Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Kwani wewe umemuelewaje. Nahisi hujamuelewa kabisa. Wewe unayedoubt. Kafanye hayo yote.
Usomi kwa kiwango cha PhD, si ukariri wa Darasani.
Wewe ndiyo unatufundisha ulichogundua, kuandika presentation inayokubalika kimataifa, kwamba umeibua jambo jipya, na ufumbuzi wake.

Ukiwa mbunge na waziri, sidhani kama utapata muda huo.
 
Akina muhongo system zimewatema wamebaki kujadili none sense mwananchi unataka phd au ufanisi wa mtu kwenye kukuletea maendeleo,hao watu kazi yao ni kusimamia sera na ilani ya chama phd sio lazima mbona tuna ma profesa wengi uwezo wao ni mdogo wanazidiwa na groduates parefu tu.
Hivi una akili timamu kweli?
 
Kwa mara ya kwanza Muhongo kaongea point. Point kubwa na ya msingi ni kwamba akina Sospeter wangebaki vyuoni kama maprofesa wangekuwa useful zaidi kwenye jamii kuliko walivyoingia kwenye siasa.
Muhongo alisukumizwa kwenye siasa na Kikwete.

Kabudi na Bashiru walisukumizwa kwenye siasa na Magufuli
 
Akina muhongo system zimewatema wamebaki kujadili none sense mwananchi unataka phd au ufanisi wa mtu kwenye kukuletea maendeleo,hao watu kazi yao ni kusimamia sera na ilani ya chama phd sio lazima mbona tuna ma profesa wengi uwezo wao ni mdogo wanazidiwa na groduates parefu tu.
Mkuu hivi unaelewa kinachojadiliwa hapa ? Sio kila mada lazima uchangie. Hapa watu wanaonyesha jinsi elimu inavyo haribiwa kwa evidence wewe unaonyesha ujinga wako hapa.
 
Akina muhongo system zimewatema wamebaki kujadili none sense mwananchi unataka phd au ufanisi wa mtu kwenye kukuletea maendeleo,hao watu kazi yao ni kusimamia sera na ilani ya chama phd sio lazima mbona tuna ma profesa wengi uwezo wao ni mdogo wanazidiwa na groduates parefu tu.
Umeongea kwa mihemko kunywa maji utulie, point hapa ni vitendo vya wanasiasa kuingilia mifumo yetu ya elimu kwa kupata phd za mchongo hivyo ku undermine ubora wa elimu yetu. Duniani kote elimu bora ndio nguzo ya mapinduzi kwenye maisha ya mwanadamu maana tunapata full cooked proffessionals wanaweza kuja kulisaidia taifa
 
Prof. Muhongo amewalima akina Doto Biteko na cohort nzima ya PhD ( P engine h ana D egree. Someni wenyewe hapa chini:

"Naomba niwasaidie: comments za Prof Mwandosya zichukuliwe kwa uzito wake unaostahili. Tuko kimya siyo kwamba hatujui ukweli wa ukweli.

Kwa nini msiombe yafuatayo:

1. Abstract of the PhD thesis/dissertation

2. Conclusions or Concluding Remarks of the PhD thesis/dissertation

Mkisoma hayo mtafanya uamuzi wa ubora wa PhD mnazozijadili.

Vilevile, mnaweza kupenda kuwafahamu:

3. Supervisor(s), who is (are) the Internal Supervisor(s)

4. External Examiner(s)

Muhimu zaidi, PhD nzuri itatoa publications kwenye International journals zenye measurable IMPACT FACTORS (IF) ambazo zinaheshimika zitakuwa na range ya O.75-10. Manuscripts zipelekwe huko ziwe published kwenye journals zenye hadhi hiyo ya average to good Impact Factor (IF) or Citation Index (IC).

Mengine yote yako nje ya "the realm of academia."

