Prof. Shivji: Mikataba ya Bandari na Dubai inayokuja itakuwa Siri na haitapelekwa Bungeni

Your browser is not able to display this video.
 
Yani huyu mzee inaonekana katulia kasoma mkataba alafu kaja kutoa nondo..ila tatizo lake tu ni "mjamaa" hapo ndio alipofeli
Kuna ubaya gani kuwa "mjamaa"?

Unapokaririshwa jitahidi sana utumie akili uliyojaliwa na Muumba wako kuitumia na kuona ukweli wa jambo ulilokariri.

Ni wapi duniani pasipokuwepo na ujamaa?
 
Hilo la mikataba ya biashara kuwa siri ni ukweli kabisa, hakuna ataekubali mkataba wake wa kibiashara uanikwe, si Tanzania si Dubai.

Na nani atakaetaka mikataba ya biashara ianikwe wazi? Huyo atakuwa ni ni muhujumu uchumi na msaliti wa kijinga, auliwe tu.

Biashara ni vita kubwa sana kuliko vita ya risasi dunia ya leo.
 
Ule wa Gesi; hata sina hamu kabisa ya kusikia yaliyomo humo ndani; kama mwendo wenyewe ndio huu!

Kwa kuanzia tu, gharama za mwanzo bilioni $30, zikawa zimepaa hadi kufikia bilioni zaidi ya $40zinazoelezwa sasa!
Kijana huelewi kabisa kuhusu biashara za mafuta na gesi/


Huo wa gesi unaousema wewe ni wa kutafuta (exploration) gesi? au wa kuchimba gesi? au wa kuuza gesi?



Hapo sasa.
 
elewa context, usiri wa mikataba ya utekelezaji ndio unasukuma watu kuona kuwa mkataba mama unakuwa mzuri na wenye maslai kwa taifa, mkataba mzani umeinamia tz kwa maslai ya mwarabu ndio shida kwetu
 
Mkataba wa kinyonyaji kati ya Chifu Hangaya na Emirate ya Dubai

Mimi Chifu Hangaya nikiwa na akili timamu na nikishinikizwa na kiasi cha fedha nilichopokea kutoka kwa wajomba zangu nakubali kuwapa bure rasilimali za bahari na maziwa yote ya nchi ya Wadanganyika kampuni ya Double Penetration World
 
elewa context, usiri wa mikataba ya utekelezaji ndio unasukuma watu kuona kuwa mkataba mama unakuwa mzuri na wenye maslai kwa taifa, mkataba mzani umeinamia tz kwa maslai ya mwarabu ndio shida kwetu
Huwezi kuwa qanasheria na wataalaam washeria waliobobea halafu ukamsukumia mama mambo ya mikataba. Kwani wanasheria serikalini wanaajiriwa kwa sababu gani?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinhga?

Pia mwiko kabisa kuanika mikataba ya kibiashara. Wewe utsons mapato yako kils mwezi, nenda wizara ya fedha na TRA. Huwezi kuoneshwa mkataba.

Kumbuka, mkataba wowote siyo mapato. Mapato yote yawayo ni makadirio tu. Tena uking'ang'ania sana mapato inaweza kula kwako vibaya sana.

Watanzania wacheni ujinga, someni.
 
Wewe umenyonywa nini? Kakunyonya TICTS miaka 22 hta hujuwi mkataba wao upoje.
Attach files


Na huu unaokuja bandarini wa kibiashara huwezi kuoneshwa, unataka uoneshwe nini zaidi wakati vigezo vyote vya mikataba ya bandari vina trange ya rates?
 
Kijana huelewi kabisa kuhusu biashara za mafuta na gesi/


Huo wa gesi unaousema wewe ni wa kutafuta (exploration) gesi? au wa kuchimba gesi? au wa kuuza gesi?



Hapo sasa.
Sasa wewe hapa umeelewa nini?

Kwani hujui tupo kwenye hatua gani hadi sasa?
Kwenye Bandari nako ulianza na maswali ya kipuuzi namna hii, kwa kudharau watu kuwa hata hawajawahi kufika bandarini.
Ni wewe tu unayeyajua mambo haya?
 
Sasa wewe hapa umeelewa nini?

Kwani hujui tupo kwenye hatua gani hadi sasa?
Wewe nimekuuliza huo mkataba wa gesi unaoungolea ni upi katika hiyo?

Tupo hatua gani kwenye lipi?
 
Wewe nimekuuliza huo mkataba wa gesi unaoungolea ni upi katika hiyo?

Tupo hatua gani kwenye lipi?
Wewe ulielewa ninazungumzia mikataba ipi ya gesi inayoshughulikiwa na serikali wakati huu?

Mambo ya gesi ndiyo leo tumeanza kuyashughulikia? Huwezi kutumia akili yako vizuri ikuelekeze kwenye jambo linalozungumziwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…