Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mengine ngumu kutosemeka..usuposema uzeen utakuwa mchawiHuwa siwaongelei marehemu kwa ubaya, sio kwasababu tuu ya imani yangu kwa mtu ila sababu sijui hata pale ambapo Mungu aliwachukua walikuwa kwenye hali gani kiroho
Nadhani walisoma wote.Kwa heri Mwamba
Huyu Gwiji ndie alikuwa Mmoja wa Supervisor wa PhD ya Dr Kondilize Rice (1982) baadae alikuja kuwa Waziri wa Mambo ya Nje ya Marekani
Nasikia corona nayo inatwanga sana hospitals kumejaa suspects corona mbaya sana tujihamiiiDuh!
Hii imekuwa wiki ya vifo
Wewe mbona unampigia magoti Dj?Hakuwahi kumpigia mtu magoti
Alistaafu UDSM akawa part time pale SAUT Mwanza.View attachment 1816939
Ni habari mbaya ambayo imetokea muda si mrefu.
Aliyekuwa Mhadhiri wa Vyuo Vikuu mbalimbali nchini, Prof. Mwesiga Baregu amefariki dunia mapema leo.
Prof. Baregu alikuwa pia Mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA.
Pia Soma: Prof. Baregu alifukuzwa UDSM kwa sababu za kisiasa, huku Bashiru akiachwa kwakuwa ni CCM