Prof. Patrick Lumumba: Tanzania chama cha siasa ni CCM tu hivyo vingine ni vikundi vya wanaharakati visivyo na Filosofia wala Falsafa

Huyu jamaa nilikuwa namuamini sana ila niliacha kumuamini siku ambayo nilimsikia akimzungumzia MAGUFULI na kumfananisha na akina Osagiefo kwame nkrumah, MAGUFULIFICATION
 
Namkubali sana huyu Prof. Ila kila akiongea lazima niwe na The Longman Dictionary!
 
Lumumba is highly paid with this crooked ruling party to pave their way, waitishe tume huru, sisi majaji tupewe uhuru, ucgaguzi usimamiwe na wengine, hata serikali ya Somalia waone

Independent committee .../ and new constitution .....The medicine of ccm to stay too long in power
 
Siasa za nchi hii hazina haja ya kumsubiri msomi hata hasiyejua kusoma anaweza kosoa dosari ulipaswa kujua ni kwamba ili chama kipate usajili kinapaswa kutimiza vigezo gani[/QUOTE]
 
Sio unaongea kinyume? Maana sumu ya CCM ni tume huru, CCM hawana watu ila mamlaka I.e vyombo vya dola plus tume mbovu ya uchaguzi, While CHADEMA wana akidi ya kutosha ya watu
Mkuu, Habari!!

Ningependa Sana kujifunza kutoka katika maneno yako hayo

JE Ni kweli kwamba CCM ndiyo Vyombo vya Dola na Vyombo vya Dola ndiyo CCM?

Unauthibitisho ambao unaweza kuuweka hapa?

JE, Ni nini Maana ya Amiri Jeshi nchini?

Unadhani kwamba, ikiwa siku moja Chadema na Mungu jalia, ikashinda, inaweza Kufanya kazi bila Vyombo vya Dola?

Kwako mkuu
 
We kibwengu acha kuadvertise ujinga wako na vimaneno vyako vya kutunga ambavyo ni senseless kana kwamba jf wote humu ni mazombie wa lumumba watu wasiojielewa mavuvuzera
 

Pitia uzi wangu uone kama nimetukana kama wewe, achia mbali kuwa nimeandika kwa ufasaha.
 
Sio unaongea kinyume? Maana sumu ya CCM ni tume huru, CCM hawana watu ila mamlaka I.e vyombo vya dola plus tume mbovu ya uchaguzi, While CHADEMA wana akidi ya kutosha ya watu
kwani sie sio watu mpaka useme CCM haina watu? Kwa taarifa watanzania waliowengi hawachagui vyama bali wanachagua akili dhidi ya upumbavu. Mpaka muache wehu na upumbavu wenu ndipo mtachaguliwa. Msipo sikiliza ushauri mkabaki kuwaamini wahuni waendeshe chama, NCCR hiyooooo!
 
CCM ni mashetani menyewe kwa menyewe yanawindana kuuana yatakuwa na uchungu wowote kwa watanzania ?
 
Amesahau kuwa kenya hakuna vyama vya siasa bali kuna mafundi ya wanasiasa wanafanya ulanguzi wa madaraka
 
CCM ipi ? hii ambayo inategemea vyombo vya dola ili ishinde chaguzi.
 
CCM ipi ? hii ambayo inategemea vyombo vya dola ili ishinde chaguzi.
 
Huyu tapeli wa kisiasa amekuwa akikipigia upatu chama cha mapinduzi. Tapeli mkubwa
Huyo ana PhD ya Tanzania kama za wale wengine wa hapa waliojazana huko bungeni na Serkalini. Anajaribu bahati yake ya kuteuliwa kwa kuunga mkono juhudi na kusifia mpaka hivi karibuni alipewa zawadi alipokwenda Ikulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…