Alafu nadhan watu hawawez tofautisha kat ya waesrael na wayahud,mtu aweza kuwa myahud na asiwe muisrael,wayahud(wafuasi wa Yuda,hapa n Yuda makabayo),Yuda makabayo mwana matathias n mtu aliyepambana kurejesha Iman ya awali ya Wana wa Israel ambayo ilikuwa imeharibiwa na tamadun za kiyunani,kweny kupambana kwake Yuda makabayo akifanikiwa rudisha kuabudiwa kwa MUNGU wa Israel,na hivyo ndio kuibuka kwa Judaism Kam vuguvugu la kurejesha ile Iman ya mababu zao.so Judaism inahusisha followers of Juda Kam vile Christianity inavyohusisha followers of Christ