Prof. Shivji: Mikataba ya Bandari na Dubai inayokuja itakuwa Siri na haitapelekwa Bungeni

Prof. Shivji: Mikataba ya Bandari na Dubai inayokuja itakuwa Siri na haitapelekwa Bungeni

"DP WORLD wakipata faida huwezi kuwatoza kodi lakini pia hakuna kifungu chochote (katika mkataba wa bandari) kinachozungumzia revenue sharing (mgawanyo wa mapato), kama nchi itafaidika vipi?" Prof. Shivji

"Mkataba huu (wa bandari) unaegemea zaidi upande mmoja na pia hauna ukomo wa muda. Wajibu wote ni wajibu wa serikali ya Tanzania lakini haki zote ni haki za DP WORLD" Profesa Issa Shivji

"Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) ni mkataba kati ya nchi na nchi kuhusu uwekezaji, na mkataba unasema ni kuhusu ushirikiano wa kiuchumi lakini ukweli ni kwamba mkataba huu ni aina ya mikataba ya uwekezaji" Prof. IssaShivji

"Katika mkataba huu wa bandari kuna mambo mawili, jambo la kwanza, mkataba unahusu ushirikiano wa kiuchumi lakini sio ushirikiano wa kiujumla bali ni katika eneo la bandari za bahari na bandari za maziwa. Na jambo la pili ni kwamba mwekezaji ameshatambulika" Prof. Issa Shivji

"Watu waliokuwa wanasema mkataba wa bandari ni wa miaka 100 hawakuwa wanamaanisha moja kwa moja ni miaka 100, walichomaanisha ni kuwa mkataba huu ni wa muda mrefu. Na ni kweli ni mkataba wa muda mrefu na utaisha pale ambapo mikataba yote ya miradi saba ya awamu ya kwanza itapokuwa imetekelezwa. Na kama kutakuwa na migongano au mifarakano, hadi itakapokuwa imetatuliwa" Prof. Issa Shivji

"Mkataba huu hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile hata kama tumevunja uhusiano wa kidplomasia na U.A.E (Falme za Kiarabu)" Prof. Issa Shivji

"Imezungumzwa sana kwamba watu wetu wataendelea na ajira zao, wafanyakazi Watanzania watashiriki vipi katika management (usimamizi)?, wafanyakazi wa kawaida (makuli) na HR (Afisa Rasilimali Watu) hawa watakuwa Watanzania lakini wengine wote katika management watatoka Dubai (DP World)" Prof. Issa Shivji

"Mikataba ya miradi (project agreement) na nchi mwenyeji (host government) mikataba hii haitapelekwa bungeni wala haitawekwa hadharani kwa sababu ni siri. Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari ) ulipelekwa bungeni kwasababu ni mkataba wa kimataifa lakini project agreement ni ya kibiashara hivyo ni confidential (siri). Watanzania hawatajua wameingia katika mkataba gani na kuna nini ndani ya mkataba na mkataba umesema nini" Prof. Issa Shivji

"Shughuli zilizotajwa katika awamu ya kwanza (ya mkataba wa bandari) sio za bandari pekee, kuna Special Economic Zone (maeneo mahususi ya kiuchumi), trade corridor, free zone" Prof. Issa Shivji

"Eneo ambalo sio la DP WORLD lakini ni karibu na eneo la DP WORLD, mtu akitaka kujenga barabara au flyover ambayo interfere (itaingilia) shughuli za DP WORLD hairuhusiwi kwa mujibu wa mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari). Serikali itahakikisha kwamba shughuli hizo hazitokuwepo kando kando na eneo la DP WORLD" Prof. Issa Shivji

"Kwa mfano serikali ina dhamira au haina dhamira ya kudevelop (kuendeleza) bandari ya Tanga au Mwanza kwa mujibu wa mkataba , DP WORLD wana haki ya kupewa taarifa hizo kabla ya yote ili wakitaka waweze ku-express interest (kuonesha nia)" Prof. Issa Shivji

"Kuna sekta nyeti katika uchumi na huwezi kuweka katika makampuni ya watu binafsi na bandari ni sekta nyeti mojawapo, ni roho na mishipa ya uchumi hivyo huwezi kuweka katika mikono ya watu binafsi kwa sababu mbalimbali" Prof. Issa Shivji

"Mali zetu ikiwemo madini tunazo-export (tunazozisafirisha nje) ma mali tunazozileta zinapitia bandari na mali nyingine ni very sensitive (nyeti sana), huwezi kuweka hiyo mikono mwa kampuni mbinafsi bila wewe kuwa na mamlaka" Prof. Issa Shivji
Sasa revenue sharing iandikwe kwenye mkataba wa makubaliano ya nchi.Profesa yupo Sahihi kabisa, kifungu hicho hakipo.

