DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
English language is not for everyone mkuu ndio maana hata mkulu haielewi.Inawezekana kiinglish husikii vizuri kada..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
English language is not for everyone mkuu ndio maana hata mkulu haielewi.Inawezekana kiinglish husikii vizuri kada..
Hahahahaaaa,umepanic!!Meza kohozi kwanza hilo,shushia na maji utakuwa sawa tu!Kadanganye wabagazwaji wenzio huko!
Who cares whatever the fvck post number is?
Wabagazwaji!
Umesikia hivyo tu?Amesema kati ya waliokufa mmoja wao ni ndugu Azory
Sasa inabidi atupeleke lilipo Kaburi lake.Kabudi amesema kua azory amepotea na kufa kwahiyo ukweli umefichuka clip yake akijibu hilo swali iko hewani
Sio kosa lake hata yule msomi wa Phd pale Chattle lugha imempiga chenga.Lugha inamsumbua huyo
Mimi sipo kumtetea mtu yeyote. Natetea ukweli.Basi lugha inakushinda unasikiliza lakini huelewi basi nakuwekea kwa kwa kiswahili halafu tafuta link
View attachment 1150955
Nimeona BBC FOCUS ON AFRICA amesema Azory Disappeared and Died, nimeumia sana
Nimesoma kichwa cha thread, nikasema kama kapotea, Waziri atajuaje kwamba kafariki?
Nikasema ngoja nisikilize clip nimsikie Waziri.
Nimemsikia Waziri anachemka kama kawaida yake, kakosea jina, anataja Azory Rwanda.
Naona Rwanda imemkaa sana kichwani.
Lakini sijasikia Waziri akisema lolote kuhusu kifo.
Mtoa mada anaweza kutupa uhakikisho kwamba hiyo habari ya kifo kusemwa na Waziri ni ya kweli na si ya kutungwa tu?
Mimi sipo kumtetea mtu yeyote. Natetea ukweli.
Nimesikiliza clip lakini sijasikia Waziri aliposema khusu kufariki.
Unaweza kutuwekea clip hiyo tumsikie Waziri mwenyewe anaongea kuhusu kufariki?
Jambo hili ni muhimu. Kwa sababu kama Waziri kasema habari za kufariki, tunataka tumbane, amejuaje habari za kwamba mtu aliyepotea amefariki?
Tuwekee clip ya Waziri kusema habari ya kufariki.
Hujasikia kwa kuwa ameongea kiingereza na umetoka kapa!Hiyo ya kufa binafsi sijaisikia!
Mimi sipo kumtetea mtu yeyote. Natetea ukweli.
Nimesikiliza clip lakini sijasikia Waziri aliposema khusu kufariki.
Unaweza kutuwekea clip hiyo tumsikie Waziri mwenyewe anaongea kuhusu kufariki?
Jambo hili ni muhimu. Kwa sababu kama Waziri kasema habari za kufariki, tunataka tumbane, amejuaje habari za kwamba mtu aliyepotea amefariki?
Tuwekee clip ya Waziri kusema habari ya kufariki.
Nimesikia.Ndugu Kiranga
Palamagamba Kabudi: 'Azory Gwanda alitoweka na kufariki'
Waziri wa maswala ya kigeni nchini Tanzania Palamagambo Kabudi
Kutoweka kwa mwandishi mpekuzi nchini Tanzania Azory Gwanda hatimaye kumechukua mwelekeo mpya baada ya waziri wa maswala ya kigeni nchini humo kusema kwamba mwandishi huyo 'alitoweka na kufariki'.
Katika mahojiano na BBC katika kipindi cha FOCUS ON AFRICA mjini London waziri Palamagambo Kabudi alinukuliwa akisema kwamba visa vya watu kutoweka vimesababisha uchungu mwingi nchini humo.
''Wacha nikwambie unapozungumzia kuhusu kisa hicho, ni mojawapo ya visa ambavyo vimesababisha uchungu mwingi nchini Tanzania''.
Aliendelea: Katika eneo la Rufiji sio tu Azory Gwanda aliyetoweka na kufariki, nataka kukuhakikishia kwamba tunachukua kila hatua sio tu katika eneo la Rufiji bali pia maeneo mengine ya Tanzania ili kuhakikisha kuwa watu wetu wako salama-sio tu waandishi , bali pia Polisi na raia wa kawaida.
Na baada ya mahojanio hayo wanaharakati wa haki za kibinadamu na raia walisambaza kanda ya video ya mahojiano hayo mitandaoni wakimtaka waziri huyo kuelezea familia ya mwandishi huyo ni wapi mwili wake ulipatikana.
Mwandishi mpekuzi Azory GwandaHaki miliki ya pichaHRW
Wakili maarufu nchini humo Fatma Karume maarufu Shangazi aliandika katika mtandao wake wa twitter: Mungu wangu Palamagamba amekiri katika BBC FOCUS ON AFRICA kwamba Azory alitoweka na kufariki. Je alijuaje kwamba amefariki?
Unajaribu kulazimisha hisia zako ziwe maneno ya MTU mwingine....
Ama hakika taifa lina tatizo kubwa sana kwa watu wazushi aina yenu, na bahati mbaya ni kelele zinazowafuatia wasiojielewa pekee...
The guy is such a poor speaker I am not sure if this is a case of "foot in mouth disease" or a Freudian slip.Kwamba idhaa ya kiswahili wanamsingizia kabudi? Najaribu kuweka ila nimekuwekea maelezo yake hapo