Labda anajua kweli kwamba Azory amefariki kwa kuwa ana taarifa kutoka "watu wasiojulikana".Nakusoma halafu narudi kumsikiliza ili nitafute njia ya kumtetea. Hakuna njia maana hata alipoendelea, hakuweka avenue kwamba labda wanawatafuta wapatikane ili tujue alijisahau.
Mahiga au mwingine aliye na nafasi angalau ndogo ya kutojiamini hawezi kukosea kiasi hiki. Waziri wetu anajiamini saaana! Kule Bungeni huwaona kama wanafunzi wake. Hata akizomewa yeye hukomaa na mawazo yake tu kama anayehangaishwa na watoto.
Angalia tu hiyo facial expression!
Kabudi anaongea kama anakimbizwa na kapewa maneno ya kusema kwa dakika, asipofikisha anapigwa mshale!
Mpaka Azory Gwanda anamwita Azory Rwanda.
Hilo tu ni tatizo.
Disappead and died?" when you refer to Rufiji, Azory Gwand is not the only person who has disappeared and died",prof.Kabud. Prof. kaongea ukweli mchungu, leo tumesahau kuwa Rufiji kuna watanzania wenzetu wengine ni askari na viongozi wa serikali wakiuawa kikatili na bila sababu ya yeyote lakini vifo vyao vinaonekana havina maana.
hapo Prof. Kamaanisha kuwa kama vifo vya hao wengine vilivyotokea huko rufiji basi cha Azory kitakuwa kimetokea katika mazingira hayohayo kwa sababu vinahusiana
Hiyo impolite labda anageza kwa mkuu wake wa kazi, au wanafanana...haonyeshi kusikitishwa na kupotea kwa Azory Gwanda.
..yuko defensive mwanzo mwisho.
..Majibu yake yanaweza kutafsiriwa kwamba anahalalisha kupotea kwa Azory Gwanda.
..Vilevile he is impolite kwa kutokumpa nafasi mwandishi kumaliza kuuliza swali.
Hivi dereva wa kirikuu ana elimu ya kiwango gani?Akili zemu nyepesi sana..
Mnangangania tafsiri yenu ndio iwe universal..?!
Kusema amepotea na kufa bado ni assumption sababu hakupatikana, sasa nyny vichwa panzi mshatengeneza script..
Ahsante kwa clip...We babu umeisikiliza mwenyewe hiyo habari au umeona kipande cha video tu?
Sasa hapo ambacho haujaelewa nini au kiingereza kinakusumbua?Si kweli aisee nimeisikiliza na kutizama amesema watu wamepotea na kufa wala hajamrejea Azori pekee, amewarejea watu wengi waliokutwa na maswaibu kule kibiti na rufiji...
Kuna watu wanacheza na akili za watanzania kwa kuquote kisentesi kimoja kuibua taharuki
Sikiliza ya kiingereza sio hii ya kiswahili
Cc AvrielThe guy is such a poor speaker I am not sure if this is a case of "foot in mouth disease" or a Freudian slip.
In logic "disappeared and died" and "disappeared or died" are two very different things.
It indeed appears that, at least by his words, he is saying that he knows Azory died.
The question now becomes, how does he know this?
Sawa mtalaamu, lazima nikiri kwamba the man's ability is beyond even my understand! So, tafadhali naomba unieleweshe manake mimi sijamuelewa pale aliposema "..not only Azory Gwanda who has disappear and died"?unapomsoma na kumsikiliza Prof.Kabudi kama unamsikiliza Mbowe au Sugu lazima utoke kapa. that man ability is beyond your understanding, hivyo jitahidi kumuelewa zaidi
Mbona huyo sio Zuhura YunusPalamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”.
Akihojiwa na mtangazaji Zuhura Yunus wa BBC, waziri Kabudi amesema Tanzania kuna uhuru wa kutosha wa vyombo vya habari.
Alipoulizwa kuhusu kupotea kwa mwandishi Azory, Prof Kabudi amesema serikali inaendelea na uchunguzi.
Waziri amesema hali ya Kibiti na Mkuranga ilikuwa tete na haijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru wake.
Askari wa polisi, viongozi wa serikali za mitaa na viongozi wa chama tawala CCM waliuawa katika kadhia hiyo lakini kwa sasa amani imerejea na hali ni shwari.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia!
UPDATES;
WAZIRI wa Mambo ya ndani Palamagamba Kabudi akiri mwandishi wa Habari Azory Gwanda alitoweka na kufariki, ikiwa ni zaidi ya siku 500 tangu kutoweka kwa mwandishi huyo wa habari za uchunguzi.
View attachment 1150947
Dah inauma sana!Wamemuua Azory Gwanda baada ya kumtesa sana.....time will tell
Mbona clip ndo kasema hivyomaneno hayo hayawezi kutoka kwa mtu makini na guru la sheria Tanzania kwa sababu anajua kabisa yatamhukumu. Jaribu upotoshaji mwingine
Hata hiko cheo unachoona angetakiwa kuwemo hafai kabisa kuwemo.Alichemka akasema "when the president was the president, and the law was the law".
Implying that, currently we have neither a president nor law!
Ironically, while he was supposed to be the minister of justice.
Hata hiko cheo unachoona angetakiwa kuwemo hafai kabisa kuwemo.Alichemka akasema "when the president was the president, and the law was the law".
Implying that, currently we have neither a president nor law!
Ironically, while he was supposed to be the minister of justice.