Vifungu hivyo huwepo kwenye mkataba wa biashara, ambao haupo mpaka sasa, na hata ukiwepo, msitegemee kuwa mtauona. Never.

Jamani kwenye kila biashara kablata ya kuangaza maongezi kuna mkataba unaiwa "non disclosure agreement" ni lazima pande zote mbili muusaini huo kabla hamjaingia kweye maongezi ya kibiashara.

Mnafahamu maana yake nini huo mkataba wa mwanzo kabisa, kanla hata ya mkataba wa kibiashara haujaanza kuongelewa?


Hapo ama mleta mada hamuelewi lugha ya profesa Shivji au anapinda maneno.

Haki ya Mungu Tanzania watu wanakwenda shule kucheza mdako tu. Dah!


Mnataka Profesa awe clear vipi zaidi ya hivyo? Kuwa mkataba wa kuendesha bandari hamuwezi kuuona, wala bungeni hawatouona, tena mimi naongezea, hata wanaokwenda ku negotiate huo mkataba hamtowajuwa.
 
Hilo la mikataba ya biashara kuwa siri ni ukweli kabisa, hakuna ataekubali mkataba wake wa kibiashara uanikwe, si Tanzania si Dubai.

Na nani atakaetaka mikataba ya biashara ianikwe wazi? Huyo atakuwa ni ni muhujumu uchumi na msaliti wa kijinga, auliwe tu.

Biashara ni vita kubwa sana kuliko vita ya risasi dunia ya leo.

Katika uchambuzi wa Pro. Shivji umeona hilo tu?
Kwa nini muda wa ukomo haupo?
Kwa nini kwingine kusiendelezwe?
Kwa nini inatumika nguvu kubwa kuwaaminisha waTz
Kwa nini unajiondoa asipewe mkataba wa muda?
Kwa nini unajitia upofu huoni mapungufu hili jambo?
Kwa nini upande wa serikali haulezi mapungufu?
Kwa nini hamtaki kuwasikiliza wananchi?
Kwa nini kwa nini ni nyinigi?

Hii mikataba mingi ni ya hovyo mbayo kwa baadae huwa kuna kujuta mbeleni!
Mf: Huyo anaemaliza muda wake hapo bandarini hakuna tija unampa mwingine hiyo kazi ambae hutaki awe uko wo wote ndo nini hicho?
Mf: kwenye gesi huko faida sio leo!
 
Huwezi kuwa qanasheria na wataalaam washeria waliobobea halafu ukamsukumia mama mambo ya mikataba. Kwani wanasheria serikalini wanaajiriwa kwa sababu gani?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinhga?
Haya sasa, shakunywa matapishi mwenyewe!
Hovyo kabisa.

Usitafute kusukumiza lawama kwa watu wanaoshinikizwa tu wafanye anavyotaka mhusika.

Hili ni la Samia mwenyewe, na itabidi alinywe mwenyewe.
 
"DP WORLD wakipata faida huwezi kuwatoza kodi lakini pia hakuna kifungu chochote (katika mkataba wa bandari) kinachozungumzia revenue sharing (mgawanyo wa mapato), kama nchi itafaidika vipi?" Prof. Shivji

"Mkataba huu (wa bandari) unaegemea zaidi upande mmoja na pia hauna ukomo wa muda. Wajibu wote ni wajibu wa serikali ya Tanzania lakini haki zote ni haki za DP WORLD" Profesa Issa Shivji

"Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) ni mkataba kati ya nchi na nchi kuhusu uwekezaji, na mkataba unasema ni kuhusu ushirikiano wa kiuchumi lakini ukweli ni kwamba mkataba huu ni aina ya mikataba ya uwekezaji" Prof. IssaShivji

