Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Elimu yetu inahitaji u serious sana, Hadi musukuma naye ni Dr eti. View attachment 2050044

Plenty of Masters degrees theses based on a more or less similar theme:






 
Duh
 
"Mwenyezi Mungu mtenda haki, naomba huyo huyo kijana uliye mpa uwezo wa kutengeneza kirusi kinacho utesa ulimwengu kwa sasa basi mpatie utaalam mwingine atengeneze kirusi kitakacho lamba kizazi haramu cha (CCM) tu, asibaki hata nzi mmoja ee baba maana haiwezekani nchi ni ya watu zaidi ya million 60 ila wanao faidi hawafiki hata million 10. Naomba huyo kijana aanze kazi mapema kadri utakavyo penda". Amen
 
Hilo la kuheshimu wataalamu na kuwalipa istahilivyo wala halihitaji katiba mpya ni suala la common sense tu. Kwani
Wanasiasa wasiteuliwe kuongoza Taasisi za Elimu.
Sasa tazama Mwenyekiti Umoja wa Wanawake(CCM) ndiye ati Mwenyekiti wa University Council inayosimamia quality education.

Haistaajabishi wana CCM ndio wanapewa PhD za hisani.
 
Wanasiasa wasiteuliwe kuongoza Taasisi za Elimu.
Sasa tazama Mwenyekiti Umoja wa Wanawake(CCM) ndiye ati Mwenyekiti wa University Council inayosimamia quality education.

Haistaajabishi wana CCM ndio wanapewa PhD za hisani.
Hata na sisi wanazuoni tuna pepo kimbelembele, au pengine ni tabia ya watanzania kwa ujumla?

Tuna tabia sana ya kufanya mambo yetu kwa kujipendekeza kwa wanasiasa. Eti kama kuna mjadala au kongamano kuhusu kitu fulani -- say, kuhusu elimu au sayansi au teknolojia vyuoni utashangaa wageni rasmi kule mbele ni wakuu wa wilaya, madiwani, mwenyekiti wa CCM, n.k. Sijawahi ona wamewekwa watu proven wenye uwezo na interest kwenye mambo husika.

Sa kama conference inahusu ICT na mambo yake mkuu wa wilaya na wenyeviti wa ccm wanahusikaje pale? I would rather have niwe na Max Melo kama mgeni rasmi kwenye conference ya ICT than kuweka pale limtu clueless la kuimba slogans za kisiasa. Utayasikia "nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania....kazi iendelee..! Afu aliyewaalika unkakuta ni profesa.
 
Sasa Mwekyekiti wa Umoja wa Wanawake(CCM) ndiy mwenyekiti wa kudadavua usomi huko UDOM!
Majanga matupu.
 
Mkuu si sahihi kufikiria hivyo.
Chuo Kikuu cha kwanza cha usomi duniani kilikuwa Timbuktu, West Africa, zaidi ya miaka 1000 iliyopita, fuatilia.
Na kilikuwa na mitaala ya kiislamu.
Dah
Mkuu unatumia nguvu nyingi sana .kujibu hoja za ndugu juma kilaza ambaye hata historia ya kabila lake sijui kama anajua???
 
May I ask the same questions? Ombeni PhD ya Professor Muhongo mpitie maswali hayo hayo. Alishawahi kuwa Waziri, impact yake ni nini? Wanasema ana PhD ya majabali, yaani explosives, imesaidia nini na nini? Wapi? Dotto Biteko simjui wala huyo mernziye simjui - sina sababu ya kuwajua, hawakaja kwangu kuomba ajira. Unless una sababu maalumu I would rather give them the benefit of doubt.
 
Soma hapo kwa kuanzia, na ujiridhishe.
Nchi hii kuna watu vichwa wanaotambulika kimataifa.
 
Nchi hii kila sehemu ni upigaji,
Ikulu upigaji,polisi Ili wafsnye upigaji,lazima wabambikie watu kesi,na wanazuoni wameona wanaachwa mbali kwenye ukwasi,sasa na wao wanatumia Urefu wa "kamba"zao kufsnya upigaji.
 
Nchi hii kila sehemu ni upigaji,
Ikulu upigaji,polisi Ili wafsnye upigaji,lazima wabambikie watu kesi,na wanazuoni wameona wanaachwa mbali kwenye ukwasi,sasa na wao wanatumia Urefu wa "kamba"zao kufsnya upigaji.
Lakini hili la elimu kuchakachuliwa linasikitisha sana.
 
Kwanza utambue kuwa majabali, ricks, na explosives, ni vitu viwili mbali mali.
Kama anga na ardhi!
Baada ya hapo hata kama ni mwalimu,sijui nianzie wapi!
 

Mwenyekiti wa wanawake CCM! Utaona ni jinsi gani siasa ina haribu elimu yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…