Prof. Mussa Assad: Asilimia 60 ya viongozi wana uwezo mdogo

Prof. Mussa Assad: Asilimia 60 ya viongozi wana uwezo mdogo

Alisema feasibility study ifanyike, Je ilifanyika?.
Ulishaona mradi unaendelea ukafanya feasibility study tena? Huo utakuwa ufisadi mwingine. Jua kuwa mradi wa JNHP ulikuwa unaendeshwa na RUBADA kabla ya serikali uuchukua.
 
Serikali inashindwa kuleta mabadiliko chanya kwa sbsb 60% ni Vilaza. Ndo maana hautosogeimbele..Je serikali ifanyeje iwapo watu hawa ni vilaza
 
Kichere CAG ndiye ametoa ropoti juzi. Sasa huyu Assad anahusika vipi. ?
Kichere ameelezea financial irregularities. Sasa unataka Rais afanye nini? Afunge watu jela? Unataka Rais afanye kazi au adukuliwe?
 
Bila kusahau na wewe umeongeza post ya Assad kuwa nyingi zaidi.
Kwa kifupi Tumechanganyikiwa
 
Kichere CAG ndiye ametoa ropoti juzi. Sasa huyu Assad anahusika vipi. ?
Kichere ameelezea financial irregularities. Sasa unataka Rais afanye nini? Afunge watu jela? Unataka Rais afanye kazi au adukuliwe?
Kila mmoja kaongelea yake....ndio maana hata wewe mm tunaposti hapa...uhuru
 
MATAGA tambueni wakati ni ukuta. Tulieni dawa ipenye kunako make miaka 5 iliyopita sisi tuliwavumilia sana japo kwa maumivu makali sana.

Make Tanzania Happy Again (MATAHA) ndiyo wakati wetu sasa.
 
Viongozi wengi sio wazuri au hawakidhi kiwango kinachohitajika, tatizo langu ni moja tu inapofika mahali unaona mtu anakosea na huwezi kusema kama mtu anakosea, unakuwa umefika mahali pabaya sana,” alisema Profesa Assad na kuongeza:

“Sio lazima umkosoe wazi wazi, lakini angalau basi andika kwamba mheshimiwa nimeona umefanya jambo hili na hili, lakini nafikiri kimsingi jambo hilo halikuwa sawa; rai yangu turekebishe hapa na hapa, akipata rai kwa mtu mmoja atakasirika, akipata rai hiyo kwa watu 10 kwenye cabinet (baraza) yake lazima asikilize
Mmoja kati yao ni Prof Asad mwenyewe
Asad alikuwa mshauri mkuu wa kiongozi ambaye hakuonesha perfomance yoyote . Asad ni mshauri wa MUM chuo kinachosimamiwa na kuendeshwa kama primary school ya boarding
 
Tena amepaja idadi ndogo. Ni asilimia 80. Niambia watu kama Msukuma, Kigwangala, wana uwezo gani? Viongozi wa aina hiyo wako wengi sana na ndiyo wamejaa CCM.
Ungekuwa unachukua digrii chuoni ukaenda na hiyo tafiti yako kuwa asilimia 80 ya viongozi wote wa serikali nchi wana uwezo mdogo .Maprofesa wangekufukuza na chuo kabisa kuwa umewapoteza muda wa kukufundisha mtu mjinga kama wewe sababu wanajua huwezi justify kwa takwimu hata wakupe miaka 10 ya kuzitafuta hizo takwimu za Asilimia 80 ya vipngozi wote.Chukulia kuna viongozi ambao ni walimu wakuu wa shule za msingi na sekondari ukusanye takwimu zao nchi nzima kisha uje viongozi wote wa kata na tarafa na wilaya na mikoa wa vitengo na idara zote nchi nzima ukusanye takwimu zao kisha uje viongozi wote wakiwemo wakuu wa idara mbalimbali za halmashauri nchi nzima utafute takwimu zao halafu uje viongozi wote wa juu na chini wa vyombo vya ulinzi.na usalama nchi nzima ukusanye takwimu zao halafu uje za viongozi wote wa mawizara wa juu kati na chini ukusanye takwimu zao halafu uje ukusanye taarifa za viongozi wote ea taasisi na idara kuanzia wakuu wao wakurugenzi mameneja nk .Halafu ndipo ufikie conclussion kuwa asilimia 80 .
Kwa hili Proffesa Assad kajionyesha kuwa ni Profesa uchwara
 
Yeye Assad uwezo wake mkubwa uliisaidia nini NBC, NSSF.

Alikua mwenyekiti wa bodi ya NBC,bank nusu ifilisike.

Amekua mjumbe wa NSSF, tunajua ugoro wa NSSF.

Yeye akili yake kubwa alizisaidia nini hizo taasisi?
 
Kuna haja ya kutazama upya mfumo wetu wa elimu ambao Ndio unaowajenga hawa viongozi, hususani katika ngazi za juu za elimu yaani vyuo vikuu.
Wengi wenye masters uwezo wao ni wa kubabaisha, walimu wengi pia wa vyuo uwezo wao ni mkubwa kiakili lakini hawana uwezo wa kuelezea waliyoanayo kichwani. Je, ni wakati sahihi wa kutafuta walimu wa vyuo wenye uwezo mzuri wa kuelezea hoja kwa kina, na kuachana na degree za GPA 4.5 za kukariri lakini ukimwambia aeelezee kidogo alichonacho anashindwa , japo anaijua?
 
Back
Top Bottom