Prof. Mbarawa uzembe mliofanya wizara ya uchukuzi unamchonganisha Rais Samia na Wananchi

Prof. Mbarawa uzembe mliofanya wizara ya uchukuzi unamchonganisha Rais Samia na Wananchi

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,914
Reaction score
3,386
Taifa zima tunabishana mambo madogo ambayo yanatokana na kukosa umakini. Ni upuuzi na ujinga.

Gwajima alisema watu wa serikalini hawana exposure mtu kama Prof. Mbarawa pamoja na kusoma kuwa Professor anashindwa ku calculate public damage yaani akili za kijinga sana kukosa exposure na maarifa.

Mkataba huuu watanzania wanataka mambo mawili tu.
1. Time frame ijulikane kama ni miaka 30 basi ijulikane. Kunashida gani kuweka miaka 30 kisha kuweka kipengele kuwa to be renewed based on terms and condition za wakati huo mbona simple tu.

2. Kuna haja gani ya kusema DP World apewe inland ports kwani si anaweza kuja kuomba kama wanavyoomba wadau wengine sasa kwenye mkataba maswala ya bandari zote ya nini?

Mimi nampongeza Rais Samia kwa kuleta mkataba hadharani but Mbarawa na timu yako mmepuyanga sana yaani mnanipa hasira

Ni kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuleta maendeleo na katika ishu ya bandari amefanya vyema kuongeza uwazi.
Mikataba mingapi inasainiwa bila kupita bungeni tujiulize...

Sasa hili Jambo Mbarawa na timu yako hakikisheni ndani ya muda mfupi mnarekebisha

Mnamchonganisha Rais na wananchi.

Sisi wazalendo wa kweli ambao hatutaki unafiki wala ushabiki tunasema.

Tunaunga mkono mwekezaji DP World ila Mbarawa rekebisheni maramoja hili Jambo

Mnawapa nguvu wapinzani wa Rais sasa tunaona hadi makanisa yameanza kueneza propaganda za upinzani wa wazi wazi

Hili suala lifike mwisho Mbarawa sisi wafuasi wa Mama hatuna utani.
 
Wabelgiji wana wapelekesha wakongo miaka na miaka kwa diamonds zao wenyewe.

Hapa Tanzania naona hatupo mbali na hili

Mkuu wa bandari ya Mombasa nakuona unacheka tu sijui unachekea nini
Dosari ndogo ndogo zinawashinda kurekebisha
Ticts wamempa miaka 22
Haya DP World kama anapewa 30 so wampe tumuone
Mbona simple tuu
 
Taifa zima tunabishana mambo madogo ambayo yanatokana na kukosa umakini. Ni upuuzi na ujinga.

Gwajima alisema watu wa serikalini hawana exposure mtu kama Prof. Mbarawa pamoja na kusoma kuwa Professor anashindwa ku calculate public damage yaani akili za kijinga sana kukosa exposure na maarifa.

Mkataba huuu watanzania wanataka mambo mawili tu.

1. Time frame ijulikane kama ni miaka 30 basi ijulikane. Kunashida gani kuweka miaka 30 kisha kuweka kipengele kuwa to be renewed based on terms and condition za wakati huo mbona simple tu.

2. Kuna haja gani ya kusema DP World apewe inland ports kwani si anaweza kuja kuomba kama wanavyoomba wadau wengine sasa kwenye mkataba maswala ya bandari zote ya nini?

Mimi nampongeza Rais Samia kwa kuleta mkataba hadharani but Mbarawa na timu yako mmepuyanga sana yaani mnanipa hasira

Ni kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuleta maendeleo na katika ishu ya bandari amefanya vyema kuongeza uwazi.
Mikataba mingapi inasainiwa bila kupita bungeni tujiulize...

Sasa hili Jambo Mbarawa na timu yako hakikisheni ndani ya muda mfupi mnarekebisha

Mnamchonganisha Rais na wananchi.

Sisi wazalendo wa kweli ambao hatutaki unafiki wala ushabiki tunasema.

Tunaunga mkono mwekezaji DP World ila Mbarawa rekebisheni maramoja hili Jambo

Mnawapa nguvu wapinzani wa Rais sasa tunaona hadi makanisa yameanza kueneza propaganda za upinzani wa wazi wazi

Hili suala lifike mwisho Mbarawa sisi wafuasi wa Mama hatuna utani.
Huyu Mbarawa, mpemba, awajibike/awajibishwe.
 
Taifa zima tunabishana mambo madogo ambayo yanatokana na kukosa umakini. Ni upuuzi na ujinga.

