masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Tatizo limeanzia mbali mkuu!Unafukua Makaburi Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo limeanzia mbali mkuu!Unafukua Makaburi Mkuu
Ndiyo Ukweli WenyeweTatizo limeanzia mbali mkuu!
Mwendazake aliwapa vyeo waalimu wote wa vyuo akabakiza wapenda vilaza wa dili.Dr Mwigullu
Dr Makamba
Dr Jaffo
Dr Biteko
Dr Nchimbi
Dr Makonda
Dr Gwajima
Dr Slaa
Dr Msukuma
Aibu kubwa kwa elimu yetu. Bora angetafuta zile za kupewa kama kina msukuma kuliko kupata PhD ya madesa.Elimu yetu inahitaji u serious sana, Hadi musukuma naye ni Dr eti. View attachment 2050044
Nenda UDOM.Naanza mchakato na mimi mwakan niitwe Dokta park don
... Duh! Ha ha ha! Sitii neno ila inasikitisha! Kuna online tools za ku-check plagiarism; UDOM hawakufanya hivyo?Elimu yetu inahitaji u serious sana, Hadi musukuma naye ni Dr eti. View attachment 2050044
HahahaaaahaaahaaTanzania tangu iwe chini ya CCM haijawahi kuwa serious.
Usomi kwa kiwango cha PhD, si ukariri wa Darasani.Kwani wewe umemuelewaje. Nahisi hujamuelewa kabisa. Wewe unayedoubt. Kafanye hayo yote.
Tusijidharau!Hizo porojo za akina Walter Rodney...!
Kama Timbuktu ilikuwa na chuo kikuu miaka 1000 Leo ingekuwa vile!
UhakikaNenda UDOM.
Hivi una akili timamu kweli?Akina muhongo system zimewatema wamebaki kujadili none sense mwananchi unataka phd au ufanisi wa mtu kwenye kukuletea maendeleo,hao watu kazi yao ni kusimamia sera na ilani ya chama phd sio lazima mbona tuna ma profesa wengi uwezo wao ni mdogo wanazidiwa na groduates parefu tu.
Muhongo alisukumizwa kwenye siasa na Kikwete.Kwa mara ya kwanza Muhongo kaongea point. Point kubwa na ya msingi ni kwamba akina Sospeter wangebaki vyuoni kama maprofesa wangekuwa useful zaidi kwenye jamii kuliko walivyoingia kwenye siasa.
Mkuu hivi unaelewa kinachojadiliwa hapa ? Sio kila mada lazima uchangie. Hapa watu wanaonyesha jinsi elimu inavyo haribiwa kwa evidence wewe unaonyesha ujinga wako hapa.Akina muhongo system zimewatema wamebaki kujadili none sense mwananchi unataka phd au ufanisi wa mtu kwenye kukuletea maendeleo,hao watu kazi yao ni kusimamia sera na ilani ya chama phd sio lazima mbona tuna ma profesa wengi uwezo wao ni mdogo wanazidiwa na groduates parefu tu.
Umeongea kwa mihemko kunywa maji utulie, point hapa ni vitendo vya wanasiasa kuingilia mifumo yetu ya elimu kwa kupata phd za mchongo hivyo ku undermine ubora wa elimu yetu. Duniani kote elimu bora ndio nguzo ya mapinduzi kwenye maisha ya mwanadamu maana tunapata full cooked proffessionals wanaweza kuja kulisaidia taifaAkina muhongo system zimewatema wamebaki kujadili none sense mwananchi unataka phd au ufanisi wa mtu kwenye kukuletea maendeleo,hao watu kazi yao ni kusimamia sera na ilani ya chama phd sio lazima mbona tuna ma profesa wengi uwezo wao ni mdogo wanazidiwa na groduates parefu tu.
Tatizo lilianzia kwa PhD ya mwendazake, watu waliothubutu kuhoji uhalali vigezo vyake vya kitaaluma, kilichowakuta kila mtu anatambua maafa yaliyotokea. Sasa hii leo wabobezi wamejitokeza kuhoji hadharani.Prof. Muhongo amewalima akina Doto Biteko na cohort nzima ya PhD ( P engine h ana D egree. Someni wenyewe hapa chini:
"Naomba niwasaidie: comments za Prof Mwandosya zichukuliwe kwa uzito wake unaostahili. Tuko kimya siyo kwamba hatujui ukweli wa ukweli.
