Na ww ulikuwa hutaki Magufuli asemwe.Wewe Unafikiri Assad kaanza kumsema Magufuli baada ya Magufuli kumfukuza kwenye hiyo nafasi? Huyo jamaa toka alipoteuliwa kuwa CAG wakati huo Magufuli ni waziri tu.
Anayekuondoa bila kufuata taratibu katiba imempa mamlaka ya kimungu, unategemea nini?Kwa nini alikubali kuondolewa bila kufuata sheria?
Naye ni wale wale mapim....biiize
Unaweza kumgomea boss wako kukuondoa kazini even if ni kinyume na sheria?Kwa nini alikubali kuondolewa bila kufuata sheria?
Naye ni wale wale mapim....biiize
Ukiwa na akili mtu akikuuliza swali la kipumbavu ukajibu anakuona una matatizo.Nani sasa aachane na maswali ya kipumbavu; aliyeulizwa au aliyeuliza.
Jiwe alikuwa mpumbavu sanaKwa hiyo mpaka leo anawazia UCAG?Hiyo ni kuchanganyikiwa kabisa. Alitaka awe CAG wa maisha?
Hakuwa mpumbavu Ila alikuwa hataki unafiki. Prof mzima anawaza UCAG. Vizazi vijavyo tuandae Ma Prof , wanaoweza kugenerate kazi nyingi.Jiwe alikuwa mpumbavu sana
Ww ukiweno.Kwenye hiyo habari ndio ulichoambulia hicho?
Kuna mahali nimeona Tanzania inaongoza kwa Ujinga Afrika nzima.
Mie sipo kwa waliyokuwa wanataka asemwe au asisemwe.Na ww ulikuwa hutaki Magufuli asemwe.
Tofauti zao zinatokana na niniSheria ipi sasa angetumia ili kumuondoa kulingana hizo sababu zilizofanya hadi amuondoe? Kilichomkuta Assad ni sawa tu na Ndugai na ndio maana nasema hata angekuwepo kipindi cha Samia bado Assad angetolewa tu.
Magufuli na Assad ugomvi wao ni kabla hata Magufuli hajawa rais.
Ripoti za cag zinasemaje kuhusu miradi ya NHC na nssfMtu yoyote yule mwenye nia safi, akifanyiwa injustice huwa hawasahau, aliondolewa bila utaratibu baada ya kuibua madudu ambayo yalichafua legacy, badala ya kudeal na wahusika kiongoz akaona a deal nae, na maeneo mengine yasikaguliwe.
So sio suala la kukaa kimya, huyu baba ni mkweli na hana doa kwenye file lake.
Kukaa kimya ndio huwa kunaruhusu viongoz waovu kuendelea na mambo na ajabu
Unaongea kweli au una dhania.Hivi unafikiri kwa record na cv yake huyo bwana ana shida na hiyo nafasi? Unajua before CAG, amefanya kazi wapi?
Mostly ni taasis kubwa za kifedha dunanian, nje ya nchi hii. Kwa taarifa yako aliitwa na marehemu, hakutaka ila aliitwa akiwa bado yupo nje
Kulalamika hamaanishi anataka, but yaliyotokea ni upumbavu. Huwez kufunika waovu halaf uka deal na alie uibua. Jiwe asingemuita kutoka nje
Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof Mussa Assad ameeleza namna alivyopata taarifa za kutenguliwa kwake katika nafasi hiyo.
“Utenguzi wangu kuna mtu alinipigia simu siku moja kabla kuhusu utenguzi wangu, na saa moja kabla ya taarifa kutoka nikapigiwa simu tena basi nikampa funguo yule dereva wangu yeye akarudi Dodoma mimi nikapanda ndege kurudi Dar” Prof Mussa Assad CAG wa zamani.
Lakini pia siku naenda ofisi ambapo nilikuwa bado ni CAG kwa sababu nilikuwa naondosha tarehe nne lakini nakutana na vijana Ofisi kwangu, vijana wananiambia Profesa huko juu kuna watu na tunahisi hautoweza kuingia ofisi kwako. Ni kawambia no hakuna mtu anaweza kuniingilia leo tarehe 3 nataka kuangalia ofisi yangu kuclose mafails ili kesho niondoe vitu vyangu.
Nikapanda juu gholofa ya 3 naona vijana wawili kwenye mlango wamekaa nikawafuata, jamani vipi haa Profesa sisi tumetumwa tukae hapa na wewe leo usiingie ofisini kwako. Nikasema nani amewatuma? wakajibu sisi tumetumwa na viongozi wetu. Nikauliza hivi kiongozi wako anajuwa leo tarehe 3? Akajibu anajuwa lakini sisi tumeambiwa tukae hapa tusiondoke.
Basi mimi nikawaambia napiga simu sahivi nikashuka chini gholofa ya pili kijana mmoja naye akashuka eh Profesa wewe njoo kesho asubhi hapa utaingia mimi nikamwambia nataka kuingia leo nikampigia simu Chief secretary. Lakini si kutaka kurudi tena juu nikaamua kuondoka zangu kurudi nyumbani kwangu.
Prof Mussa Assad aliteuliwa kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 05, mwezi Novemba 2014 na kuhudumu katika nafasi hii mpaka tarehe 04, Novemba 2019 ambapo muda wake wa utumishi ulimalizika.
Soma Pia:
Prof Mussa Assad alifanya kazi kwenye awamu ya nne ya Urais ambaye Rais alikuwa Jakaya Kikwete na awamu ya tano Rais alikuwa Hayati Joseph Magufuli.
- Prof. Mussa Assad atoa maoni yake kuhusu Ripoti ya CAG, asikitishwa na yanayoendelea
- Profesa Assad: Nashutumiwa bila ya makosa na naichukulia hatua hiyo ya Bunge kwa utulivu, suala hilo halinisumbui
- CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya
Lia tena mtoto mzuri, utafanya nini juu ya hilo? Aliliwa kichwa habari ikaisha, kamsaidie kulia na wewePimbi kweli wewe. Huoni huyo aliyejibiwa alipotosha kwamba Prof Assad alimaliza mkataba wake.
Ww naona hujaelewa alicho hojiwa na alichojibu ulipata division 4 nn?Kwa hiyo mpaka leo anawazia UCAG?Hiyo ni kuchanganyikiwa kabisa. Alitaka awe CAG wa maisha?
Ww una first div mbona hauelewi chochote.Ww naona hujaelewa alicho hojiwa na alichojibu ulipata division 4 nn?
Unaweza kumgomea boss wako kukuondoa kazini even if ni kinyume na sheria?
Usijikute unamjua sanaa Assad, we jua tu humjui.So sio suala la kukaa kimya, huyu baba ni mkweli na hana doa kwenye file lake.
UNAONA SASA,KUMBE UNAZUNGUMZA KITU AMBACHO HATA HAUKIFAHAMU,KAMA ANADAI HAKI SI TARATIBU ZIPO SIYO MWANAUME KULIA LIA KWENYE VYOMBO VYA HABARI. AJAZE FORM YA MADAI NA AANDIKE BARUA. LAKINI YEYE MIAKA 3 HII AMESHINDWA KWENDA MWONA SAMIA AKAMPATIA PESA ANAZO TAKA? AACHE UBWEGE. YEYE AKIWA ANALIA LIA NA NYIE WENGINE MFANYEJE SASA?