TANZIA Prof. Mwesiga Baregu afariki dunia

TANZIA Prof. Mwesiga Baregu afariki dunia

Kwa kweli ya dunia ni mengi ila kifo ni kigumu sana kukizoea. RIP Prof.
 
Pumzika kwa amani mzee mwenzangu, Nitaukumbuka mchango wako katika kusimamia na kukuza demokrasia ndani ya nchi yetu. Hakika chama chetu kimepoteza mtaalamu mashuhuri wa sayansi ya siasa.
 
A life well lived.
May the professor's soul be granted peace.
 
Back
Top Bottom