Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Prof. Muhongo amuunga mkono Prof. Mwandosya, TCU kimya!

Prof. Muhongo amewalima akina Doto Biteko na cohort nzima ya PhD ( P engine h ana D egree. Someni wenyewe hapa chini:

"Naomba niwasaidie: comments za Prof Mwandosya zichukuliwe kwa uzito wake unaostahili. Tuko kimya siyo kwamba hatujui ukweli wa ukweli.

Kwa nini msiombe yafuatayo:

1. Abstract of the PhD thesis/dissertation

2. Conclusions or Concluding Remarks of the PhD thesis/dissertation

Mkisoma hayo mtafanya uamuzi wa ubora wa PhD mnazozijadili.

Vilevile, mnaweza kupenda kuwafahamu:

3. Supervisor(s), who is (are) the Internal Supervisor(s)

4. External Examiner(s)

Muhimu zaidi, PhD nzuri itatoa publications kwenye International journals zenye measurable IMPACT FACTORS (IF) ambazo zinaheshimika zitakuwa na range ya O.75-10. Manuscripts zipelekwe huko ziwe published kwenye journals zenye hadhi hiyo ya average to good Impact Factor (IF) or Citation Index (IC).

Mengine yote yako nje ya "the realm of academia."

S Muhongo
17.12.2021"


MY TAKE:
Haya sasa TCU wako kimya kama maji ya mtungi.
Vigezo vya PhD vinabakwa mchana kweupe, wao kimyaaa!
View attachment 2050012
Kwa jinsi walivyo watasema kujua kiingereza siyo kigezo cha kupata PhD
 
Prof. Muhongo amewalima akina Doto Biteko na cohort nzima ya PhD ( P engine h ana D egree. Someni wenyewe hapa chini:

"Naomba niwasaidie: comments za Prof Mwandosya zichukuliwe kwa uzito wake unaostahili. Tuko kimya siyo kwamba hatujui ukweli wa ukweli.

Kwa nini msiombe yafuatayo:

1. Abstract of the PhD thesis/dissertation

2. Conclusions or Concluding Remarks of the PhD thesis/dissertation

Mkisoma hayo mtafanya uamuzi wa ubora wa PhD mnazozijadili.

Vilevile, mnaweza kupenda kuwafahamu:

3. Supervisor(s), who is (are) the Internal Supervisor(s)

4. External Examiner(s)

Muhimu zaidi, PhD nzuri itatoa publications kwenye International journals zenye measurable IMPACT FACTORS (IF) ambazo zinaheshimika zitakuwa na range ya O.75-10. Manuscripts zipelekwe huko ziwe published kwenye journals zenye hadhi hiyo ya average to good Impact Factor (IF) or Citation Index (IC).

Mengine yote yako nje ya "the realm of academia."

S Muhongo
17.12.2021"


MY TAKE:
Haya sasa TCU wako kimya kama maji ya mtungi.
Vigezo vya PhD vinabakwa mchana kweupe, wao kimyaaa!
View attachment 2050012
Aibu kubwa sana !
 
Kwa mara ya kwanza Muhongo kaongea point. Point kubwa na ya msingi ni kwamba akina Sospeter wangebaki vyuoni kama maprofesa wangekuwa useful zaidi kwenye jamii kuliko walivyoingia kwenye siasa.
Kwanini walikimbilia kwenye siasa ?
2393187_20200508_170418.jpg
 
Hii argument nimeisikia na bado nazidi kuisikia, kwamba wasomi wanalazimika kuingia kweye siasa kisa kwenye siasa kunalipa sana kuliko kwenye academics. Mi nina majibu mawili kuhusu hiyo argument. Kwanza nchi yoyote ile isiyoweza kutambua academics wake bora na ikaweza kuwaheshimu na kuwalipa inavyostahili hiyo nchi itabaki kuwa duni sana. Pili kuna shida kwa wasomi wetu ambao hawawezi kuwa proud na taaluma zao na wakajifanya cheap kwa kujiuza kwingineko wasikostahili eti kisa kunalipa. I can understand msomi ngazi ya profesa kuwa advisor wa serikali kwenye mambo yanayohitaji utaalamu. Lakini profesa kabisa, mtu aliyespend zaidi ya nusu karne akispecialize kwenye kitu kimoja flani afu anaacha kabisa taaluma yake na kwenda kugombea ubunge? Hapo kuna shida. Pia ni tabia mbovu kabisa kwa watawala wetu kuwateua maprofesa kwenda kufanya kazi trivial za adminstration kwenye serikali. You dont spend miaka kibao kubobea kitu fulani afu umfanye mtu huyo awe karani wa kusoma mafaili hata kama utamlipa mamilioni ya mshahara na posho. Huku kutoallocate resources appropriately, zikiwemo human na financial resources, kutaitesa hii nchi miak mingi ijayo. Tuna majitu mengi sana yanafanya kazi pasipostahili na tuna watu wengi sana wanalipwa isivyostahili.
Hapa umenena mkuu, tuna tia aibu sana...Mie nilijaribu ubunge last year daah kwanza nikajiona out of place kabisa!
 
