Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni muhuni niliwahi kwenda kufanya kazi maalum kwenye ile halmashauri ya chamwino miezi kadhaa pia nikafanya kongwa ambako alitokea akiwa kwenye taaruma Kuna haja ya kuchunguza file lake hata hiyo nafasi aliipataje Kuna uhuni mwingi ulifanyika.Inamaana bado yupo ofisini!
Hii serikali ipo serious na elimu ya watoto wetu?
Mama meya [emoji2957]Unamzungumzia MTU ninae mjua tangu chuoni maalufu kama zaina ifike maali serikali iwe inachunguza kabla ya kumpa nafasi nyeti MTU miaka ya karibuni nilipata taarifa kuwa kapora Mme Wa MTU pale udom prof mmoja anatokea nyanda za juu kusini,ndiye anaempa kiburi hata avurunde anampigania kokote kwa sasa huyo prof anakacheo manisipaa Dodoma ni kweli magufuri hajawajua.
Maumbile yake yakoje mkuu?Kuna kadada ni afisa elimu Taaluma yaani hayo maumbile yake utapigia tu mstari jibu liko wazi...
Acha stress!!!Walimu acheni wivu na majungu.
Jaribuni kupendana la sivyo mtakua kada ya kudharauliwa milele....
Kada zingine tupo na changamoto lakini kamwe huwezi kuona tunakuja kutukanana mitandaoni Bali tuna solve katika channel rasmi.
Mialimu sijui mmelogwa?
Bure kabisa
Shida inaanzia hapo.Mama meya [emoji2957]
😂😂😂Acha stress!!!
ila walimu muda mwingine wanajikutaga wao peke yao kwenye hii nchi ndio wenye Mei mosi.
😂😂😂🇹🇿Acha stress!!!
ila walimu muda mwingine wanajikutaga wao peke yao kwenye hii nchi ndio wenye Mei mosi.
Amemaliza waganga woooote wa inji hii.Inamaana bado yupo ofisini!
Hii serikali ipo serious na elimu ya watoto wetu?
Miaka ya karibuni ipi Zaina ni mke wa Meya kabla hata ya 2005.Unamzungumzia MTU ninae mjua tangu chuoni maalufu kama zaina ifike maali serikali iwe inachunguza kabla ya kumpa nafasi nyeti MTU miaka ya karibuni nilipata taarifa kuwa kapora Mme Wa MTU pale udom prof mmoja anatokea nyanda za juu kusini,ndiye anaempa kiburi hata avurunde anampigania kokote kwa sasa huyo prof anakacheo manisipaa Dodoma ni kweli magufuri hajawajua.
Kuna chanzo cha kuaminika hapa alipotoka kabla ya kuja huko chamwino kinasema hiyo nafasi alipita njia za panya,Dawa yao hao ni kuwapa demotion wakawe Walimu wa kawaida ili nao waonje joto la kuwa chini na kufokewa fokewa.
Duh!!!,Ina maana Vetting haikufanyika.?!!!.Kuna chanzo cha kuaminika hapa alipotoka kabla ya kuja huko chamwino kinasema hiyo nafasi alipita njia za panya,
Hutojibiwa!Duh!!!,Ina maana Vetting haikufanyika.?!!!.
Umeona eenhh?!!. Naona jamaa hajui utaratibu wa kuwateua watu ktk vyeo km hivyo.Hutojibiwa!
Mshauri atafute pesa... Majungu na umasikini vitampeleka kuwa mchawi tu
Unazijua njia za panya zote?!!Duh!!!,Ina maana Vetting haikufanyika.?!!!.