Kwa nini msiombe yafuatayo:
1. Abstract of the PhD thesis/dissertation
2. Conclusions or Concluding Remarks of the PhD thesis/dissertation
Mkisoma hayo mtafanya uamuzi wa ubora wa PhD mnazozijadili.
Vilevile, mnaweza kupenda kuwafahamu:
3. Supervisor(s), who is (are) the Internal Supervisor(s)
4. External Examiner(s)
Muhimu zaidi, PhD nzuri itatoa publications kwenye International journals zenye measurable IMPACT FACTORS (IF) ambazo zinaheshimika zitakuwa na range ya O.75-10. Manuscripts zipelekwe huko ziwe published kwenye journals zenye hadhi hiyo ya average to good Impact Factor (IF) or Citation Index (IC).
Mengine yote yako nje ya "the realm of academia."
S Muhongo
17.12.2021"
MY TAKE:
Haya sasa TCU wako kimya kama maji ya mtungi.
Vigezo vya PhD vinabakwa mchana kweupe, wao kimyaaa!
View attachment 2050012
Daa hii Title/Topic mbona kichekesho hata kwa mimi wa la saba B [emoji23][emoji23]...Prof. Muhongo amewalima akina Doto Biteko na cohort nzima ya PhD ( P engine h ana D egree. Someni wenyewe hapa chini:
"Naomba niwasaidie: comments za Prof Mwandosya zichukuliwe kwa uzito wake unaostahili. Tuko kimya siyo kwamba hatujui ukweli wa ukweli.
Kwa nini msiombe yafuatayo:
1. Abstract of the PhD thesis/dissertation
2. Conclusions or Concluding Remarks of the PhD thesis/dissertation
Mkisoma hayo mtafanya uamuzi wa ubora wa PhD mnazozijadili.
Vilevile, mnaweza kupenda kuwafahamu:
3. Supervisor(s), who is (are) the Internal Supervisor(s)
4. External Examiner(s)
Muhimu zaidi, PhD nzuri itatoa publications kwenye International journals zenye measurable IMPACT FACTORS (IF) ambazo zinaheshimika zitakuwa na range ya O.75-10. Manuscripts zipelekwe huko ziwe published kwenye journals zenye hadhi hiyo ya average to good Impact Factor (IF) or Citation Index (IC).
Mengine yote yako nje ya "the realm of academia."
S Muhongo
17.12.2021"
MY TAKE:
Haya sasa TCU wako kimya kama maji ya mtungi.
Vigezo vya PhD vinabakwa mchana kweupe, wao kimyaaa!
View attachment 2050012
Mwendazake aliua critics!Tatizo lilianzia kwa PhD ya mwendazake, watu waliothubutu kuhoji uhalali vigezo vyake vya kitaaluma, kilichowakuta kila mtu anatambua maafa yaliyotokea. Sasa hii leo wabobezi wamejitokeza kuhoji hadharani.
Ni vyema hata ile ya tindikali ya maganda ya korosho nayo iwekwe kwenye kapu moja na hizi za watu wake wa karibu. Tuzo za shahada ni lazima ziheshimike katika utolewaji wake kwa kuzingatia vigezo vyote vya kitaaluma.
Naambiwa ukitaja PhD nenda UDOM!Daa hii Title/Topic mbona kichekesho hata kwa mimi wa la saba B [emoji23][emoji23]...
Natamani Mh.pole pole atie shule hapa ili tuongeze list ya wahuni.Ni vitu vya kushangaza sana. Musukuma tunaelewa hiyo takataka ameipata toka kwenye takataka huko India.
Yaani huyu Biteko na Jafo, ambao hata ukijadiliana nao, ni vigumu kufikiria wana viwango hata vya shahada za pili, leo eti wana PhD.
Kwa hili, UDOM imeonekana ni chuo takataka. Hata hao lecturers na professors wa UDOM, kuna taarifa pia hawana viwango vinavyotakiwa. Waligawana uprofesa na udokta kama mahindi ya kuchoma.
Kwanza wachunguzwe hao lecturers, pili hawa waliopewa PhD za michongo waundiwe tume ya kitaluma. Chuo kitazamwe upya, na kufanyiwa marekebisho makubwa ili kitoe elimu yenye ubora.