"Katika mkataba huu wa bandari kuna mambo mawili, jambo la kwanza, mkataba unahusu ushirikiano wa kiuchumi lakini sio ushirikiano wa kiujumla bali ni katika eneo la bandari za bahari na bandari za maziwa. Na jambo la pili ni kwamba mwekezaji ameshatambulika" Prof. Issa Shivji

"Watu waliokuwa wanasema mkataba wa bandari ni wa miaka 100 hawakuwa wanamaanisha moja kwa moja ni miaka 100, walichomaanisha ni kuwa mkataba huu ni wa muda mrefu. Na ni kweli ni mkataba wa muda mrefu na utaisha pale ambapo mikataba yote ya miradi saba ya awamu ya kwanza itapokuwa imetekelezwa. Na kama kutakuwa na migongano au mifarakano, hadi itakapokuwa imetatuliwa" Prof. Issa Shivji

"Mkataba huu hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile hata kama tumevunja uhusiano wa kidplomasia na U.A.E (Falme za Kiarabu)" Prof. Issa Shivji

"Imezungumzwa sana kwamba watu wetu wataendelea na ajira zao, wafanyakazi Watanzania watashiriki vipi katika management (usimamizi)?, wafanyakazi wa kawaida (makuli) na HR (Afisa Rasilimali Watu) hawa watakuwa Watanzania lakini wengine wote katika management watatoka Dubai (DP World)" Prof. Issa Shivji

"Mikataba ya miradi (project agreement) na nchi mwenyeji (host government) mikataba hii haitapelekwa bungeni wala haitawekwa hadharani kwa sababu ni siri. Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari ) ulipelekwa bungeni kwasababu ni mkataba wa kimataifa lakini project agreement ni ya kibiashara hivyo ni confidential (siri). Watanzania hawatajua wameingia katika mkataba gani na kuna nini ndani ya mkataba na mkataba umesema nini" Prof. Issa Shivji

"Shughuli zilizotajwa katika awamu ya kwanza (ya mkataba wa bandari) sio za bandari pekee, kuna Special Economic Zone (maeneo mahususi ya kiuchumi), trade corridor, free zone" Prof. Issa Shivji

"Eneo ambalo sio la DP WORLD lakini ni karibu na eneo la DP WORLD, mtu akitaka kujenga barabara au flyover ambayo interfere (itaingilia) shughuli za DP WORLD hairuhusiwi kwa mujibu wa mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari). Serikali itahakikisha kwamba shughuli hizo hazitokuwepo kando kando na eneo la DP WORLD" Prof. Issa Shivji

"Kwa mfano serikali ina dhamira au haina dhamira ya kudevelop (kuendeleza) bandari ya Tanga au Mwanza kwa mujibu wa mkataba , DP WORLD wana haki ya kupewa taarifa hizo kabla ya yote ili wakitaka waweze ku-express interest (kuonesha nia)" Prof. Issa Shivji

"Kuna sekta nyeti katika uchumi na huwezi kuweka katika makampuni ya watu binafsi na bandari ni sekta nyeti mojawapo, ni roho na mishipa ya uchumi hivyo huwezi kuweka katika mikono ya watu binafsi kwa sababu mbalimbali" Prof. Issa Shivji

"Mali zetu ikiwemo madini tunazo-export (tunazozisafirisha nje) ma mali tunazozileta zinapitia bandari na mali nyingine ni very sensitive (nyeti sana), huwezi kuweka hiyo mikono mwa kampuni mbinafsi bila wewe kuwa na mamlaka" Prof. Issa Shivji
Katika hali kawaida, tungalitegemea hoja kama hizi zikiibuliwa katika mjadala uliokuwepo bungeni. Na pia katika majumuisho yao ya jumla ushauri ukitolewa kuhusu kubadilishwa kwa vipengele vyote vyenye ukakasi wa kisheria.

Badala yake Bunge lilendeshwa kiushabiki na kupiga vijembe watu maarufu waliojitokeza hadharani na kutoa maoni huku wakionyesha mashaka kuhusu mkataba huu. Nafikiri ni wakati sahihi kwa wabunge wetu kujipima wenyewe na kujitathimini kama wanatosha pale wanapoona uchambuzi wa kina na mahiri ukifanywa na wabobezi wa kisheria kuhusu kile walichokiazimia kuhusu mkataba huu.