S Muhongo
17.12.2021"


MY TAKE:
Haya sasa TCU wako kimya kama maji ya mtungi.
Vigezo vya PhD vinabakwa mchana kweupe, wao kimyaaa!
View attachment 2050012
Tatizo lilianzia kwa PhD ya mwendazake, watu waliothubutu kuhoji uhalali vigezo vyake vya kitaaluma, kilichowakuta kila mtu anatambua maafa yaliyotokea. Sasa hii leo wabobezi wamejitokeza kuhoji hadharani.

Ni vyema hata ile ya tindikali ya maganda ya korosho nayo iwekwe kwenye kapu moja na hizi za watu wake wa karibu. Tuzo za shahada ni lazima ziheshimike katika utolewaji wake kwa kuzingatia vigezo vyote vya kitaaluma.
 
Prof. Muhongo amewalima akina Doto Biteko na cohort nzima ya PhD ( P engine h ana D egree. Someni wenyewe hapa chini:

"Naomba niwasaidie: comments za Prof Mwandosya zichukuliwe kwa uzito wake unaostahili. Tuko kimya siyo kwamba hatujui ukweli wa ukweli.

Kwa nini msiombe yafuatayo:

1. Abstract of the PhD thesis/dissertation

2. Conclusions or Concluding Remarks of the PhD thesis/dissertation

Mkisoma hayo mtafanya uamuzi wa ubora wa PhD mnazozijadili.

Vilevile, mnaweza kupenda kuwafahamu:

3. Supervisor(s), who is (are) the Internal Supervisor(s)

4. External Examiner(s)

Muhimu zaidi, PhD nzuri itatoa publications kwenye International journals zenye measurable IMPACT FACTORS (IF) ambazo zinaheshimika zitakuwa na range ya O.75-10. Manuscripts zipelekwe huko ziwe published kwenye journals zenye hadhi hiyo ya average to good Impact Factor (IF) or Citation Index (IC).

Mengine yote yako nje ya "the realm of academia."

S Muhongo
17.12.2021"


MY TAKE:
Haya sasa TCU wako kimya kama maji ya mtungi.
Vigezo vya PhD vinabakwa mchana kweupe, wao kimyaaa!
View attachment 2050012
Daa hii Title/Topic mbona kichekesho hata kwa mimi wa la saba B [emoji23][emoji23]...
 
Tatizo lilianzia kwa PhD ya mwendazake, watu waliothubutu kuhoji uhalali vigezo vyake vya kitaaluma, kilichowakuta kila mtu anatambua maafa yaliyotokea. Sasa hii leo wabobezi wamejitokeza kuhoji hadharani.

Ni vyema hata ile ya tindikali ya maganda ya korosho nayo iwekwe kwenye kapu moja na hizi za watu wake wa karibu. Tuzo za shahada ni lazima ziheshimike katika utolewaji wake kwa kuzingatia vigezo vyote vya kitaaluma.
Mwendazake aliua critics!
A very unproffessional attitude!
 
Ni vitu vya kushangaza sana. Musukuma tunaelewa hiyo takataka ameipata toka kwenye takataka huko India.

Yaani huyu Biteko na Jafo, ambao hata ukijadiliana nao, ni vigumu kufikiria wana viwango hata vya shahada za pili, leo eti wana PhD.

Kwa hili, UDOM imeonekana ni chuo takataka. Hata hao lecturers na professors wa UDOM, kuna taarifa pia hawana viwango vinavyotakiwa. Waligawana uprofesa na udokta kama mahindi ya kuchoma.

Kwanza wachunguzwe hao lecturers, pili hawa waliopewa PhD za michongo waundiwe tume ya kitaluma. Chuo kitazamwe upya, na kufanyiwa marekebisho makubwa ili kitoe elimu yenye ubora.
Natamani Mh.pole pole atie shule hapa ili tuongeze list ya wahuni.

Karibu mzalendo Humphrey.
 
Back
Top Bottom