Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo sahahi kabisa; inawezekanaje wewe mtaalam ukatumia taarifa ya feasibility study ya 1970 ukajenga mradi mkubwa wa JNHP? kama siyo utahira ni nini? kisa kiongozi flani amesema kua mradi uanze feasibility study itakuja nyuma.
Sidhani kama tunapaswa kuendelea na viingozi wa namna hii
Mwendazake asingemwacha salama - tungekuwa tunasema mengine kwa Prof huyu.Assad Prof......umenena vema Sana,ila ingekuwa vema zaidi ungeyanena haya WAKATI MWENDAZAKE YUPO,NINGEPATA RAHAAAAAA ZAIDI...ila wamekusikia...WANAFIKI WOTE WAMEKUSIKIA...NA WAOGA WOTE WAMEKUSIKIA
Tanzania imepitia uozo mkubwa sana !Imagine! Nafikiri mwendazake alikuwa na matatizo ya afya ya akili, na ile PhD yake ilimaanisha Parmanent Head Damage! No wonder kina Ben Saa8 walioihoji walipotezwa!
Kheeee....!!! feasibility study itakuja nyuma???? Halafu matokeo ya feasibility study yakiukataa mradi itakuwaje? AU ndo itakuwa NDIYO MZEE kila hatua ya study hiyo?Yupo sahahi kabisa; inawezekanaje wewe mtaalam ukatumia taarifa ya feasibility study ya 1970 ukajenga mradi mkubwa wa JNHP? kama siyo utahira ni nini? kisa kiongozi flani amesema kua mradi uanze feasibility study itakuja nyuma.
Sidhani kama tunapaswa kuendelea na viingozi wa namna hii
Kile chuo nakihurumia sana yaani siku wazanzibari wakisusa kwenda kinakufa kifo cha mendeAssad mwenyewe uwezo mdogo. Tangu UD ulikuwa nyuma ya waklati wa promosheni yako. KUwa CAG ulibebwa, Umetolewa nafasi ya CAG ukapewa chuo Morogoro hujakifikisha kokote. Uezo uko wapi?
nadhani hata huko aliko wadudu wataogopa pia mumsogelea kabisaaaaBwana yule alikuwa anaogopwa mpaka na Inzi.
Hahaahahhaa nakumbuka[emoji2][emoji2][emoji2],Alikuwa anatisha, Assad mwenyewe aliulizwa 'eti Kuna fedha imeibiwa mbele ya hadhala, Assad alikataa hakuna
Elimu yetu ni ya kutishana kwa Bachelors, Masters na PhD lakini ndani ya vichwa huoni elimu yoyote. Wengine sasa wanajiita dokta fulani bila hata karatasi ya jina hilo.Kuna haja ya kutazama upya mfumo wetu wa elimu ambao Ndio unaowajenga hawa viongozi, hususani katika ngazi za juu za elimu yaani vyuo vikuu.
Wengi wenye masters uwezo wao ni wa kubabaisha, walimu wengi pia wa vyuo uwezo wao ni mkubwa kiakili lakini hawana uwezo wa kuelezea waliyoanayo kichwani. Je, ni wakati sahihi wa kutafuta walimu wa vyuo wenye uwezo mzuri wa kuelezea hoja kwa kina, na kuachana na degree za GPA 4.5 za kukariri lakini ukimwambia aeelezee kidogo alichonacho anashindwa , japo anaijua?
Professor Assad ameingia mkataba na Eu kukagua miradi itokanayo na pesa za Eu nchini Tanzania .Assad mwenyewe uwezo mdogo. Tangu UD ulikuwa nyuma ya waklati wa promosheni yako. KUwa CAG ulibebwa, Umetolewa nafasi ya CAG ukapewa chuo Morogoro hujakifikisha kokote. Uezo uko wapi?
Ni wengi nchi hii walio na mikataba ya aina hiyo, tena hata hawaitwi professor . Wengine wanakagua miradi ya USAID, wengine DANIDA, NORAD, etc. What’s special?Professor Assad ameingia mkataba na Eu kukagua miradi itokanayo na pesa za Eu nchini Tanzania .
Kama alibebwa Basi hata hawa mabeberu EU wamembeba[emoji23][emoji23] kwa kumpa u-auditor