OMG Palamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”. How did Palamagamba know that Azory is dead? @CPJAfrica Amnesty https://t.co/EjCrH98MuI
Huyu dada angekuwa TZ, kesho angefungiwa kutangaza, sio kwa kumfanya Prof atoe macho hivi !
And he is the national disgracegreat man in writting our nation history and in telling the world how Tanzania peaceful is
Umakini kauanzalini? Huyu wa kulopoka, Mimi siokitu, wa majalalani useme umakini anautoa wapi?maneno hayo hayawezi kutoka kwa mtu makini na guru la sheria Tanzania kwa sababu anajua kabisa yatamhukumu. Jaribu upotoshaji mwingine
Sasa ni wakati muafaka wa vyombo kama MCT, Jukwaa LA wahariri kutangaza rasmi msiba wa Azory na kumshirikisha mke wake Kumaliza haya mambo ili familia iishi ikijuwa kuwa baba wa familia yao hayupo tena kwa tangazo la waziri Kabudi alilotoa BBC.Nimeona BBC FOCUS ON AFRICA amesema Azory Disappeared and Died, nimeumia sana
Uongo ni mpaka ujiandae na uwe mjuzi wa tabia hiyo, lakini ukiwa muongo uchwara unaweza kusema ukweli bila kujua unajichomaKwa hii kusema "Azory.. died", Profesa wa "jalalani" atakuwa amelikoroga kwa kuvujisha siri.
Hiyo ya kufa binafsi sijaisikia!
Shida sio kumuelewa shida ni kumuamini, nilifundishwa na mwalimu wangu prof shivji kuwa mtu muongo usimuamini hata kama anasema ukweliunapomsoma na kumsikiliza Prof.Kabudi kama unamsikiliza Mbowe au Sugu lazima utoke kapa. that man ability is beyond your understanding, hivyo jitahidi kumuelewa zaidi
Bashite huna akili spin doctormaneno hayo hayawezi kutoka kwa mtu makini na guru la sheria Tanzania kwa sababu anajua kabisa yatamhukumu. Jaribu upotoshaji mwingine
Ndio kayasema sasa!maneno hayo hayawezi kutoka kwa mtu makini na guru la sheria Tanzania kwa sababu anajua kabisa yatamhukumu. Jaribu upotoshaji mwingine
Nenda post namba 28 kasikilize vizuri video hiyo!ShubamitMnamdanganya nani nyinyi wabagazwaji?