Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mkuu Rabbon , mimi ni kada bonafide genuine ambaye ni mkweli na mpenda haki, wapenda bakit wote tumatanda CCM ishinde kwa haki na nchi iwe na a healthy opposition.Narudia, Mayalla husaidia upinzani Ili wajitambue na wapambane zaidi.
Bt upinzani humuweka P ktk kundi la maadui.
Itafahamika tu.
Kwani Prof Mkandaa anasemajeMbunge wa Jimbo la Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo amesema Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayotumika kwa sasa ni ya demokrasia ya Chama kimoja.
Amesema hali hiyo imechangia kuwa na demokrasia dumavu ambayo inapelekea kuchelewa kwa maendeleo, ambapo amedai kuwa kuna uhusiano wa demokrasia bora na maendeleo
Pia ameshauri kuwa Katiba mpya ni muhimu ili kuwezesha demokrasia ya vingi kustawi ambayo itawezesha wananchi kushiriki ipasavyo.
Amesema kuwa kwa mazingira ya demokrasia ya sasa ni rahisi kutabilika tofauti na ilivyo kwa Kenya, ametoa mfano kuwa ni rahisi kutabili kuwa CCM itashinda uchaguzi 2025 kwenye nafasi ya Urais, amedai kuwa hiyo inachangiwa na takwimu za matokeo ya Urais kwenye chaguzi zilizopita.
Prof. Kitila Mkumbo ameyasema hayo leo Septemba 15, 2022 katika mdahalo ambao umeandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Nchini (LHRC) kwa kushirikiana na wadau wengine, katika siku ya demokrasia duniani ambayo imekuwa ikiadhimishwa kila mwaka.
Sasa hapo upinzani wasichoelewa ni nini? We naye una akili ndogo sana.Narudia, Mayalla husaidia upinzani Ili wajitambue na wapambane zaidi.
Bt upinzani humuweka P ktk kundi la maadui.
Itafahamika tu.
Sasa Paskal maandiko yako yanabadilisha huo ukweli? Mbona kila kitu kinajulikanaMkuu Rabbon , mimi ni kada bonafide genuine ambaye ni mkweli na mpenda haki, wapenda bakit wote tumatanda CCM ishinde kwa haki na nchi iwe na a healthy opposition.
P
Hata kama ni mdangaji wa kisiasa lakini kasema ukweliManeno yake nayaunga mkono.
Niabu kubwa sana kwa mtu kama Prof kuwa na maneno ya kutapatapa yaani yasiyoaminika mbele ya jamii yetu.
Kama kaona ni kipindi cha kuirudisha heshima yake ni vizuri sana tukumbuke prof ni elimu kubwa ni mbaya kwa prof kudhiakiwa kwa ajili ya Cheo cha kuteuliwa ambayo siyo ya kudumu
Huyo mwanaccm naona ametumwa kuja kutulaghai hukuKuna aina za wanasiasa Kama malaya malaya.
Ila ni wa kumtazama with one eye closed,one eye opened!Yuko sahihi.
Sio rahisi ccm iko tayari kuwahonga hata rasilimali za Taifa ili waendelee kuwa sapota wao bila mfarakano wowote kati yao.Kutakuja kutokee changamoto ya maelewano miongoni mwa watu wa tume ya uchaguzi, siku zijazo. Hii itatokana na utaratibu mbaya wa the so called, Demokrasia.
Prof Mkumbo ni mwanaharakati!! Aliingizwa CCM ili kumfumba mdomo!! Baada ya kifumba mdomo (uteuzi) kudondoka chini naona analianzisha!! Huyu ni kama alivyo Polepole!! Alilianzisha la wahuni baada ya kifumba (uteuzi) mdomo kudondoka!! Aliporudishiwa kifumba mdomo (uteuzi) sasa hana habari na wahuni! anaendelea kula kuku kwa mrija huko Malawi!!Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo amesema Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayotumika kwa sasa ni ya demokrasia ya Chama kimoja.
Amesema hali hiyo imechangia kuwa na demokrasia dumavu ambayo inapelekea kuchelewa kwa maendeleo, ambapo amedai kuwa kuna uhusiano wa demokrasia bora na maendeleo
Pia ameshauri kuwa Katiba mpya ni muhimu ili kuwezesha demokrasia ya vingi kustawi ambayo itawezesha wananchi kushiriki ipasavyo.
Amesema kuwa kwa mazingira ya demokrasia ya sasa ni rahisi kutabilika tofauti na ilivyo kwa Kenya, ametoa mfano kuwa ni rahisi kutabili kuwa CCM itashinda uchaguzi 2025 kwenye nafasi ya Urais, amedai kuwa hiyo inachangiwa na takwimu za matokeo ya Urais kwenye chaguzi zilizopita.
