wakati nikiwa TA, na Luhanga akiwa ni mwalimu mwenzangu wa kawaida hapo FoE. Jamaa alikuwa mtu poa sana, niliwahi kusafiri naye kwenda kwenye Conference Harare, kweli anisaidia sana kama mwanae. Mwaka mmoja baada ya kutoka Harare ndipo jamaa akaanza kupanda vyeo haraka haraka hadi kufikia kuwa VC.
Eeh Mola, pumzisha roho ya Marehemu Luhanga pema peponi.
Asante tupo pamoja, mbona mimi nimo miaka tu na "ban" nyingi ninazo hasa wakati ule wa uchafuzi.Kumbe humu Kuna Baba au Babu zetu.
Shikamoo mzee wangu na heshima kwako
Siku hizi inawapa kipaumbele watu wenye vipaji maalumu kama Haji Manara, Cyprian Msiba, na Pierre LiquidKumbe pale ilikuwa chuo cha TTCL? Aiseee zamani serikali iliwekeza,mbona siku hizi naona Kama kwenye elimu serikali Wala haiweki nguvu yeyote?
Sasa vijana CoET pale wanamkubali Manara zaidi kuliko huyo ProfHii machine ilinifundisha Electronics for Engineers second year Foe Engineering..
Mwana saa 2 kamili yupo mlangoni,halafu anawaambia ametoka airport ndio ameingia kutoka United States
Anavunja circuits kwa kichwa kwa hesabu za Laplace Transforms nilikua nabaki natoa macho tu..
Pamoja na umri ulikua umeenda ila kichwa chake ni something else
Heshima yako mzee wangu!Asante tupo pamoja, mbona mimi nimo miaka tu na "ban" nyingi ninazo hasa wakati ule wa uchafuzi.
Shule hiyo ilitoa wakurugenzi TRC (Mboma), TBS (Mwakyembe), Tanesco (Luhanga sr), Chuo cha Usafirishaji (Mbwanji) na VC Udsm (Luhanga jr). Hao wote walikuwa pamoja wakati mmoja.
Asante, tupo pamoja humu na ninazo Post nyingi sana humu.Shikamoo Babu, nakutakia maisha marefu mzee..
Nakupata vizuri.Hata mimi nilipokuwa UDSM, VC alikuwa Kuhanga, na Mzee Punch alikuwa amempa jina la "Octopus" kama sikosei; ninamkumbuka sana "Poacher" na Dean of Students "Akili Hana". Baada ya Kuhanga, alikuja Prof Mmari wakati nikiwa TA, na Luhanga akiwa ni mwalimu mwenzangu wa kawaida hapo FoE. Jamaa alikuwa mtu poa sana, niliwahi kusafiri naye kwenda kwenye Conference Harare, kweli anisaidia sana kama mwanae. Mwaka mmoja baada ya kutoka Harare ndipo jamaa akaanza kupanda vyeo haraka haraka hadi kufikia kuwa VC.
Eeh Mola, pumzisha roho ya Marehemu Luhanga pema peponi.
Ni mtu na kaka yake na huyu Profesa. Ila Meja Jenerali Luhanga yeye ni tofauti na hawa wawiliJe na yule aliekuwa MD wa Tanesco, Baruani Luhanga?
ππ€£πHuyu Prof bwana enzi zake akiwa VC UDSM alianza kozi ya Law hapohapo UDSM akadisco mwaka wa kwanza π
Hajatokea wa kufananishwa nae. Ndio alihakikisha TTCL college Kijitonyama iwe sehemu ya UDSM na ndio hii inaitwa CoICT vijana wanapata maarifa kwa viwango vya kimataifa hapa hapa nchini.
Professor wa kweli alieacha legacy katika Uongozi wa vyuo vikuu.
Kivipi Mkuu? Huyo aliyem disco alikuwa na ujasiri wa kujifunika shuka moja na nyoka[emoji3][emoji3]Huyu Prof bwana enzi zake akiwa VC UDSM alianza kozi ya Law hapohapo UDSM akadisco mwaka wa kwanza [emoji3]
Kanywanyi Gamalieli Mgongo Fimbo,Issa Shivji
Kwani kuwa professor ni jambo la ajabu?Bila shaka utakua Professor kwa Sasa au ndo unnasubiri uteuzi na ww kama Bashiru?
Baada ya mkewe kufa mwaka juzi unataka kutuambia nini? Au unataka naye tumuunganishe na kifo cha mkewe. Nilidhani mambo haya yako kwenye Saloon ya Mamakimbo tu.Mkewe alikufa mwaka juzi
Na ni products za Dar Tech aka DITWalipata PhD bila Masters
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye anasikitika kutangaza kifo cha PROF. MATTHEW LUHANGA, aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia 1991 hadi 2006, kilichotokea jioni ya leo tarehe 16.09. 2021. Tunatoa pole kwa familia, Chuo chetu na Tanzania kwa ujumla. Taarifa zaidi tutaendelea kujulishana. Tumwombee apumzike kwa Amani. Amina.
Dkt. Dotto P. Kuhenga, Mratibu wa Mawasiliano na Habari, UDSM.
View attachment 1941008
=======
Professor Matthew Luhanga ndie Mwanasayansi wa Zama hizi mwenye historia iliyotukuka dunian
CVMakamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye anasikitika kutangaza kifo cha PROF. MATTHEW LUHANGA, aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia 1991 hadi 2006, kilichotokea jioni ya leo tarehe 16.09. 2021. Tunatoa pole kwa familia, Chuo chetu na Tanzania kwa ujumla. Taarifa zaidi tutaendelea kujulishana. Tumwombee apumzike kwa Amani. Amina.
Dkt. Dotto P. Kuhenga, Mratibu wa Mawasiliano na Habari, UDSM.
View attachment 1941008
=======
Professor Matthew Luhanga ndie Mwanasayansi wa Zama hizi mwenye historia iliyotukuka duniani
yake si ya kitoto
Alidhania Sheria ni rahisi... π π πHuyu Prof bwana enzi zake akiwa VC UDSM alianza kozi ya Law hapohapo UDSM akadisco mwaka wa kwanza π
Naanzia wapi sasa ?Mimi ni married mom.Vicky kwani wewe sio singo maza tena dear?