Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Na sio mara moja. Kuna siku tulikutana kwenye hafla moja Mbeya yeye akiwa mgeni rasmi pia alisema hivyo kuwa yeye Prof anayemtambua hapa Tanzania ni Mark Mwandosya tu.
Ila tuache utani huyu Prof alikuwa zaidi ya kichwa. Ukisoma CV yake mmh.
Sema alikuwa na dharau sana ndio weakness yake.
R.I.P
Walikuwa marafiki na kuna kitabu kimoja nondo kweli cha Telecom wameandika pamoja...
"Control System Analysis and Design Using the Smith Chart", chapisho la mwaka 1990 toka Wiley