Prof. Mbarawa uzembe mliofanya wizara ya uchukuzi unamchonganisha Rais Samia na Wananchi

Prof. Mbarawa uzembe mliofanya wizara ya uchukuzi unamchonganisha Rais Samia na Wananchi

Mama mwenyewe kataka. Sasa kila kitu anapewa mwarabu.

1. Posta
2. Misitu
3. Bandari
4. KIA

Yaani mtu kutoka jangwani anakuja kutusimamia misitu yetu ili aboreshe kweli. Hii misitu tumepewa na Mungu sehemu nyingine hatujawahi gusa. Dah naomba Mungu anifundishe kunyamaza. Huku kwenye misitu wanataka

1. Meno ya tembo
2. Magogo
3. Madini
4. Wanyama pori


Mimi niseme kutoka moyoni. Mheshimiwa Rais kama anasikia au anasoma humu basi ajue umoja wa kitaifa umetikiswa sana katika kipindi chake kuliko wakati wowote tangu uhuru.

Mimi tangu nizaliwe nimekuwa mfuatiliaji wa siasa hatujawahi fikia hatua kama hii.

Namshauri mama kama kweli anaipenda Tanzania basi hii mikataba isitishwe tuanze mchakato upya kwa uwazi kama alivyo amua kuwa muwazi basi aendelee kwa uwazi hivi hivi tujenge umoja wetu wa kitaifa.

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
Hiv mtu aliyetoka jangwani misitu aliiona wapi hadi aje akufundishe habari ya misitu,hapa tusidanganyane kuna udini mkubwa sana umejificha kwenye uwekezaji hakuna chochote ni ushenzi mtupu tu.
 
Taifa zima tunabishana mambo madogo ambayo yanatokana na kukosa umakini. Ni upuuzi na ujinga.

Gwajima alisema watu wa serikalini hawana exposure mtu kama Prof. Mbarawa pamoja na kusoma kuwa Professor anashindwa ku calculate public damage yaani akili za kijinga sana kukosa exposure na maarifa.

Mkataba huuu watanzania wanataka mambo mawili tu.
1. Time frame ijulikane kama ni miaka 30 basi ijulikane. Kunashida gani kuweka miaka 30 kisha kuweka kipengele kuwa to be renewed based on terms and condition za wakati huo mbona simple tu.

2. Kuna haja gani ya kusema DP World apewe inland ports kwani si anaweza kuja kuomba kama wanavyoomba wadau wengine sasa kwenye mkataba maswala ya bandari zote ya nini?

Mimi nampongeza Rais Samia kwa kuleta mkataba hadharani but Mbarawa na timu yako mmepuyanga sana yaani mnanipa hasira

Ni kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuleta maendeleo na katika ishu ya bandari amefanya vyema kuongeza uwazi.
Mikataba mingapi inasainiwa bila kupita bungeni tujiulize...

Sasa hili Jambo Mbarawa na timu yako hakikisheni ndani ya muda mfupi mnarekebisha

Mnamchonganisha Rais na wananchi.

Sisi wazalendo wa kweli ambao hatutaki unafiki wala ushabiki tunasema.

Tunaunga mkono mwekezaji DP World ila Mbarawa rekebisheni maramoja hili Jambo

Mnawapa nguvu wapinzani wa Rais sasa tunaona hadi makanisa yameanza kueneza propaganda za upinzani wa wazi wazi

Hili suala lifike mwisho Mbarawa sisi wafuasi wa Mama hatuna utani.
Anakubali vipi kuchonganishwa? Kwanini tusiamini wanashea uwezo wao wa kufikiri?

Mbarawa atakuwa mbuzi wa kafara(scapegoat)
 
Taifa zima tunabishana mambo madogo ambayo yanatokana na kukosa umakini. Ni upuuzi na ujinga.

Gwajima alisema watu wa serikalini hawana exposure mtu kama Prof. Mbarawa pamoja na kusoma kuwa Professor anashindwa ku calculate public damage yaani akili za kijinga sana kukosa exposure na maarifa.

Mkataba huuu watanzania wanataka mambo mawili tu.
1. Time frame ijulikane kama ni miaka 30 basi ijulikane. Kunashida gani kuweka miaka 30 kisha kuweka kipengele kuwa to be renewed based on terms and condition za wakati huo mbona simple tu.

2. Kuna haja gani ya kusema DP World apewe inland ports kwani si anaweza kuja kuomba kama wanavyoomba wadau wengine sasa kwenye mkataba maswala ya bandari zote ya nini?

Mimi nampongeza Rais Samia kwa kuleta mkataba hadharani but Mbarawa na timu yako mmepuyanga sana yaani mnanipa hasira

Ni kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuleta maendeleo na katika ishu ya bandari amefanya vyema kuongeza uwazi.
Mikataba mingapi inasainiwa bila kupita bungeni tujiulize...

Sasa hili Jambo Mbarawa na timu yako hakikisheni ndani ya muda mfupi mnarekebisha

Mnamchonganisha Rais na wananchi.

