Wewe usie kiazi kule pale juu umesema kastaafu kwa mujibu wa sheria au mkataba umeisha kwa mujibu wa sheria?Mkataba wa CAG ni wa miaka mitano we kiazi
Endelea kubweka Kwasababu hujui kitu
Duh. Taarifa gani tena unataka Yahe ? Yule Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi alijua katumbuliwa asubuhi. Ikabidi asiende kazini.
ππDuh. Taarifa gani tena unataka Yahe ? Yule Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi alijua katumbuliwa asubuhi. Ikabidi asiende kazini
CAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa
Mkataba wake wa ajira umeisha,wapo Watanzania Wengi wenye sifa za kushika hicho cheo,asije akajiona yeye ndio perfect peke yake
Huyu mzee anazeeka vibaya
Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya. Nasubiri kupata taarifa rasmi ya termination kwa sababu niko safarini kikazi πrof. Mussa Assad akizungumzia uteuzi wa CAG mpya
No waaay! What! Like seriously? Kwamba CAG Profesa Musa Juma Assad ametumbuliwa na Rais Magufuli? sio kwamba muda wake kustaafu umefika? Kwamba yupo kwenye safari ya kikazi na Rais kamtumbua? Kama ndivyo ni mwendelezo wa kuvunja katiba, ibara ya 143 na 144. Ofcourse ana miaka 58!
uko sahihi 100%, ila huyu aliye teuliwa hatoshi icho kiti.tunamfahamu uwezo wake mdg maana kashapewa nyadhifa kubwa akashindwa muduCAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa
Mkataba wake wa ajira umeisha,wapo Watanzania Wengi wenye sifa za kushika hicho cheo,asije akajiona yeye ndio perfect peke yake
Huyu mzee anazeeka vibaya
Mbona CAG's waliopita waliongoza zaidi ya miaka mitano?Mkataba wa CAG ni wa miaka mitano we kiazi
Endelea kubweka Kwasababu hujui kitu
Muda wake unaisha kesho rasmi, miaka 5. Ni suala la mkataba wake unatefushwa au laa. Na inavyoonekan haurefushwi.Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya. Nasubiri kupata taarifa rasmi ya termination kwa sababu niko safarini kikazi πrof. Mussa Assad akizungumzia uteuzi wa CAG mpya
No waaay! What! Like seriously? Kwamba CAG Profesa Musa Juma Assad ametumbuliwa na Rais Magufuli? sio kwamba muda wake kustaafu umefika? Kwamba yupo kwenye safari ya kikazi na Rais kamtumbua? Kama ndivyo ni mwendelezo wa kuvunja katiba, ibara ya 143 na 144. Ofcourse ana miaka 58!
Usikariri...sio lazia waongoze zaidi ya miaka 5.Mbona CAG's waliopita waliongoza zaidi ya miaka mitano?
Mr Yamoto hakuna Kifungu chochote cha Katiba kilichovunjwa. Ukikisoma hicho kifungu kinasema CAG atakaa kwa muda wa miaka mitano ambayo inaweza ikaongezwa mitano mingine. Yaani vipindi viwili. Prof. Assad aliteuliwa Novemba, 2014. Amekamilisha miaka mitano Novemba, 2019. Rais hajaamua kumuongezea miaka ile mitano mingine na halazimishwi kutoa sababu. Kavunja Katiba wapi?Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya. Nasubiri kupata taarifa rasmi ya termination kwa sababu niko safarini kikazi πrof. Mussa Assad akizungumzia uteuzi wa CAG mpya
No waaay! What! Like seriously? Kwamba CAG Profesa Musa Juma Assad ametumbuliwa na Rais Magufuli? sio kwamba muda wake kustaafu umefika? Kwamba yupo kwenye safari ya kikazi na Rais kamtumbua? Kama ndivyo ni mwendelezo wa kuvunja katiba, ibara ya 143 na 144. Ofcourse ana miaka 58!
Ahsante barafuyamoto!Muda wake unaisha kesho rasmi, miaka 5. Ni suala la mkataba wake unatefushwa au laa. Na inavyoonekan haurefushwi.
Labda alidanganya mwaka aliozaliwa, maana wazee wengi miaka ya nyuma walikuwa wanarudisha nyuma mwaka aliozaliwaOctober 3, 2019
- October 6 1961
Miaka 57 na siku 362
Huko kwenu huwa wanastaafu na miaka 58?
Darasa la tatu kwenda la nne mtihani wa hesabu ulipata ngapi?
ππ imenibidi nicheke tu. Like seriously?Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya. Nasubiri kupata taarifa rasmi ya termination kwa sababu niko safarini kikazi πrof. Mussa Assad akizungumzia uteuzi wa CAG mpya
No waaay! What! Like seriously? Kwamba CAG Profesa Musa Juma Assad ametumbuliwa na Rais Magufuli? sio kwamba muda wake kustaafu umefika? Kwamba yupo kwenye safari ya kikazi na Rais kamtumbua? Kama ndivyo ni mwendelezo wa kuvunja katiba, ibara ya 143 na 144. Ofcourse ana miaka 58!
Kweli wewe kiumbe umekaa kitejateja hata akili hazimo.. Unapost pumbapumba tu na uharo.. Sio ajabu ndivyo team za mafisi zilivyo na akili zenye funza ndio mnaopendwa na kichaa wenu mkuuCAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
Lakini aliye teuliwa hajateuliwa kwa weledi wa kazi bali kwa ushikaji na ufisadiCAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa
Mkataba wake wa ajira umeisha,wapo Watanzania Wengi wenye sifa za kushika hicho cheo,asije akajiona yeye ndio perfect peke yake
Huyu mzee anazeeka vibaya