Chosen man
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 543
- 755
Tena PhD ya UDSM.Jiwe Ndiye Chanzo Cha PHD Za Mchongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena PhD ya UDSM.Jiwe Ndiye Chanzo Cha PHD Za Mchongo
[emoji23][emoji23]nchi hii kila mahali ni michongo tu kiasi mtu ukiitwa Dr flani watu wanakuchukulia wewe hamnazo Ile heshima iliyokuwepo hamna kabisa.Naona kila taaluma saa hizi imeingia michongo, kama msukuma, jaffo, biteko et al., nao wanatambuliwa kwa title ya Dr. basi nimeamua kutambuliwa kwa jina langu la awali bila kuweka title ya Dr. maana naona dharau zinazidi kwenye taaluma..........
Kweli mkuu! University College of Sankore, Timbuktu.Mkuu si sahihi kufikiria hivyo.
Chuo Kikuu cha kwanza cha usomi duniani kilikuwa Timbuktu, West Africa, zaidi ya miaka 1000 iliyopita, fuatilia.
Na kilikuwa na mitaala ya kiislamu.
Usicheze na Cuba. Kwa mfano, ubora wa huduma za afya zinalingana na zitolewazo New York ikiwa ni kielelezo cha ubora wa elimu yao.Udom wanataka kila nyumba angalau iwe na dr mmoja kama cuba aisee
Hivi una akili timamu kweli?
Yap wale wako vizur inafahamikaUsicheze na Cuba. Kwa mfano, ubora wa huduma za afya zinalingana na zitolewazo New York ikiwa ni kielelezo cha ubora wa elimu yao.
Pamoja na hiyo nami nashauri ziwekwe "Online" Ili tu confirm plagiarism through TurnItin au Copyscape au plagiarisma... kwa maprofesa nguli kama hawa kuhoji, kuna kitu nyuma ya pazia! Ni jukumu sasa la mamlaka ya udhibiti wa elimu ya juu nchini (TCU) kutoa majibu fasaha. Kama kuna michezo wanasiasa wanafanya kuchezea elimu angalau wawili watatu wawe mifano kukomesha hali hii for good!
Wekeni hizo abstracts, conclusions, na supervisors online watu wapitie; hata hizo theses hazitakiwi kuwa siri. Ziwekwe public pengine watafiti wengine wangependa "kuanzia walipoishia" kwenye tafiti mpya.
Hii post yako Bams itengezewe lamination halafu tuipeleke Ikulu kwa EMSNi vitu vya kushangaza sana. Musukuma tunaelewa hiyo takataka ameipata toka kwenye takataka huko India.
Yaani huyu Biteko na Jafo, ambao hata ukijadiliana nao, ni vigumu kufikiria wana viwango hata vya shahada za pili, leo eti wana PhD.
Kwa hili, UDOM imeonekana ni chuo takataka. Hata hao lecturers na professors wa UDOM, kuna taarifa pia hawana viwango vinavyotakiwa. Waligawana uprofesa na udokta kama mahindi ya kuchoma.
Kwanza wachunguzwe hao lecturers, pili hawa waliopewa PhD za michongo waundiwe tume ya kitaluma. Chuo kitazamwe upya, na kufanyiwa marekebisho makubwa ili kitoe elimu yenye ubora.
Sio kweli unajua Greece civilization wakina Plato, Aristotle, Socrates kabla hata ya kuzaliwa yesu walikua na shule wanafundisha.Mkuu si sahihi kufikiria hivyo.
Chuo Kikuu cha kwanza cha usomi duniani kilikuwa Timbuktu, West Africa, zaidi ya miaka 1000 iliyopita, fuatilia.
Na kilikuwa na mitaala ya kiislamu.
Concur 100%Ni vitu vya kushangaza sana. Musukuma tunaelewa hiyo takataka ameipata toka kwenye takataka huko India.
Yaani huyu Biteko na Jafo, ambao hata ukijadiliana nao, ni vigumu kufikiria wana viwango hata vya shahada za pili, leo eti wana PhD.
Kwa hili, UDOM imeonekana ni chuo takataka. Hata hao lecturers na professors wa UDOM, kuna taarifa pia hawana viwango vinavyotakiwa. Waligawana uprofesa na udokta kama mahindi ya kuchoma.
Kwanza wachunguzwe hao lecturers, pili hawa waliopewa PhD za michongo waundiwe tume ya kitaluma. Chuo kitazamwe upya, na kufanyiwa marekebisho makubwa ili kitoe elimu yenye ubora.
Afrika professional hailipi zaidi kuliko political mkuu.labda nje ndo career Zina Mana Sana.
Aliidhalilisha sekta ya elimu ya juu.Jiwe Ndiye Chanzo Cha PHD Za Mchongo
Aliidhalilisha sekta ya elimu ya juu.
Iundwe tume kuchunguza vipi mtu ambaye hakuperform vizuri sekondari na hakukidhi viwango vya kuwa direct entrant University , bado "akakidhi" na kutunukiwa PhD ndani ya miaka 2!
Waziri mmoja wa Ulinzi wa Ujerumani kama mwaka mmoja uliopita aliachia ngazi ilipobainika alikuwa amenukuu kama para moja hivi bila kukiri hivyo (kuonyesha ameitoa wapi). Hakuishia hapo, chuo kilichomtunuku nacho kikafutulia mbali cheti chake. Haya ni mataifa ambayo elimu imekomaa wakati sisi ndiyo tunaanza kujikongoja. Hatuna sababu ya kufuata maadili yao katika elimu. Tuendelee na yetu mdogo mdogo.