Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Nimesoma thread yote bado sijaelewa tatizo la huyu mama anayelalamikiwa ni lipi. Mleta mada analalamika tu na wachangiaji hivyo hivyo.

Ni vyema mkajitahidi kusema tatizo lake ni nini ili muwarahisihie kazi wahusika mnaotaka wachukue hatua na sisi Wananchi watumiaji wa JF tuweze kufahamu hasa huyu mama kafanya nini huko Chamwino maana wengine makazi yetu ni huku Nakapanya Chamwino tunasikia tu kwenye nyimbo za CCM.
Rudia kuisoma kwa umakini utaelewa tu.
Baadhi ya walimu wengi wakike ni matatizo tu huko mashuleni hasa wake wa viongozi.

Unakuta wamekalia majungu na vikundi vya umbeya.
Sasa na wewe unajiita mchangiaji kwenye hoja iliyomezani kweli. Kwani ukikaa kimya utalizwa?
 
Hapo Tamisemi ndio inahusika na si Ndalichako.

Hao Maafisa Elimu wanapatikanaje? Huku kwetu Singida kuna wilaya moja mwanadada naye ni shida tupu!
Hujakutana na Afisa Elimu secondary Mkoa wa Kilimanjaro wewe.
 
Hana sifa ni sifa zipi za kuwa Afisa Elimu hana degree? wewe utakuwa ni mwl lakini unataka kuwa Afisa Elimu
rudia kusoma kwa umakini takataka yako uliyoiandika.
Huna hoja ya msingi unajua.
Yani thread inafika page ya 8, na hutaweza simamisha Hoja zako.
Hata ukiweka mbele ya hizo mamlaka za kumuwajibisha huyu afisa Elimu ndo tutaongea hivi?😂😂😂😂😂😂😂.

Halafu wewe ni mwalimu.
Hebu jifunze kuandika kitu ueleweke.
Matusi hayakusaidii.

Orodhesha Hoja zako kwa kituo.
Weka ushahidi.
Haya maneno sijui wehu, ushoga ushoga sijui puppet nini mbona hujawasilisha kitu ndugu yangu.

Kaa chini,andika Hoja zako za msingi.
Wasilisha mahala husika.
Mi hata nikimtetea sina mamlaka ya kumchunguza wala kumuwajibisha Zaina.
Sawa?

Nenda kwenye forum husika, bwaga Hoja zako.
Wazifanyie kazi.
Kama una ushahidi mbona kila kitu kitakuwa wazi.
Hata uchunguzi hautakuwa na haja, ila kwa kuwa unaamini ukiniita mwehu, ukimwita Kishegwe mchepuko, sijui analeta ushoga ushoga.
Unaamini ndizo hoja.
Basi kila la kheri
Tatizo lako litatatuliwa.
Unaelewa maana ya uchunguzi?
 
Narudia tena walimu wa chamwino wanaujua ukweli na sijui kwa nini watu wa maslahi yao binafsi wanaamua kumchafua mama wa watu, jiulize tu kama yupo hivyo je CWT wako wapi? TSC wako wapi? na lazima ufaulu ungeshuka ni vema kuacha chuki na kusema mambo ya kweli
Polesa sana Afisaelimu. Hapa dawa ni kujirekebisha tu. Pia acha kunyanyasa watumishi walio chini yako.
 
rudia kusoma kwa umakini takataka yako uliyoiandika.

Unaelewa maana ya uchunguzi?
Hahahahahaha ngoja nikusaidie.

Hasira, jazba, matusi havitakusaidia.

Tuliza kichwa jenga Hoja.
Wasilisha eneo husika ili uchunguzi ufanyike.
Na kama unaamini uchunguzi inafanyika kwa merely words bila Hoja za msingi utaendelea tu kugandamiza vidple vyako kwenye simu yako ya thamani bila kufanikisha lengo lako.

Jenga Hoja.
Jenga Hoja.
Jenga Hoja

Sawa?
 
Kwa bandiko hili Ni waz mleta mada yuko sahihi kwa alichokileta na inaonekana mnafahamiana vzr.

