Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Alipofanikiwa kupanchi uhamisho wa chemba amekuwa mbogo mala mia
Akiwa mbogo wewe kuwa Simba ,yan ubabe ubabe.
Nilishasema sipendag dharau maishan I mwangu ,huyo mmama anavyozungumzwa hapa inaonekana waz watu mmemshindwa kabisa ,Ila ningekua huko aliko au ofisi moja ,nahisi saiz ningekua uraian kufanya mishe zingine baada ya kumjibu kunya na kumyea haswa na kipigo juu.
 
Mwacheni boss wangu apige kazi mbona yuko poa tu Hana shida na mtu
Mengine ni mapungufu ya kibinadamu ambayo kila kiumbe anayo
Tumwombeee badala ya kumsema Mungu wetu ni mwema

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Akiwa mbogo wewe kuwa Simba ,yan ubabe ubabe.
Nilishasema sipendag dharau maishan I mwangu ,huyo mmama anavyozungumzwa hapa inaonekana waz watu mmemshindwa kabisa ,Ila ningekua huko aliko au ofisi moja ,nahisi saiz ningekua uraian kufanya mishe zingine baada ya kumjibu kunya na kumyea haswa na kipigo juu.
Binafsi nawashauri wakusanye ushahidi wamburuze mahakamani kama kishegwe na sio afisa elimu maana anatumia ofisi ya umma kwa maswala yake binafsi
 
Ni kweli alihamishiwa chemba 2021 akapiga madili akabaki mpaka leo ofisini kwani alituaga kabisa na Mimi nilisepa mwaka huo nafikiri yule bwana ake meya wa DODOMA mjini anamkono wake na kwa tetesi ule uhamisho ilikuwa wa adhabu
Yule Prof. wa miti pale UDOM Ndio danga lake?
 
Mwacheni boss wangu apige kazi mbona yuko poa tu Hana shida na mtu
Mengine ni mapungufu ya kibinadamu ambayo kila kiumbe anayo
Tumwombeee badala ya kumsema Mungu wetu ni mwema

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Hayo mapungufu ya bosi wako ni adhabu kwa watumishi wengine sema ukweli tu unafaidika na asali yake
 
Mwacheni boss wangu apige kazi mbona yuko poa tu Hana shida na mtu
Mengine ni mapungufu ya kibinadamu ambayo kila kiumbe anayo
Tumwombeee badala ya kumsema Mungu wetu ni mwema

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Bosi wako anapaswa kuiga mfano wa uongozi namna anavyo ongoza rais Samia suluhu hasani ni mwanamke lakini anatumia hekima na busara kubwa kwenye uongozi huyo mbuzi wako anatumia mabavu kama hiyo nafasi kapewa na baby yake.
 
Bosi wako anapaswa kuiga mfano wa uongozi namna anavyo ongoza rais Samia suluhu hasani ni mwanamke lakini anatumia hekima na busara kubwa kwenye uongozi huyo mbuzi wako anatumia mabavu kama hiyo nafasi kapewa na baby yake.
Hayo ni mabaki ya magu mkuu ni danga la meya wa Dom.
 
Mwacheni boss wangu apige kazi mbona yuko poa tu Hana shida na mtu
Mengine ni mapungufu ya kibinadamu ambayo kila kiumbe anayo
Tumwombeee badala ya kumsema Mungu wetu ni mwema

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Mala nyingi watu kama wewe unakuta ni wanafiki ambao wanapelekaga maneno kwa boss ili wapendwe, nimekusoma haraka sana
 
Mala nyingi watu kama wewe unakuta ni wanafiki ambao wanapelekaga maneno kwa boss ili wapendwe, nimekusoma haraka sana
Ni kweli mkuu huyu mama anamawachawa wake mmojawapo anaitwa lotto mkuda Sana.
 
Dawa yao hao ni kuwapa demotion wakawe Walimu wa kawaida ili nao waonje joto la kuwa chini na kufokewa fokewa.
Huku kwetu kigoma Kuna dawa yao watu kama hao ndani ya wiki manaenda kula ubwabwa na maharage kwake hata hao wanaompa jeuri nao mnashiriki nao kula ubwabwa na maharage,pm niwawape mbinu za polini.
 
Back
Top Bottom