Akihitimisha hoja zake katika kipindi cha this week in perspective kinachoongozwa na Adam Simbeye (TBC) leo usiku saa 4 tarehe 14/06/2013, Prof. Safari amesema kuna mambo mawili yanayosababisha kutokuelewana miongoni mwa watu duniani; migogoro ya kidini na kugombea rasilimali.
Hivyo ili kuliepusha taifa la Tanzania katika migogoro ya kidini ni budi tume ya mabadiliko ya katiba inayoongozwa na Jaji Warioba ione uwezekano wa kuingiza mahakama ya kadhi katika rasimu ya katiba mpya! Kwa maoni yake ni kwamba nchi zote zinazotuzunguka zimeanzisha mahakama hizo, hivyo Tanzania haiwezi ikawa tofauti! Suala hili ni kwa maslahi ya ustawi wa Tanzania!
Hapo nyekundu ndo ameniacha.. Siamini Prof mzima aseme hayo.. hivi kila kinachofanywa na jirani yako ni lazima tuige??? Basi tuanze na vita vya wenyewe kwa wenyewe kama wafanyavyo majirani zetu wengi. Du! kama kweli yupo Chadema atakuwa mzigo usiobebeka.
Maoni yangu na ya wengi... mahakama ya kadhi isionekane kwenye katiba ya JMT, na ya Tanganyika. Kama ambavyo kuna madhehebu mengi Tanganyika. Vivyo hivyo na sheria zao na mahakama zao, hata wakitaka kwenye familia zao.. Sasa huyo msomi wa Chadema anatuambia nini? Asituchanganye bwana, kama keshanunuliwa, aseme.
Hata ungesoma kama ni muislam, tabia ya dini hii ni brainwash waumini wake, hivyo hata prof.Uislam ume ''mfine tune'' hadi kufuta kabisa uwezo aliozaliwa nao wa kufikiri nje ya box. hakuna cha ajabu kwa Prof. wa Kiislam kusema alichosema.kinyume chake angekuwa kama kunguru katikati ya njiwa, ukitafakari kwa makini,ni kwamba Prof. na usomi wake ameshindwa kutoa sababu kwanini,Mahakama ya kidini ya kiislam iwepo kwenye katiba ya serikali ambayo si ya kidini,ZAIDI SANA ANASEMA MAJIRANI KATIBA ZAO ZINA MAHAKAMA YA KADHI NDANI YAKE,hii sio sababu inayoweza kutolewa na msomi, lakini ni sababu ya kawaida sana kutolewa na Muislam na ni sababu nzuri na nzito kwa kadri ya Uislam na waislam walivyo. Hapa issue si kuwabeza au lah,bali ni kueleza ukweli,katiba inatoa uhuru wa kuabudu,uhuru huo ni pamoja na kuanzisha na kuendesha tasisi za kidini pasipo kuingiliwa na serikali,kwa waislam uhuru wa kuabudu ni uhuru wa dini yao kutambuliwa kikatiba,ndiyo sababu hata prof.kakanyaga taaluma yake in favor of Religion...ajabu kwa prof.wa Kiislam angesema kinyume cha Prof.safari alivyonukuliwa,kwa kusema alivyosema prof. kaonesha ukomavu wake wa kidini.Good prof.