Mleta mada kaongea ukweli mchungu Sana .kwanza nikil tu kwakusema ww sio Mwalimu Bali Ni wewe mwenyew Afisa Elimu Kama sio ww basi Ni mtu uliyetumwa na huyo Afisa Elimu wako.

Comments kibao hapo juu zinaeleza jinsi huyo Afisa alivyo na tabia mbovu ,kwamba wote hao wanamwonea wivu?

Ushaur wa bure achen kuzifanya ofisi za serikal Kama nyumba zenu za milele ,hamjifunz kwa kina makonda na Nape saiz wanasugua benchi, hamjifunz kwa wanaotumbuliwa kila siku?

Ukiwa mtendaj mzur na ukiwa mtu wa watu sidhan Kama Kuna mtu atakuja kukuanika huku mitandaon kwa mabaya ,ukiona had mtu katika huku jua ww sio mtendaj mzur.

Kitendo tu Cha kuandikwa jf tayal Hilo Ni doa ,hujachelewa Anza kuishi vzr na walio chini yako.

Mbona watu mnapenda kujitafutia maadui kinguvu? Hao mnaowatendea unyama hamjui kesho yao watakuwa akina Nan coz maisha Ni duara.

Mfano Kuna mtu alijua Magufur atakuja kuwa Rais ? Je kama Afisa Elimu wa kipind Cha Magufur aliwah kumnyanyasa na saiz akawa hai unahis yuko na Hali gani?

Je hamkumbuk ya Jery muro kumdharirisha yule mbaba wa Tume ya uchaguz ? Saiz Nan ana cheo kikubwa kumzid mwenzie?

Plz jaman ofis vyeo vipo tu na tunapokezana ,bahat nzur huwez dumu milele hapo utatoka tu atakuja mwingine na unaowatendea ubaya hujui kesho watakuwa akina nan na mtakutana mazingira gani.

Hapa nilipo Kuna Afisa Elimu mmoja na Afisa utumishi wanapendwa balaa na watumish wao maana Ni watu wanaoheshim Sana watu walio chin yao ,wanawasaidia pale inapotakikana ,Wana customer care nzur sna. Watumish kibao wanawaombea wabak mielele ila kenge wengine wakishaachana na chak na kuanza kukalia viti vya kuzunguka wanajiona sijui akina Nan ,kumbe Ni ushamba tu unawasumbua ,alaf karne hii watu wanapiga kitabu kwa Sana tofaut na zaman ,saiz wasomi Ni kila Kona hivyo hizo nafas mzitendee haki kabla hamjapokwa na kubak na aibu

Ahsante sana bro Kwa Maneno kuntu.
 
Narudia tena walimu wa chamwino wanaujua ukweli na sijui kwa nini watu wa maslahi yao binafsi wanaamua kumchafua mama wa watu, jiulize tu kama yupo hivyo je CWT wako wapi? TSC wako wapi? na lazima ufaulu ungeshuka ni vema kuacha chuki na kusema mambo ya kweli

Tulia wewe.
 
Njoo Chamwino au tuma mtu aje huku uone mama wa watu alivyo mpole na mstarabu

Utapoteza hata huo Ualimu acha kutetea Maovu Dada angu.
Unatafuta pakuegemea nini kuwa ulimtetea humu.
Angalia Nchi ina watu wengine sasa unaeza poteza hata huo ualimu kisa kutetea Maovu.
 
Ndalichako mwenyewe hana sifa ya kuwa waziri wa elimu kizungu chenyewe hajui mbaguzi sana
 
Kuna chawa hapa naona anajitahidi kumtetea huyo mama mara jenga hoja ,sijui bla bla kibao.

Kama mleta hoja hajaeleweka kwenye uzi wake Ni kipi kimewaleta kuja kumsafisha huyo mama?

Mleta mada hajaeleweka ajab watu wanakimbilia mbele mara leta hoja ,Sasa hoja za nn Kama jamaa hajaeleweka? Kwa lugha nyepesi mleta mada kaeleweka na kaorodhesha umafia wa huyo mama ndio maana baadhi mmekuja kumsafisha hapa kwa namna yoyote ile.

