Prof. Palamagamba Kabudi has admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory Gwanda has “disappeared and died”

Prof. Palamagamba Kabudi has admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory Gwanda has “disappeared and died”

Nimesoma kichwa cha thread, nikasema kama kapotea, Waziri atajuaje kwamba kafariki?

Nikasema ngoja nisikilize clip nimsikie Waziri.

Nimemsikia Waziri anachemka kama kawaida yake, kakosea jina, anataja Azory Rwanda.

Naona Rwanda imemkaa sana kichwani.

Lakini sijasikia Waziri akisema lolote kuhusu kifo.

Mtoa mada anaweza kutupa uhakikisho kwamba hiyo habari ya kifo kusemwa na Waziri ni ya kweli na si ya kutungwa tu?
 
Nadhani kiingereza bado ni lugha ngumu kwetu kama si hivyo mnapotosha makusudi. Hakuna sentensi ambayo waziri amesema azory amekufa. Mwandishi amemuuliza yupo wapi azory Gwanda? Waziri amejibu kiujumla kwamba, MKIRU ni moja kati ya matukio mabaya ambayo nchi iliipata toka tumepata uhuru, viongozi wa serikali za mtaa, viongozi wa CCM, na polisi waliuwawa. Serikali inafanya jitihada kuzuia matukio kama hayo kuendelea maeneo mengine nchini.

Japo najua pro kabudi hapendwi na baadhi ya watanzania, il kwasasa nchi imepata FM bora kabisa kuwahi kutokea

The irreplaceable
 
Nimesikiliza mahojiano yote. Hajasema Azory ameuawa, ametumia utetezi ambao si mgeni toka matukio hayo yatokee.

Wengi mnaopiga kelele na kumbeza Prof Kabudi mngewekwa kwenye nafasi yake mngeongea hivyo hivyo. Wengine kwenye taasisi zenu huko ni waoga na waunga mkono juhudi wakubwa lakini ukishaingia kwenye fake ID ndio unajifanya kushangaa wengine.

Nimeangalia video yote wala haina mjadala mpya. Alafu tukumbushane uchaguzi wa serikali za mitaa unanukia, jamaa zetu wapo wapo tu alafu baadae watalia na wizi wa kura.
 
Nimesikiliza mahojiano yote. Hajasema Azory ameuawa, ametumia utetezi ambao si mgeni toka matukio hayo yatokee.

Wengi mnaopiga kelele na kumbeza Prof Kabudi mngewekwa kwenye nafasi yake mngeongea hivyo hivyo. Wengine kwenye taasisi zenu huko ni waoga na waunga mkono juhudi wakubwa lakini ukishaingia kwenye fake ID ndio unajifanya kushangaa wengine.

Nimeangalia video yote wala haina mjadala mpya. Alafu tukumbushane uchaguzi wa serikali za mitaa unanukia, jamaa zetu wapo wapo tu alafu baadae watalia na wizi wa kura.
Marahaba,usitutoe kwenye mada,Tunasikilizia habari za Azory na profesa
 
Nimesoma kichwa cha thread, nikasema kama kapotea, Waziri atajuaje kwamba kafariki?

Nikasema ngoja nisikilize clip nimsikie Waziri.

Nimemsikia Waziri anachemka kama kawaida yake, kakosea jina, anataja Azory Rwanda.

Naona Rwanda imemkaa sana kichwani.

Lakini sijasikia Waziri akisema lolote kuhusu kifo.

Mtoa mada anaweza kutupa uhakikisho kwamba hiyo habari ya kifo kusemwa na Waziri ni ya kweli na si ya kutungwa tu?
Muongo huyu, waziri hajasema hivyo isikilize habari yote ya mahojiano hapa, sijajua kwanini watu hupenda uwongo nchi hii...

 
Uzushi unasaidia nini?
Kwanini anawekewa maneno asiyosema?
Hukumuni MTU kwa ukweli, hizi propaganda hazisaidii hili taifa hakika...

Hisia binafsi zinapolazimishwa kuwa maneno ya MTU mwingine sio utaifa hata kidogo

Marahaba,usitutoe kwenye mada,Tunasikilizia habari za Azory na profesa
 
Muongo huyu, waziri hajasema hivyo isikilize habari yote ya mahojiano hapa, sijajua kwanini watu hupenda uwongo nchi hii...



Basi lugha inakushinda unasikiliza lakini huelewi basi nakuwekea kwa kiswahili halafu tafuta link
IMG_0754.JPG
 
Si kweli aisee nimeisikiliza na kutizama amesema watu wamepotea na kufa wala hajamrejea Azori pekee, amewarejea watu wengi waliokutwa na maswaibu kule kibiti na rufiji...
Kuna watu wanacheza na akili za watanzania kwa kuquote kisentesi kimoja kuibua taharuki


Amesema kati ya waliokufa mmoja wao ni ndugu Azory
 
Kuna watu wanatumia nafasi zao kueneza uwongo sababu ya chuki zao, na bahati mbaya watanzania wengi hawafuatilii mambo kiundani basi humezwa na hizi propaganda za wazushi ambao sijui wanapata faida gani kwa uwongo wao
Nadhani kiingereza bado ni lugha ngumu kwetu kama si hivyo mnapotosha makusudi. Hakuna sentensi ambayo waziri amesema azory amekufa. Mwandishi amemuuliza yupo wapi azory Gwanda? Waziri amejibu kiujumla kwamba, MKIRU ni moja kati ya matukio mabaya ambayo nchi iliipata toka tumepata uhuru, viongozi wa serikali za mtaa, viongozi wa CCM, na polisi waliuwawa. Serikali inafanya jitihada kuzuia matukio kama hayo kuendelea maeneo mengine nchini.

Japo najua pro kabudi hapendwi na baadhi ya watanzania, il kwasasa nchi imepata FM bora kabisa kuwahi kutokea

The irreplaceable
 
Kabudi amesema kua azory amepotea na kufa kwahiyo ukweli umefichuka clip yake akijibu hilo swali iko hewani
Kwa mawazo yako unadhani Azory yupo hai? Ila mambo mengine ni km kujitakia tu. Yaan mla kitimoto unaenda Somalia kuwafanyia uchunguzi Alshabaab? Af utoke salama kweli? Daah
 
Basi lugha inakushinda unasikiliza lakini huelewi basi nakuwekea kwa kwa kiswahili halafu tafuta link
View attachment 1150955
Unajaribu kulazimisha hisia zako ziwe maneno ya MTU mwingine....
Ama hakika taifa lina tatizo kubwa sana kwa watu wazushi aina yenu, na bahati mbaya ni kelele zinazowafuatia wasiojielewa pekee...
 
Back
Top Bottom