Ukitaka kuwajua wasomi wa Tanzania, itazame na kuichunguza hii picha kwa dakika kumi...1,2,3,...

1639943754313.png

...4,5,6,7,8,9, Naam hawa ndio wasomi wenyewe...madaktari na maprofesa...masikini Tanzania chini ya CCM!​
 
Sio kweli unajua Greece civilization wakina Plato, Aristotle, Socrates kabla hata ya kuzaliwa yesu walikua na shule wanafundisha.

Concept ya ujamaa Plato aliipigia chapuo, huku Aristotle akipigia upatu capitalism na nyingine nyingi

Hiko chuo Cha tumbaktu kilichokua kinafundisha si uislamu tu na hamna kingine in short kilikua ni seminary
Mkuu:
Kwa Chuo kikuu cha Timbuktu kulikuwa na masomo mengi yàliyo fundishwa hapo.
Ni zaidi ya seminary ni vyema ungefuatilia kwa makini kuhusu historia yake.
 
Hizi PhD kwa nini zinasakwa kwa mwendokasi hivi na wanasiasa?
Na mimi nashangaa sana, au kuna ka kitu ahahahah, naona title hapo kama kweli iko vile aisee, itabidi Dotto aachie ngazi ahahaha
 
Hii argument nimeisikia na bado nazidi kuisikia, kwamba wasomi wanalazimika kuingia kweye siasa kisa kwenye siasa kunalipa sana kuliko kwenye academics. Mi nina majibu mawili kuhusu hiyo argument. Kwanza nchi yoyote ile isiyoweza kutambua academics wake bora na ikaweza kuwaheshimu na kuwalipa inavyostahili hiyo nchi itabaki kuwa duni sana. Pili kuna shida kwa wasomi wetu ambao hawawezi kuwa proud na taaluma zao na wakajifanya cheap kwa kujiuza kwingineko wasikostahili eti kisa kunalipa. I can understand msomi ngazi ya profesa kuwa advisor wa serikali kwenye mambo yanayohitaji utaalamu. Lakini profesa kabisa, mtu aliyespend zaidi ya nusu karne akispecialize kwenye kitu kimoja flani afu anaacha kabisa taaluma yake na kwenda kugombea ubunge? Hapo kuna shida. Pia ni tabia mbovu kabisa kwa watawala wetu kuwateua maprofesa kwenda kufanya kazi trivial za adminstration kwenye serikali. You dont spend miaka kibao kubobea kitu fulani afu umfanye mtu huyo awe karani wa kusoma mafaili hata kama utamlipa mamilioni ya mshahara na posho. Huku kutoallocate resources appropriately, zikiwemo human na financial resources, kutaitesa hii nchi miak mingi ijayo. Tuna majitu mengi sana yanafanya kazi pasipostahili na tuna watu wengi sana wanalipwa isivyostahili.
Mkuu hivi unachozungumza unakitafakari?? Huwezi kumpangia mtu cha kuifanyia elimu yake. Kuwa Prof. au Dr. haimainishi kwamba ndio kunakufunga kuwa mtawala au kufanya kazi za kisiasa. Kila mwanadamu anayohaki ya kiutumia elimu yake vile anavyojisikia maana ni elimu yake.
 
Ndalichako Yuko kimya tu .huyu si ndo alituambia bila A level hakuna uni. Anaruhusuje uzwazwa kwenye PHD .Hadi Dr Msukuma
 
Kwa mara ya kwanza Muhongo kaongea point. Point kubwa na ya msingi ni kwamba akina Sospeter wangebaki vyuoni kama maprofesa wangekuwa useful zaidi kwenye jamii kuliko walivyoingia kwenye siasa.
Hizi Dr,prof na ujinga mwingine kama huo hazijawahi kuwa na msaada wowote kuondoa ujinga wa wahusika..

Ndio maana wengi wamefeli kwenye nyanja mbalimbali.Hao ndio wanaoitwa wa jalalani ,wanaongea professorial rubbish na kuongea nonsense za kuzidi.
 
Back
Top Bottom