Sisi wazalendo wa kweli ambao hatutaki unafiki wala ushabiki tunasema.

Tunaunga mkono mwekezaji DP World ila Mbarawa rekebisheni maramoja hili Jambo

Mnawapa nguvu wapinzani wa Rais sasa tunaona hadi makanisa yameanza kueneza propaganda za upinzani wa wazi wazi

Hili suala lifike mwisho Mbarawa sisi wafuasi wa Mama hatuna utani.
Tatizo la mama Samia, na nilisha onya huko nyuma, ni ile inaitwa laiszes faire, uswahili mwingi.

Huko Magogoni au Chamwino mama hasomi au kupitia yanayoletwa mbele yake.
Sasa anashangaa uozo wa mkataba wa Bandari kama sisi wengine.
 
1.Time frame
2. Share zetu zisipungue kiasi fulani, siyo mambo ya kukusanya vikodi na viushuru tu
3. Possibility ya kujitoa iwepo
4. Hakuna kuinclude bandari nyingine, iwe ni ya Dar tu
5. Haki za binadamu zizingatiwe

Hivyo vyote viingie kwenye mkataba mama, hatutaki kusikia eti vitaingia kwenye HGA
Huo mkataba haurekebishiki. Nilimsikia vizuri Lissu. Hutaona hiko kitu kinaitwa HGA
 
Tatizo la mama Samia, na nilisha onya huko nyuma, ni ile inaitwa laiszes faire, uswahili mwingi.

Huko Magogoni au Chamwino mama hasomi au kupitia yanayoletwa mbele yake.
Sasa anashangaa uozo wa mkataba wa Bandari kama sisi wengine.
Rais aache ku deligate vitu serious
Mambo muhimu asome apitie mikataba
 
Taifa zima tunabishana mambo madogo ambayo yanatokana na kukosa umakini. Ni upuuzi na ujinga.

Gwajima alisema watu wa serikalini hawana exposure mtu kama Prof. Mbarawa pamoja na kusoma kuwa Professor anashindwa ku calculate public damage yaani akili za kijinga sana kukosa exposure na maarifa.

Mkataba huuu watanzania wanataka mambo mawili tu.
1. Time frame ijulikane kama ni miaka 30 basi ijulikane. Kunashida gani kuweka miaka 30 kisha kuweka kipengele kuwa to be renewed based on terms and condition za wakati huo mbona simple tu.

2. Kuna haja gani ya kusema DP World apewe inland ports kwani si anaweza kuja kuomba kama wanavyoomba wadau wengine sasa kwenye mkataba maswala ya bandari zote ya nini?

Mimi nampongeza Rais Samia kwa kuleta mkataba hadharani but Mbarawa na timu yako mmepuyanga sana yaani mnanipa hasira

Ni kweli Rais Samia ana nia ya dhati ya kuleta maendeleo na katika ishu ya bandari amefanya vyema kuongeza uwazi.
Mikataba mingapi inasainiwa bila kupita bungeni tujiulize...

Sasa hili Jambo Mbarawa na timu yako hakikisheni ndani ya muda mfupi mnarekebisha

Mnamchonganisha Rais na wananchi.

Sisi wazalendo wa kweli ambao hatutaki unafiki wala ushabiki tunasema.

Tunaunga mkono mwekezaji DP World ila Mbarawa rekebisheni maramoja hili Jambo

Mnawapa nguvu wapinzani wa Rais sasa tunaona hadi makanisa yameanza kueneza propaganda za upinzani wa wazi wazi

Hili suala lifike mwisho Mbarawa sisi wafuasi wa Mama hatuna utani.
mkataba mkuu huo umefika bumgeni baada ya kuvuja na pia time frame siyo kigezo tu cha kupewa Dp world yapo mambo mengi yanahitaji ufafanuzi !mkubwa
 
Mbarawa unamlaumu kafanyaje? Juzi Lipumba naye katoka sijui shimo gani anaanza kumlaumu mwanasheria mkuu wa serikali eti hakuupitia mkataba, mwanasheria mkuu wa serikali ana kosa gani? Watanzania tuna safari ndefu mno kufikia demokrasia ya kweli, kuufikia utawala bora wa kisheria wa kuheshimu kitu kinachoitwa taaluma za watu.Tatizo la nchi yetu viongozi wanajua kila kitu na wengi wao hawashauriki mwendo wa vitisho na maagizo yasiyoeleweka hapo ndio matatizo mengi huanzia.Sikiliza wa chini yako,sikiliza watu unaowaongoza usiwapuuze.Kama Mbarawa au Mwanasheria mkuu wa serikali walipotosha mbona hao wote wanadunda tu full viyoyozi ofisini nilitegemea wangekuwa OUT muda sana.Hii ni nchi yetu ifike mahali ukweli utawale. Sasa hivi kuna watu wanaitwa CHAWA WA MAMA sijui nani mfadhili wa hawa machawa?
unaweza kukuta hata mwanasheria mkuu hakuhusika huoni yanayoendelea hajachangia chochote kuhusu mkataba
 
Back
Top Bottom