Prof. Shivji: Mikataba ya Bandari na Dubai inayokuja itakuwa Siri na haitapelekwa Bungeni

Kuna ubaya gani kuwa "mjamaa"?

Unapokaririshwa jitahidi sana utumie akili uliyojaliwa na Muumba wako kuitumia na kuona ukweli wa jambo ulilokariri.

Ni wapi duniani pasipokuwepo na ujamaa?
Ww nikuulize unaujua ujamaa?au na ww umemeza tu? Ni fikra za kwenye makaratasi ambazo hazifai
 
Mbona umekwepa hoja hizo hapo juu umeenda upande ambao ni kidogo sana wa kile Shivji kaongelea? Kwa maandiko yako juu ya swala hili toka limeanza ulipaswa uje na hoja na majibu kama alivyoelezea Prof, au nondo nzito?
 
Usikute FaizaFoxy ndio Chifu Hangaya mwenyewe. ๐Ÿค“
 
Sasa wale wabunge wakiongozwa na spika, ambaye ni mwanasheria nguli (km inavyo daiwa) hawakuona haya mambo? Hadi kupitisha kwa kishindo na harakaa??

Mbona inashangaza mnooo, khaaah
Hajaona kwa kuwa ukijifanya umeona wewe siyo ccm
 
Sawa ili wale ambao hawaahirishi akili zao kufikiri wasipige kelele
 
Lusinde kesho ataita press kumshambulia prof shivji , watasaidiana na msukuma, baba levo na mwijaku...hao ndo wamepewa tenda ya kujitoa ufahamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu mkataba usitishwe malamaja bungeni,waachane na maboresho bandari zetu zibaki chini ya TPA.
 
Profesa anasema kwa mujibu wa mkataba DP wanaruhusiwa kuanza kufanya shughuli hata kabla ya kutia saini ya mikataba midogo na shughuli ikisha anza inakuwa ni part ya mkataba utakao sainiwa na hakuna wa kuhoji!
 
Prof anasema hakutakuwa na interference from any state authorities (kwa kifupi hakuna cha polisi,TRA au TPA) ambaye atakuwa ana muingilia DP world!

Kwa hiyo ni kweli TPA watafanya kazi za kuvusha watu na mitumbwi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
mkataba ni haki yetu kuujuwa kama wananchi na ni haki yetu kukemea mikataba ovu yakifirauni yani ukomo wake haueleweki alafu bado tujione tupo salama apo.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Shivji aanze na serikali yenyewe tokea Magufuli na uchaguzi alivyouendesha na hata kupatikana Samia mbona hatujamsikia au kwa sababu aliyefanya haya ni CCM mwenzake ??

Yote haya yanakuja kwa kukosa katiba na uchaguzi uliohuru Tz pamoja na kukosa mahakama zilizo huru ,
haya ndiyo mambo ya msingi kuliko hiyo bandari , na haya ndiyo ya Shivji anatakiwa kuyavalia njuga kwanza
 
mkataba ni haki yetu kuujuwa kama wananchi na ni haki yetu kukemea mikataba ovu yakifirauni yani ukomo wake haueleweki alafu bado tujione tupo salama apo.?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakemea mkataba wakati hao walio madarakani wenyewe wameingia kifirauni , utegemee kitu gani ??
 
Sasa wale wabunge wakiongozwa na spika, ambaye ni mwanasheria nguli (km inavyo daiwa) hawakuona haya mambo? Hadi kupitisha kwa kishindo na harakaa??

Mbona inashangaza mnooo, khaaah


Na wala huyo Shivji hatujamsikia kusema chochote , pamoja na umafia wa Magufuli alioleta uozo wote huu
 
Atatokea mtu mmoja ameshiba mema ya nchi, anaitwa Malechela(kwa kujitia uzungu anajiandika Malecela) na kusema kuwa wanaopinga mradi hawana hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