Chifu,
Asikudanganye mtu... high speed train ISN'T commercially viable kwa nchi maskini kama Tanzania!
Kabla ya yote, soma karipoti haka ka Australian Government:-
View attachment 2431487
Utaona hapo, gharama ya ujenzi tu ina-range from A$16M to A$110M. Now, fanya tu iwe US$20M/km.
Dar to Mwanza ni zaidi ya 1000KM... fanya tu iwe 1000KM X20M = 20,000,000,000
Yaani kujenga Dar to Mwanza peke yake ingechukua AT LEAST US$20 BILLION....
Hii ya sasa itachukua less than $8Billion lakini bado inatutoa jasho... je, huo ubavu tunao?!
Taarifa kama hiyo inafanana na ya World Bank waliyoitoa 2014 kwamba;-
Gusa bei ya hizo treni zenyewe sasa....
Marekani na utajiri wake wote lakini bado high speed trains ni za kutafuta manake zipo sehemu chache sana!
Wenyewe wanasingizia ni teknolojia iliyopitwa na wakati kwa sababu, kimsingi wanaona hiyo speed hivi sasa inapatikana kwenye ndege