Prof. Mbarawa uzembe mliofanya wizara ya uchukuzi unamchonganisha Rais Samia na Wananchi

Prof. Mbarawa uzembe mliofanya wizara ya uchukuzi unamchonganisha Rais Samia na Wananchi

Taifa zima tunabishana mambo madogo ambayo yanatokana na kukosa umakini. Ni upuuzi na ujinga.

Gwajima alisema watu wa serikalini hawana exposure mtu kama Prof. Mbarawa pamoja na kusoma kuwa Professor anashindwa ku calculate public damage yaani akili za kijinga sana kukosa exposure na maarifa.

Mkataba huuu watanzania wanataka mambo mawili tu.
1. Time frame ijulikane kama ni miaka 30 basi ijulikane. Kunashida gani kuweka miaka 30 kisha kuweka kipengele kuwa to be renewed based on terms and condition za wakati huo mbona simple tu.

2. Kuna haja gani ya kusema DP World apewe inland ports kwani si anaweza kuja kuomba kama wanavyoomba wadau wengine sasa kwenye mkataba maswala ya bandari zote ya nini?

Mimi nampongeza Rais Samia kwa kuleta mkataba hadharani but Mbarawa na timu yako mmepuyanga sana yaani mnanipa hasira

Ni kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuleta maendeleo na katika ishu ya bandari amefanya vyema kuongeza uwazi.
Mikataba mingapi inasainiwa bila kupita bungeni tujiulize...

Sasa hili Jambo Mbarawa na timu yako hakikisheni ndani ya muda mfupi mnarekebisha

Mnamchonganisha Rais na wananchi.

Sisi wazalendo wa kweli ambao hatutaki unafiki wala ushabiki tunasema.

Tunaunga mkono mwekezaji DP World ila Mbarawa rekebisheni maramoja hili Jambo

Mnawapa nguvu wapinzani wa Rais sasa tunaona hadi makanisa yameanza kueneza propaganda za upinzani wa wazi wazi

Hili suala lifike mwisho Mbarawa sisi wafuasi wa Mama hatuna utani.
Mnavurunda nchi na bado mnaitamaani subirini watu wajipange muone mtatokea wapi.
 
1.Time frame
2. Share zetu zisipungue kiasi fulani, siyo mambo ya kukusanya vikodi na viushuru tu
3. Possibility ya kujitoa iwepo
4. Hakuna kuinclude bandari nyingine, iwe ni ya Dar tu
5. Haki za binadamu zizingatiwe

Hivyo vyote viingie kwenye mkataba mama, hatutaki kusikia eti vitaingia kwenye HGA
Yes haya ndio mambo muhimu
Naunga mkono hoja TPA na Wizara fanyeni maboresho haya
 
Yes haya ndio mambo muhimu
Naunga mkono hoja TPA na Wizara fanyeni maboresho haya
Kama unayapenda haya mambo mbona huyasemi unashabikia mkataba tu,watu wanawaelewesha terms zilizopo mle ndani ya mkataba kwamba ni ngumu hamtaki,yaan ninyi akina karumekenge alikataa kwenda shule ni tatizo kubwa.
 
Hakuna lolote la maana hapa... Watu wanatafuta pakutokea.... Watu wanakwepa kusema ukweli... Lakini ukweli unajulikana... Huu mkataba ulivuja.... Sio kwamba hajui.... Anajua vema kabisa.... Mtu anatengeneza tatizo halafu anakuja kulipa suluhu ili kujiongezea credit..... 2024-2025
 
Kama unayapenda haya mambo mbona huyasemi unashabikia mkataba tu,watu wanawaelewesha terms zilizopo mle ndani ya mkataba kwamba ni ngumu hamtaki,yaan ninyi akina karumekenge alikataa kwenda shule ni tatizo kubwa.
Soma tena nimeandika nini
 
Mbarawa unamlaumu kafanyaje? Juzi Lipumba naye katoka sijui shimo gani anaanza kumlaumu mwanasheria mkuu wa serikali eti hakuupitia mkataba, mwanasheria mkuu wa serikali ana kosa gani? Watanzania tuna safari ndefu mno kufikia demokrasia ya kweli, kuufikia utawala bora wa kisheria wa kuheshimu kitu kinachoitwa taaluma za watu.Tatizo la nchi yetu viongozi wanajua kila kitu na wengi wao hawashauriki mwendo wa vitisho na maagizo yasiyoeleweka hapo ndio matatizo mengi huanzia.Sikiliza wa chini yako,sikiliza watu unaowaongoza usiwapuuze.Kama Mbarawa au Mwanasheria mkuu wa serikali walipotosha mbona hao wote wanadunda tu full viyoyozi ofisini nilitegemea wangekuwa OUT muda sana.Hii ni nchi yetu ifike mahali ukweli utawale. Sasa hivi kuna watu wanaitwa CHAWA WA MAMA sijui nani mfadhili wa hawa machawa?
 
Mbarawa unamlaumu kafanyaje? Juzi Lipumba naye katoka sijui shimo gani anaanza kumlaumu mwanasheria mkuu wa serikali eti hakuupitia mkataba, mwanasheria mkuu wa serikali ana kosa gani? Watanzania tuna safari ndefu mno kufikia demokrasia ya kweli, kuufikia utawala bora wa kisheria wa kuheshimu kitu kinachoitwa taaluma za watu.Tatizo la nchi yetu viongozi wanajua kila kitu na wengi wao hawashauriki mwendo wa vitisho na maagizo yasiyoeleweka hapo ndio matatizo mengi huanzia.Sikiliza wa chini yako,sikiliza watu unaowaongoza usiwapuuze.Kama Mbarawa au Mwanasheria mkuu wa serikali walipotosha mbona hao wote wanadunda tu full viyoyozi ofisini nilitegemea wangekuwa OUT muda sana.Hii ni nchi yetu ifike mahali ukweli utawale. Sasa hivi kuna watu wanaitwa CHAWA WA MAMA sijui nani mfadhili wa hawa machawa?
Anayelaumiwa yakitokea makosa ni waziri husika
Alikuwa na muda wa kurekebisha lakini akasain bila kurekebisha
 
Mh Rais Kafanya mengi mema na mazuri tunamshukuru..Mungu mtakatifu ana kusudi la kumpa nafasi ktk mazingira aliopewa si Kwa mapenzi ya wanadamu Bali Mungu tu..Si Kwa yeye kutaka Bali neema tu..

Hili jambo sio jepesi..Limeenea mnoo..Lina ukakasi mnoo,Halina amani..Halina furaha..Halina utulivu..

Viongozi wetu,Mitihani ktk maisha ya Uongozi haina budi kuruhusiwa kuwapata..Fanyeni toba Kwa Mwenyezi Mungu..Ombeni hekima na busara..Fanyeni maamuzi magumu yenye kuleta amani,Utulivu na mshikamano..
 
Soma tena nimeandika nini

Nimekusoma kaka you are very right.ww ndugu yangu bwana nilidhani ni wale wapumbavu mashabiki wanaomshabikia Rais na waziri walioshindwa kucalculate hesabu za kawaida kabisa na wengine eti Marais tuna kazi kubwa.
 
Back
Top Bottom