Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Inamaana bado yupo ofisini!
Hii serikali ipo serious na elimu ya watoto wetu?
 
Inamaana bado yupo ofisini!
Hii serikali ipo serious na elimu ya watoto wetu?
Huyu ni muhuni niliwahi kwenda kufanya kazi maalum kwenye ile halmashauri ya chamwino miezi kadhaa pia nikafanya kongwa ambako alitokea akiwa kwenye taaruma Kuna haja ya kuchunguza file lake hata hiyo nafasi aliipataje Kuna uhuni mwingi ulifanyika.
 
Unamzungumzia MTU ninae mjua tangu chuoni maalufu kama zaina ifike maali serikali iwe inachunguza kabla ya kumpa nafasi nyeti MTU miaka ya karibuni nilipata taarifa kuwa kapora Mme Wa MTU pale udom prof mmoja anatokea nyanda za juu kusini,ndiye anaempa kiburi hata avurunde anampigania kokote kwa sasa huyo prof anakacheo manisipaa Dodoma ni kweli magufuri hajawajua.
Mama meya [emoji2957]
 
Walimu acheni wivu na majungu.
Jaribuni kupendana la sivyo mtakua kada ya kudharauliwa milele....
Kada zingine tupo na changamoto lakini kamwe huwezi kuona tunakuja kutukanana mitandaoni Bali tuna solve katika channel rasmi.
Mialimu sijui mmelogwa?
Bure kabisa
 
Walimu acheni wivu na majungu.
Jaribuni kupendana la sivyo mtakua kada ya kudharauliwa milele....
Kada zingine tupo na changamoto lakini kamwe huwezi kuona tunakuja kutukanana mitandaoni Bali tuna solve katika channel rasmi.
Mialimu sijui mmelogwa?
Bure kabisa
Acha stress!!!
ila walimu muda mwingine wanajikutaga wao peke yao kwenye hii nchi ndio wenye Mei mosi.
 
Unamzungumzia MTU ninae mjua tangu chuoni maalufu kama zaina ifike maali serikali iwe inachunguza kabla ya kumpa nafasi nyeti MTU miaka ya karibuni nilipata taarifa kuwa kapora Mme Wa MTU pale udom prof mmoja anatokea nyanda za juu kusini,ndiye anaempa kiburi hata avurunde anampigania kokote kwa sasa huyo prof anakacheo manisipaa Dodoma ni kweli magufuri hajawajua.
Miaka ya karibuni ipi Zaina ni mke wa Meya kabla hata ya 2005.
Mengine muongee vya ukweli.
 
Waalimu kazini ...kupikiana majungu...basi sawa watachunguza ukweli utajulikana
 
Ambia hicho chanzo chako, Muache gubu na wivu tafuteni na nyie njia za Panya mpate hiyo nafasi kama mnadhani ni upatikanaji wake ni wa hovyo namna hiyo[emoji3][emoji3]
Walimu msipoacha majungu mtaendelea kutumikishwa sana inji hii.
Kada yenu kubwa ila hamjitambui!
 
Back
Top Bottom