Aidha ni wakati umefika kubadilishwa kwa sifa za mtu kuwa mbunge. Vigezo muhimu viwekwe vyenye kuzingatia uwezo wa kielimu, weledi, na kiutaalamu kwa wabunge wetu. Viwekwe vigezo vyenye kuzingatia uwezo wa mbunge kufanya uchambuzi wa masuala mbalimbali kwa kina, na kwa ajili ya mustakabali mpana wa nchi yetu.

Kwa kuwa upande wa Tanzania Bara hatuna Bunge letu, wala hatuwezi kujadili peke yetu maswala yasiyokuwa ya muungano bila ya kuwashirikisha watu wa upande wa Visiwani. Lakini kwa upande wao wana haki hiyo, basi ifike wakati Bunge la Tanganyika nalo likarudishwa kisheria, na hadhi ya nchi ya Tanganyika itambulike rasmi.

Bunge likae kama la JMT pale tu ambapo wizara zenye kugusa mauala ya muungano yanapojadiliwa. Lakini kwa masuala yasiyohuso muungano, wawakilishi kutoka upande wa visiwani wasihudhurie.

La sivyo, baadhi ya wabunge wa Tanzania Bara wachaguliwe ili nao wawe wanahudhiria vikao vyote vya Baraza la Wawakilishi kwa upande wa Tanzania Visiwani ili kulinda maslahi ya Tanzania Bara ndani ya vikao vyake.
 
Wewe ulielewa ninazungumzia mikataba ipi ya gesi inayoshughulikiwa na serikali wakati huu?

Mambo ya gesi ndiyo leo tumeanza kuyashughulikia? Huwezi kutumia akili yako vizuri ikuelekeze kwenye jambo linalozungumziwa?
Wewe jibu swali kama huelewi sema tukuelekeze.
 
Shivj Mungu akubariki sana

Huyu mama ameamua kuingamiza TANGANYIKA
Abariki kweli, anawaambia ukweli bado hamumuelewi.


Mama anawaletea maendeleo hamna macho wala muono wa kuyaona.


Shivji yupo sahihi kanisa. Hamtoweza kuuona mkataba.

Wewe ukioneshwa mkataba wa biashara za watu utakusaidia nini? Kusoma kwenyewe mkataba hujuwi.
 
Uchambuzi makini kabisa, huyu hajajurupuka amekaa akasoma neno baada ya neno kisha kutoa maoni yake.

NB, labda hata watu wa serikali hawauelewi mkataba ila wanafata tu mkumbo!!

Wasomi wetu wote wanapaswa kujitokeza hadharani kufafanua utata na upuuzi uliopo ktk Mkataba maana walisomeshwa na nchi.
 
Tumeuzwa na mzanzibari ndugu zangu.

Mikataba ya miradi (project agreement) na nchi mwenyeji (host government) mikataba hii haitapelekwa bungeni wala haitawekwa hadharani kwa sababu ni siri. Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari ) ulipelekwa bungeni kwasababu ni mkataba wa kimataifa lakini project agreement ni ya kibiashara hivyo ni confidential (siri). Watanzania hawatajua wameingia katika mkataba gani na kuna nini ndani ya mkataba na mkataba umesema nini" Prof. Issa Shivji
 
"Mkataba huu (wa bandari) unaegemea zaidi upande mmoja na pia hauna ukomo wa muda. Wajibu wote ni wajibu wa serikali ya Tanzania lakini haki zote ni haki za DP WORLD" Profesa Issa Shivji
wanaotetea mkataba huu mama ambao serikali ilisha-sign wanasema eti ukomo utakwekwa kwenye ile mikataba itakayofuata ambayo TPA yenyewe sasa itaingia na DP world.
 
Kifupi, Mama aliwabana TRA na TPA kwamba alitaka Tshs. Trillion 30 kwa mwaka (2.5 kwa mwezi) zitoke kwenye Bandari zote ili kupunguza utegemezi wetu kwa mabeberu, majamaa kwa uvivu wa kufikiri namna ya kuiendesha kwa ufanisi wakaona njia ya mkato ni kuiuza Bandari yetu kwa mwarabu. Hii ni aibu kubwa kwa taifa ambalo lina zaidi miaka 60 ya kujitawala kwake kushindwa kusimamia upakiaji, usafirishaji na upakuaji wa mizigo bandarini.
 
