Prof. Mbarawa: Treni hii ya Tanzania siyo high speed train kama zile za vichwa vilivyochongoka, Wananchi eleweni hilo

Prof. Mbarawa: Treni hii ya Tanzania siyo high speed train kama zile za vichwa vilivyochongoka, Wananchi eleweni hilo

Behewa kama kontena la Evergreen limetobolewa madirisha
 
Trilioni karibu 20 zimeteketea hapo.
Bora tu wangewekeza kwenye mahandhari mazuri katika ardhi nzuri ya kuvutia ya wachaga huko uchagat
DSC_4916-640x430.jpg
DSC_4912-640x430.jpg
DSC_4919-640x430.jpg
 
Kwa hiyo hii ya kwetu Tanzania ni high speed size ya kati ipi? Nchi hii nachokaga kabisa!!!
Ni SGR mkuu, aliyewaambia ni high speed (Bullet train) aliwadanganya mchana kweupe, hii ya kwetu inaweza hata isifike 180km/hr..... nadhani itakuwa between 100 and 150km/hr max
 
Usishangae siku zijazo mtu akatoka na mpango wa kufunga treni masolar pannels ya kutosha. Utasikia mkandarasi ameletwa kwa gharama kubwa ili train zisisimame kutoa huduma.
Ni kama huwa wanaplan kupiga kwa miaka 30+
 
Tokea mwanzo nilikuwa ninajua hiyo habari ya treni ya umeme ni uongo wa dhahiri. Na tulisema yule baba wa uongo haaminiki. Kwa sasa kinachoendelea ni muendelezo wa ule uongo wa yule mkuu wa uongo aliyeko jehanamu.
Magufuli angakuwepo asingeleta hizo takataka!

Mamako huyu yeye alisema wazi kabisa ataanza na mitumba
 
Magufuli angakuwepo asingeleta hizo takataka!

Mamako huyu yeye alisema wazi kabisa ataanza na mitumba

Hakuna bingwa wa mitumba kama Magufuli, au unadhani tumemsahau?
 
Waziri wa Uchukuzi Prof Mbarawa amewataka Wananchi kutochanganya Treni hii ya Tanzania na zile za high speed zenye vichwa vilivyochongoka.

Prof Mbarawa amesema picha zinazorushwa mitandaoni na watu wasio na nia njema ni zile za high speed zinazotembea zaidi ya km 200 kwa saa.

Za kwetu ni hizi mnazoona tunazipokea na haya ni Mabehewa 14 ya Daraja la tatu(economy) na mwezi February mwakani tutapokea Ya Business class na First class

Mabehewa haya ni kwa ajili ya masafa marefu na yatavutwa na Vichwa vya Umeme lakini yale ya high speed Vichwa vyake vinaunganishwa direct na mabehewa, amesisitiza Mbarawa

Source ITV Habari
Tunayatest ubora
IMG-20221126-WA0001.jpg
IMG-20221126-WA0006.jpg
 
Waziri wa Uchukuzi Prof Mbarawa amewataka Wananchi kutochanganya Treni hii ya Tanzania na zile za high speed zenye vichwa vilivyochongoka.

Prof Mbarawa amesema picha zinazorushwa mitandaoni na watu wasio na nia njema ni zile za high speed zinazotembea zaidi ya km 200 kwa saa.

Za kwetu ni hizi mnazoona tunazipokea na haya ni Mabehewa 14 ya Daraja la tatu(economy) na mwezi February mwakani tutapokea Ya Business class na First class

Mabehewa haya ni kwa ajili ya masafa marefu na yatavutwa na Vichwa vya Umeme lakini yale ya high speed Vichwa vyake vinaunganishwa direct na mabehewa, amesisitiza Mbarawa

Source ITV Habari
Mwache atupige ili akamalizie ghorofa lake pale stendi ya mwenge
 
Back
Top Bottom