Kwa matusi tuu na maneno ya kuudhi, mmejaaliwa nyie, kuanzia baba yenu anaewaita wenzie wapumbavu mpaka nyie wa buku 7 mitandaoni.. Argue the point not the person.. Kabudi amesema hapo kwamba sio Azory peke yake aliepotea na kufa huko kibiti.. Hajasema sio Azory peke yake aliepotea au kufa.. Badala ya maneno ya kukerehesha, elezea wewe ufahamu wako kwa hiyo kauli..
maneno hayo hayawezi kutoka kwa mtu makini na guru la sheria Tanzania kwa sababu anajua kabisa yatamhukumu. Jaribu upotoshaji mwingine
Kuchamba kwingi kuondoka na kinyesi sasa mdiyo mkubali ndiyo maana Raisi alimuita Mpumbavu kweli ni Mpumbavu katia doa elimu alio itoaMatumizi ya AND/OR ndo yameleta shidaaaa
Azory did not die mysteriously, he knows what they did to eliminate him and God will curse themWewe umesikiliza BBC ipi? Kasema Azory amepotea na alishakufa.
Swali kumbe anajua alishakufa? Lini na kazikwa wapi. Nani waliomuua?
Umeangalia hiyo clip hapo juu?
Kuchamba kwingi kuondoka na kinyesi sasa mdiyo mkubali ndiyo maana Raisi alimuita Mpumbavu kweli ni Mpumbavu katia doa elimu alio itoa
tafuta mahojiano aliyoyafanya kwa kiswahili baada ya yale ya kiingereza tafuta kwenye youtube utasikiaAiseee porofesa kabugi hapo alipotumia "and" kwenye ishu ya Azory..angetumia "or" wala huu uzi usingepandishwa hapa. Nadhani angesema [In the rufiji area, it is not only Azory who has disappeared OR died] ila aliposema "In the rufiji area, it is not only Azory who has disappeared AND died" hapo ndo ukakasi ulipoanzia....facial expression ya mwandishi tho.....mmmmhhh...Kabudi weeeee....Kama namuona Jiwe.
tafuta mahojiano aliyoyafanya kwa kiswahili baada ya yale ya kiingereza tafuta kwenye youtube utasikia
Tatizo Kiingereza shehe mtafute Ras Simba!Hiyo ya kufa binafsi sijaisikia!
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Palamagamba Kabudi amekanusha kuthibitisha kuwa Mwandishi Azory Gwanda aliyetoweka tangu 2017 amefariki. Asema amenukuliwa vibaya na kuwa alichosema ni kwamba wapo watanzania waliopotea, na waliofariki. Amesisitiza uchunguzi wa tukio hilo unaendelea. https://t.co/Tw5ApTh7nG