Prof. Kitila Mkumbo ameyasema hayo leo Septemba 15, 2022 katika mdahalo ambao umeandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Nchini (LHRC) kwa kushirikiana na wadau wengine, katika siku ya demokrasia duniani ambayo imekuwa ikiadhimishwa kila mwaka.
Kanyimwa kishikwambi nini?
Kiukweli huyu mtu huwa asiponeza vidonge vya madaraka huwa anakuwa na akili...akili zimemrudi sio?!
Baada ya kutemeshwa meza kuu, sasa akili ndio zimeanza kumrudia gwiji huyu wa siasa na zitamkaa vizuri kabisa 2025 baada ya kutemeshwa rasmi jimbo la Ubungo na kulazimika au kurejea darasani kushika chaki, au kujiunga na akina sisi huku kujiweni.
Katiba inatoa haki ya kila Mtanzania kupiga kura kuchagua kiongozi na kuomba kuchaguliwa. Haki ya kuchaguliwa imeporwa na shurti la kudhaminiwa na chama cha siasa!. Hii ni dhulma kubwa ambayo inatugharimu sana kupitia karma!.
Uchaguzi wetu ni uchaguzi kiini macho kugombea kisu cha makali kuwili, ambapo chama dola kimeshika mpini na vyama makapuku wakishikishwa upande wa makali kuwili!. CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!
P
Ukiona kitu hakifuatwi jua kina mapungufu.Katiba hii iliyopo ingekua nzuri isingetoa hisani kwa mtu kuifuatwa bali lingekua ni takwa kuifuata.Hiyo tume inafanya huo ujinga kwasababu inajua maamuzi yake niyamwisho nailo linaanzia kuanzia upatikanaji wake.nahilo linatokana na katiba yenyewe kutoa huo mwanya.kwahiyo hakuna haja yakujadili kitu chenye mapungufu ambayo tayari yameshaonekana wakati una uwezo na akili zakutengeneza kingine bora.katiba inatakiwa ijisimamie yenyewe sio hadi mtu anapojisikia au kukumbushwa.Sikubaliani nae.
Katiba iliyopo sasa sio mbaya kihivyo, tatizo haifuatwi, kama viongozi wetu wangekuwa wanaifuata hii Katiba iliyopo kama ilivyo, hasa kuhusu masuala ya kidemokrasia, kama mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, hali isingekuwa mbaya kama ilivyo sasa.
Hata hii tume ya uchaguzi, japo Rais ambaye ni mwenyekiti wa chama cha siasa anateua mwenyekiti wake, lakini hakuna popote huyu mwenyekiti na wajumbe wake wameambiwa na Katiba iliyopo waipendelee CCM, ni viherehere vyao tu, sasa kama watandelea na hii tabia ya kiherehere basi hata Katiba Mpya nayo ikija, haitakuja na suluhisho la kudumu.
Ningemuona Kitila ana hoja kama angeanza kwa kuwaambia CCM wenzake kwanza waifuate Katiba iliyopo, baada ya hapo, ndio tuangalie mapungufu yatakayojitokeza ili yakafanyiwe kazi kwenye hiyo Katiba Mpya, lakini kukimbilia Katiba Mpya wakati iliyopo mmeshindwa kuiheshimu ni ujinga.
Soma Tena Nzie ya Mana Donnie CharlieMbunge wa Jimbo la Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo amesema Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayotumika kwa sasa ni ya demokrasia ya Chama kimoja.
Amesema hali hiyo imechangia kuwa na demokrasia dumavu ambayo inapelekea kuchelewa kwa maendeleo, ambapo amedai kuwa kuna uhusiano wa demokrasia bora na maendeleo
Pia ameshauri kuwa Katiba mpya ni muhimu ili kuwezesha demokrasia ya vingi kustawi ambayo itawezesha wananchi kushiriki ipasavyo.
Amesema kuwa kwa mazingira ya demokrasia ya sasa ni rahisi kutabilika tofauti na ilivyo kwa Kenya, ametoa mfano kuwa ni rahisi kutabili kuwa CCM itashinda uchaguzi 2025 kwenye nafasi ya Urais, amedai kuwa hiyo inachangiwa na takwimu za matokeo ya Urais kwenye chaguzi zilizopita.
Prof. Kitila Mkumbo ameyasema hayo leo Septemba 15, 2022 katika mdahalo ambao umeandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Nchini (LHRC) kwa kushirikiana na wadau wengine, katika siku ya demokrasia duniani ambayo imekuwa ikiadhimishwa kila mwaka.
Hahahha labda kesi ipelekwe Kenya, ila kama ni bongoland sijuiWakimfukuza atagoma kama Covid 19..!
yaani wanatuona mabwege sana !Bila kuangalia aliwahi kunena nini wakati wa kipindi cha giza nene, maneno yake Kitila yana ukweli wa 100%.