Gwajima alisema watu wa serikalini hawana exposure mtu kama Prof. Mbarawa pamoja na kusoma kuwa Professor anashindwa ku calculate public damage yaani akili za kijinga sana kukosa exposure na maarifa.

Mkataba huuu watanzania wanataka mambo mawili tu.
1. Time frame ijulikane kama ni miaka 30 basi ijulikane. Kunashida gani kuweka miaka 30 kisha kuweka kipengele kuwa to be renewed based on terms and condition za wakati huo mbona simple tu.

2. Kuna haja gani ya kusema DP World apewe inland ports kwani si anaweza kuja kuomba kama wanavyoomba wadau wengine sasa kwenye mkataba maswala ya bandari zote ya nini?

Mimi nampongeza Rais Samia kwa kuleta mkataba hadharani but Mbarawa na timu yako mmepuyanga sana yaani mnanipa hasira

Ni kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuleta maendeleo na katika ishu ya bandari amefanya vyema kuongeza uwazi.
Mikataba mingapi inasainiwa bila kupita bungeni tujiulize...

Sasa hili Jambo Mbarawa na timu yako hakikisheni ndani ya muda mfupi mnarekebisha

Mnamchonganisha Rais na wananchi.

Sisi wazalendo wa kweli ambao hatutaki unafiki wala ushabiki tunasema.

Tunaunga mkono mwekezaji DP World ila Mbarawa rekebisheni maramoja hili Jambo

Mnawapa nguvu wapinzani wa Rais sasa tunaona hadi makanisa yameanza kueneza propaganda za upinzani wa wazi wazi

Hili suala lifike mwisho Mbarawa sisi wafuasi wa Mama hatuna utani.
Mama mwenyewe kataka. Sasa kila kitu anapewa mwarabu.

1. Posta
2. Misitu
3. Bandari
4. KIA

Yaani mtu kutoka jangwani anakuja kutusimamia misitu yetu ili aboreshe kweli. Hii misitu tumepewa na Mungu sehemu nyingine hatujawahi gusa. Dah naomba Mungu anifundishe kunyamaza. Huku kwenye misitu wanataka

1. Meno ya tembo
2. Magogo
3. Madini
4. Wanyama pori


Mimi niseme kutoka moyoni. Mheshimiwa Rais kama anasikia au anasoma humu basi ajue umoja wa kitaifa umetikiswa sana katika kipindi chake kuliko wakati wowote tangu uhuru.

Mimi tangu nizaliwe nimekuwa mfuatiliaji wa siasa hatujawahi fikia hatua kama hii.

Namshauri mama kama kweli anaipenda Tanzania basi hii mikataba isitishwe tuanze mchakato upya kwa uwazi kama alivyo amua kuwa muwazi basi aendelee kwa uwazi hivi hivi tujenge umoja wetu wa kitaifa.

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Mama mwenyewe kataka. Sasa kila kitu anapewa mwarabu.

1. Posta
2. Misitu
3. Bandari
4. KIA

Yaani mtu kutoka jangwani anakuja kutusimamia misitu yetu ili aboreshe kweli. Hii misitu tumepewa na Mungu sehemu nyingine hatujawahi gusa. Dah naomba Mungu anifundishe kunyamaza. Huku kwenye misitu wanataka

1. Meno ya tembo
2. Magogo
3. Madini
4. Wanyama pori


Mimi niseme kutoka moyoni. Mheshimiwa Rais kama anasikia au anasoma humu basi ajue umoja wa kitaifa umetikiswa sana katika kipindi chake kuliko wakati wowote tangu uhuru.

Mimi tangu nizaliwe nimekuwa mfuatiliaji wa siasa hatujawahi fikia hatua kama hii.

Namshauri mama kama kweli anaipenda Tanzania basi hii mikataba isitishwe tuanze mchakato upya kwa uwazi kama alivyo amua kuwa muwazi basi aendelee kwa uwazi hivi hivi tujenge umoja wetu wa kitaifa.

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
Tuende na moja moja kwanza bandari
 
Mbarawa unamsingizia tu, mikataba imesainiwa 32 kwa sehemu tofauti. Hapo kila waziri utamlaumu baada ya muda
 
1.Time frame
2. Share zetu zisipungue kiasi fulani, siyo mambo ya kukusanya vikodi na viushuru tu
3. Possibility ya kujitoa iwepo
4. Hakuna kuinclude bandari nyingine, iwe ni ya Dar tu
5. Haki za binadamu zizingatiwe

Hivyo vyote viingie kwenye mkataba mama, hatutaki kusikia eti vitaingia kwenye HGA
 
Hivi Mbarawa ni Profesa wa kitu gani? Au ni profesa uchwara?
 
Back
Top Bottom