Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

Sio kila jambo ni kwa ajili ya kusutana, bali mambo mengine ni kwa ajili ya kujifunza sehemu tulizokosea ili kutupa muongozo kwa maamuzi yetu ya kesho.
Kweli kabisa, tujifunze, tulipokosea, ili tusirudie.
Hili la katiba mpya, Rais apunguziwe madaraka, ni la muhimu sana!
Mwendazake alikuwa anaelekea kuwa hatari kwa afya ya nchi na hata majirani zetu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
hizo nyaraka haupewi kishkaji kama unapewa nyanya.
kuna taratibu zake. sasa kama taasis husika ina uwezo wa kukataa au kukubali ku handover data. depends na situation ikoje.
 
Umetumia nguvu nyingi kumjibu HUYO mpuuzi..Kwakua hatakuelewa...!na NI mpuuzi haswa..HAMNA KITU ANAJUA
 
WEWE utakuwa kinyesi Cha Nguruwe
 
Binadamu wa sasa ile kitu inaitwa aibu hakuna kabisa.

Yaani mtu anaitisha press kumsuta marehemu ilhali anajua kabisa mhusika hayupo na hataweza kujitetea.
Unasutwa uongoz wa awamu ya tano acha ujinga SUKUMA GANG.Kwanza yey hakutaka watu waseme km ww kibishi muulize Lissu.Kila mtu atakufa waache watu wampumulie ameumiza sana watu hvy km ulifurahia utawala wake endelea kukuna likitambi lako
 
Eti niliomba nyaraka nikanyimwa,

Itakua walishazifahamu tabia zake za kupenda kufanya yasiyomhusu ndio maana wakamnyima ,

Ingawa hajasema ni nyaraka zipi ili tujue kama alikua anastahili kupewa ama la.
ww nae umechanganya mafile. ni sheria kuwa kila taasis lazima iwakilishe nyaraka kwa Office ya CAG kwa ukaguzi.
tabia si sababu.. hiyo ni excuse ya kitoto kabisa mbele ya professionalism
 
huwa nakuelewa sana mkuu, na hapa umeweka uchama pembeni kabisa. kongole

ccm kama chama huchafuliwa na watu ambao hulinda uovu unaofanywa na viongozi wao kwa ku uhusisha na chama. eti fulani kaharibu, tumlinde ili chama kisichafuke.. huo ni ujinga, fulani kaharibu atenganishwe na chama ili avune alichokipanda..

wengi hao walinufaika na huo ubadhirifu, hawataki uwekwe wazi maana na wao soon au later wataumbuka tu.

wanajificha kweny kichaka cha eti marehem hasemwi vbaya
 
ndiyo iwekwe wazi tuone, siyo story za vijiweni
Tatizo nyinyi mlikuwa hamsikilizi hotuba zake ndio.maana mambo.mengi mko gizani .Raisi alihutubia kabisa kuwa Hizo ndege ni serikañi.imenunua sio ATCL na akadema tutawakabidhi ATCL pamoja na ndege za Raisi amb.azo zipo zinakaa bure tu wazitumie

Zile ni mali ya serikali huwezi ziona kwenye vitabu vya ATCL sababu sio mali yao na hawakununua wao
 

kwani yeye alinunua kwa fedha zake mfukoni au kwa kodi za wananchi?

kama alisema hivyo, hofu yake ilikua ipi kutoa hizo nyarka kwa cag?
 
Binadamu wa sasa ile kitu inaitwa aibu hakuna kabisa.

Yaani mtu anaitisha press kumsuta marehemu ilhali anajua kabisa mhusika hayupo na hataweza kujitetea.
Anatoa la rohoni, then anakuwa huru......marehemu hakutaka /hakuruhusu kukosolewa"

Vumilieni tu,.. tutasikia na kuona mabaya mengi ya marehemu, inawezekana ikawa ndio habari ya mjini kwa miaka 10 ijayo, vumilieni tu MATAGA.
 
Tujifunze kusema mabaya ya marehemu ili waliopo hai wapate kujifunza kutenda wema Duniani
Pia tuwafundishe watu kutenda wema ili kuepuka fedheha hizi siku wakiwa hawapo.
 
kama alisema hivyo, hofu yake ilikua ipi kutoa hizo nyarka kwa cag?
umesikiliza upande mmoja na kutoa conclussion .Ushahidi wa kusema hakkutiñoa uko wapi.Kafa atasingiziwa mengi

Ripoti añizosoms huyo Former CAG Assad miaka yake mbona hakusema kuwa alinyimwa nyaraka kwenye ripoti zake? Ripoti zote za Audit ukinyimwa taarifa fulani kwenye ripoti yako inataliwa uandike na usome hivyo Yeye mbona hilo.hakulionyesha kwenye ripoti zake za wakati huo? Naye mbabaishaji na mnafiki tu hana lolote
 
Taratibu mkuu, tumuache Marehemu Apumzike, hata kama ni kukosoa bhasi tufanye hivyo huku tukijua kuwa amekwisha kufa.
 
Tunakumbuka kipindi kile alipotea siku kadhaa na aliporudi hakutaka kusemasema sana nahisi this is the right time ngoja aseme...
Daah nakumbuka ile ishu sijui walimfanya nini kule walikompeleka,mzee alivyorudi hakutaka kusema, eti nilipata safari ya ghafla na huko hakukuwa na network, ndiyo mpaka mkewe na familia wasijue?
 
Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu
Professor anasikitisha sana
Serikali gani inafanya kazi kwa mtindo huo?
Halafu yeye si alipewa meno?kwa nini hakuyatumia au kujiuzulu?
Watanzania tunaongoza kwa unafiki duniani,hasira zote kwa marehemu,haisaidii kitu
 
Huu mtindo wa kubana watu uliisha tarehe 26/3 /2021. Hii ni nchi huru sasa.
 
Exactly....with due respect Assad atulie....hili sasa ni gubu anaharibu.
 
Auditors kisheria Wana haki ya kushirikishwa kwenye vikao vyote, na access ya nyaraka yoyote ktk kipindi chochote ambapo huyo auditors yuko agreed.
Auditors kwa mfano anaweza akaitisha sales za mwaka huu hata kama anakagua financial statements za mwaka jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…