Niwakumbushe tu mnaomsafisha hapa huyo mama huu uzi utaishi milele yote na utakuja kuwahukumu Sana Ni bahat mbaya watu tunatumia I'd fake maana tungefahamina live ingekuja kuwa aibu ya mwaka.

Vinywa vya watu Ni simu hatar Sana na ogopa Sana binadam wenzio wakianza kukunyoshea vidole ,kitendo Cha yeye kukaa hapa jamii forum kusemwa kwa ubaya na uovu hi itamhukum Sana huyo mama ,Sasa Kaz Ni kwake abadirike au aendelee kuvimba huko ofisini ila tayal fail lake lipo mitandaon na litaish muda wote pengine amwombe mleta mada awasiline na mods wafute huu uzi tofaut na hapo huyo mama ana Kaz Sana na uzi unatembea tu siku had siku.
 
Nianze kwa kukupa pole na majukumu ya kitaifa, nikupongeze pia kwa kuimudu vema wizara yako kwani unamsaidia vema mh Rais wetu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli.

Niende sasa kwenye mada yangu lengo kubwa ni kutaka kujua hivi unajua kwamba Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili hata dakika moja nafasi hiyo kwenye wilaya ambapo ndio Makao ya Ikulu ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania?

Mbali na kashfa kubwa ya mtihani wa Taifa darasa la saba 2020 iliyopelekea baadhi ya wenzake kubebeshwa msalaba wakati yeye ndie muhusika wa hiyo michezo miaka yote, tunajiuliza ni nani anamlinda Dada huyu?

Dada anaamini walimu wake ni kama mbwa tu! Mama Ndalichako kwa unyenyekevu fanya uchunguzi wa kina, mchunguze huyu Dada ni jeuri nani anamlinda huyu (japo kuna tetesi kwamba kuna kigogo pale Manisipaa Dodoma) huyu mama akiharibu anapenyapenya juu kuzima kashfa zake.

Binafsi najua hajaingia kwenye kumi na nane za Rais Magufuli lakini nakushauri mchunguze ikiwezekana Fanya ziara ongea na walimu wa Wilaya ya Chamwino, wanalilia mioyoni.

Tafadhali Mama wilaya yetu ilipo Ikulu yetu pendwa weka MTU muwajibikaji Wa aina yako kwa ufupi afisa elimu huyu haendani na kasi ya Rais Magufuli. Naomba nikusisitize mchunguze kwa manufaa ya wilaya ya Chamwino ikulu.
Hiyo barua mwandikie Waziri wa TAMISEMI, Mh. Jafo kwani Ndalichako hahusiki na uteuzi wa Maafisa Elimu!
 
Kuna chawa hapa naona anajitahidi kumtetea huyo mama mara jenga hoja ,sijui bla bla kibao.

Kama mleta hoja hajaeleweka kwenye uzi wake Ni kipi kimewaleta kuja kumsafisha huyo mama?

Mleta mada hajaeleweka ajab watu wanakimbilia mbele mara leta hoja ,Sasa hoja za nn Kama jamaa hajaeleweka? Kwa lugha nyepesi mleta mada kaeleweka na kaorodhesha umafia wa huyo mama ndio maana baadhi mmekuja kumsafisha hapa kwa namna yoyote ile.

Niwakumbushe tu mnaomsafisha hapa huyo mama huu uzi utaishi milele yote na utakuja kuwahukumu Sana Ni bahat mbaya watu tunatumia I'd fake maana tungefahamina live ingekuja kuwa aibu ya mwaka.

Vinywa vya watu Ni simu hatar Sana na ogopa Sana binadam wenzio wakianza kukunyoshea vidole ,kitendo Cha yeye kukaa hapa jamii forum kusemwa kwa ubaya na uovu hi itamhukum Sana huyo mama ,Sasa Kaz Ni kwake abadirike au aendelee kuvimba huko ofisini ila tayal fail lake lipo mitandaon na litaish muda wote pengine amwombe mleta mada awasiline na mods wafute huu uzi tofaut na hapo huyo mama ana Kaz Sana na uzi unatembea tu siku had siku.
Huyo mama anaumbwa wake maeneo mbalimbali.
 
Back
Top Bottom