"DP WORLD wakipata faida huwezi kuwatoza kodi lakini pia hakuna kifungu chochote (katika mkataba wa bandari) kinachozungumzia revenue sharing (mgawanyo wa mapato), kama nchi itafaidika vipi?" Prof. Shivji

"Mkataba huu (wa bandari) unaegemea zaidi upande mmoja na pia hauna ukomo wa muda. Wajibu wote ni wajibu wa serikali ya Tanzania lakini haki zote ni haki za DP WORLD" Profesa Issa Shivji

"Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) ni mkataba kati ya nchi na nchi kuhusu uwekezaji, na mkataba unasema ni kuhusu ushirikiano wa kiuchumi lakini ukweli ni kwamba mkataba huu ni aina ya mikataba ya uwekezaji" Prof. IssaShivji

"Katika mkataba huu wa bandari kuna mambo mawili, jambo la kwanza, mkataba unahusu ushirikiano wa kiuchumi lakini sio ushirikiano wa kiujumla bali ni katika eneo la bandari za bahari na bandari za maziwa. Na jambo la pili ni kwamba mwekezaji ameshatambulika" Prof. Issa Shivji

"Watu waliokuwa wanasema mkataba wa bandari ni wa miaka 100 hawakuwa wanamaanisha moja kwa moja ni miaka 100, walichomaanisha ni kuwa mkataba huu ni wa muda mrefu. Na ni kweli ni mkataba wa muda mrefu na utaisha pale ambapo mikataba yote ya miradi saba ya awamu ya kwanza itapokuwa imetekelezwa. Na kama kutakuwa na migongano au mifarakano, hadi itakapokuwa imetatuliwa" Prof. Issa Shivji

"Mkataba huu hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile hata kama tumevunja uhusiano wa kidplomasia na U.A.E (Falme za Kiarabu)" Prof. Issa Shivji

"Imezungumzwa sana kwamba watu wetu wataendelea na ajira zao, wafanyakazi Watanzania watashiriki vipi katika management (usimamizi)?, wafanyakazi wa kawaida (makuli) na HR (Afisa Rasilimali Watu) hawa watakuwa Watanzania lakini wengine wote katika management watatoka Dubai (DP World)" Prof. Issa Shivji

"Mikataba ya miradi (project agreement) na nchi mwenyeji (host government) mikataba hii haitapelekwa bungeni wala haitawekwa hadharani kwa sababu ni siri. Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari ) ulipelekwa bungeni kwasababu ni mkataba wa kimataifa lakini project agreement ni ya kibiashara hivyo ni confidential (siri). Watanzania hawatajua wameingia katika mkataba gani na kuna nini ndani ya mkataba na mkataba umesema nini" Prof. Issa Shivji

"Shughuli zilizotajwa katika awamu ya kwanza (ya mkataba wa bandari) sio za bandari pekee, kuna Special Economic Zone (maeneo mahususi ya kiuchumi), trade corridor, free zone" Prof. Issa Shivji

"Eneo ambalo sio la DP WORLD lakini ni karibu na eneo la DP WORLD, mtu akitaka kujenga barabara au flyover ambayo interfere (itaingilia) shughuli za DP WORLD hairuhusiwi kwa mujibu wa mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari). Serikali itahakikisha kwamba shughuli hizo hazitokuwepo kando kando na eneo la DP WORLD" Prof. Issa Shivji

"Kwa mfano serikali ina dhamira au haina dhamira ya kudevelop (kuendeleza) bandari ya Tanga au Mwanza kwa mujibu wa mkataba , DP WORLD wana haki ya kupewa taarifa hizo kabla ya yote ili wakitaka waweze ku-express interest (kuonesha nia)" Prof. Issa Shivji

"Kuna sekta nyeti katika uchumi na huwezi kuweka katika makampuni ya watu binafsi na bandari ni sekta nyeti mojawapo, ni roho na mishipa ya uchumi hivyo huwezi kuweka katika mikono ya watu binafsi kwa sababu mbalimbali" Prof. Issa Shivji

"Mali zetu ikiwemo madini tunazo-export (tunazozisafirisha nje) ma mali tunazozileta zinapitia bandari na mali nyingine ni very sensitive (nyeti sana), huwezi kuweka hiyo mikono mwa kampuni mbinafsi bila wewe kuwa na mamlaka" Prof. Issa Shivji
Hawa ndo wasomi Sasa.
 
"Watu waliokuwa wanasema mkataba wa bandari ni wa miaka 100 hawakuwa wanamaanisha moja kwa moja ni miaka 100, walichomaanisha ni kuwa mkataba huu ni wa muda mrefu. N"

Hapo juu [emoji115]ukimsoma profesa utagundua kapuyanga tangu lini kawa msemaji wa watu? Hao waliokuwa wanasema miaka 100 alikutana nao lini ikawa wakamwambia siyo 100 ni mida mrefu? Siasa mbaya imeingia
 
"Wajibu wote kwa serikali ya Tanganyika" ajabu "Haki zote kwa mwarabu" - Prof. Shivji.

Mkataba hauna ukomo, ajabu kuna wajinga wasio na adabu walioanza kujitutumua kusema tusubiri HGA!

Huu mkataba unaonesha wazi kabisa, kuna kitu kikubwa sana Samia alihongwa na mwarabu, akaona malipo yake aje kuzitoa sadaka bandari zetu watanganyika.

Samia ana nia ovu na Tanganyika.
 
Kifupi, Mama aliwabana TRA na TPA kwamba alitaka Tshs. Trillion 30 kwa mwaka (2.5 kwa mwezi) zitoke kwenye Bandari zote ili kupunguza utegemezi wetu kwa mabeberu, majamaa kwa uvivu wa kufikiri namna ya kuiendesha kwa ufanisi wakaona njia ya mkato ni kuiuza Bandari yetu kwa mwarabu. Hii ni aibu kubwa kwa taifa ambalo lina zaidi miaka 60 ya kujitawala kwake kushindwa kusimamia upakiaji, usafirishaji na upakuaji wa mizigo bandarini.
si ndo wasomi wa siku hizi ,
 
Haya sasa, shakunywa matapishi mwenyewe!
Hovyo kabisa.

Usitafute kusukumiza lawama kwa watu wanaoshinikizwa tu wafanye anavyotaka mhusika.

Hili ni la Samia mwenyewe, na itabidi alinywe mwenyewe.
Mpuuzi huyu bibi foxy, kwani yeye samia haoni hizi kelele za watu walioamua kujitokeza kufafanua upuuzi uliopo

kama wanasheria wa nchi walishindwa kumwambia ukweli yeye sa100 kwann asisitishe kutokana na ufafanuzi unaotolewa na watu kama kina shivj? Atalinywa mwenywe wala msitake kusingizia watu wengine
 
"Watu waliokuwa wanasema mkataba wa bandari ni wa miaka 100 hawakuwa wanamaanisha moja kwa moja ni miaka 100, walichomaanisha ni kuwa mkataba huu ni wa muda mrefu. N"

Hapo juu [emoji115]ukimsoma profesa utagundua kapuyanga tangu lini kawa msemaji wa watu? Hao waliokuwa wanasema miaka 100 alikutana nao lini ikawa wakamwambia siyo 100 ni mida mrefu? Siasa mbaya imeingia
inamaana wewe ulikuwa hufuatilii tangu vuguvugu limeanza la bandari , since day one!!? Uliyekurupuka ni wewe mkuu!!!
 
Sasa wale wabunge wakiongozwa na spika, ambaye ni mwanasheria nguli (km inavyo daiwa) hawakuona haya mambo? Hadi kupitisha kwa kishindo na harakaa??

Mbona inashangaza mnooo, khaaah
Wabunge maslahi....wabunge wote wakirudi 2025 Shangazi na Msukuma pia out ....
 
Yaani miaka 60 ya uhuru bado tunageuzwa kama chapati watanganyika kweli? hapana kwenye hili watusamehe wacha tuendelee na umaskini wetu ila Bandari ni mali ya watanganyika vizazi na vizazi vijavyo.

Yaani hili saga ni sawa na yule Mzee aliyetaka kuuza shamba mtoto wa miaka 6 akakimbia police kuweka pingamizi.

 
Back
Top Bottom