KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Yani unanipeleka kwenye maandishi tena..unaujua ujamaa ww.?shida ya watz ujuvi mwingi lakini hakuna kitu, lini tanzania imeacha ujamaa? kasome ibara ya 9 ya katiba yako ya JMT, ujue siasa ya nchi yako.
Ww nikuulize unaujua ujamaa?au na ww umemeza tu? Ni fikra za kwenye makaratasi ambazo hazifaiKuna ubaya gani kuwa "mjamaa"?
Unapokaririshwa jitahidi sana utumie akili uliyojaliwa na Muumba wako kuitumia na kuona ukweli wa jambo ulilokariri.
Ni wapi duniani pasipokuwepo na ujamaa?
Wasomi bado ni watumwa kwa wanasiasa - Joh MakiniUtaskia kesho Steve Nyerere amemuitia waandishi wa habari, kumjibu Prof Shivji. [emoji18]
Taifa La Tanzania ukute huko mbinguni kwenye runinga ni kipindi cha "Ze Comedi Orijino".
Mbona umekwepa hoja hizo hapo juu umeenda upande ambao ni kidogo sana wa kile Shivji kaongelea? Kwa maandiko yako juu ya swala hili toka limeanza ulipaswa uje na hoja na majibu kama alivyoelezea Prof, au nondo nzito?Hilo la mikataba ya biashara kuwa siri ni ukweli kabisa, hakuna ataekubali mkataba wake wa kibiashara uanikwe, si Tanzania si Dubai.
Na nani atakaetaka mikataba ya biashara ianikwe wazi? Huyo atakuwa ni ni muhujumu uchumi na msaliti wa kijinga, auliwe tu.
Biashara ni vita kubwa sana kuliko vita ya risasi dunia ya leo.
Ikiwezekana Mwenyezi Mungu aingilie kati.Mungu tupishie mbali mikataba yote ya ovyo!
Usikute FaizaFoxy ndio Chifu Hangaya mwenyewe. ๐คMpuuzi huyu bibi foxy, kwani yeye samia haoni hizi kelele za watu walioamua kujitokeza kufafanua upuuzi uliopo
kama wanasheria wa nchi walishindwa kumwambia ukweli yeye sa100 kwann asisitishe kutokana na ufafanuzi unaotolewa na watu kama kina shivj? Atalinywa mwenywe wala msitake kusingizia watu wengine
Hajaona kwa kuwa ukijifanya umeona wewe siyo ccmSasa wale wabunge wakiongozwa na spika, ambaye ni mwanasheria nguli (km inavyo daiwa) hawakuona haya mambo? Hadi kupitisha kwa kishindo na harakaa??
Mbona inashangaza mnooo, khaaah
Sawa ili wale ambao hawaahirishi akili zao kufikiri wasipige kelele"DP WORLD wakipata faida huwezi kuwatoza kodi lakini pia hakuna kifungu chochote (katika mkataba wa bandari) kinachozungumzia revenue sharing (mgawanyo wa mapato), kama nchi itafaidika vipi?" Prof. Shivji
"Mkataba huu (wa bandari) unaegemea zaidi upande mmoja na pia hauna ukomo wa muda. Wajibu wote ni wajibu wa serikali ya Tanzania lakini haki zote ni haki za DP WORLD" Profesa Issa Shivji
"Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) ni mkataba kati ya nchi na nchi kuhusu uwekezaji, na mkataba unasema ni kuhusu ushirikiano wa kiuchumi lakini ukweli ni kwamba mkataba huu ni aina ya mikataba ya uwekezaji" Prof. IssaShivji
"Katika mkataba huu wa bandari kuna mambo mawili, jambo la kwanza, mkataba unahusu ushirikiano wa kiuchumi lakini sio ushirikiano wa kiujumla bali ni katika eneo la bandari za bahari na bandari za maziwa. Na jambo la pili ni kwamba mwekezaji ameshatambulika" Prof. Issa Shivji
"Watu waliokuwa wanasema mkataba wa bandari ni wa miaka 100 hawakuwa wanamaanisha moja kwa moja ni miaka 100, walichomaanisha ni kuwa mkataba huu ni wa muda mrefu. Na ni kweli ni mkataba wa muda mrefu na utaisha pale ambapo mikataba yote ya miradi saba ya awamu ya kwanza itapokuwa imetekelezwa. Na kama kutakuwa na migongano au mifarakano, hadi itakapokuwa imetatuliwa" Prof. Issa Shivji
"Mkataba huu hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile hata kama tumevunja uhusiano wa kidplomasia na U.A.E (Falme za Kiarabu)" Prof. Issa Shivji
"Imezungumzwa sana kwamba watu wetu wataendelea na ajira zao, wafanyakazi Watanzania watashiriki vipi katika management (usimamizi)?, wafanyakazi wa kawaida (makuli) na HR (Afisa Rasilimali Watu) hawa watakuwa Watanzania lakini wengine wote katika management watatoka Dubai (DP World)" Prof. Issa Shivji
"Mikataba ya miradi (project agreement) na nchi mwenyeji (host government) mikataba hii haitapelekwa bungeni wala haitawekwa hadharani kwa sababu ni siri. Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari ) ulipelekwa bungeni kwasababu ni mkataba wa kimataifa lakini project agreement ni ya kibiashara hivyo ni confidential (siri). Watanzania hawatajua wameingia katika mkataba gani na kuna nini ndani ya mkataba na mkataba umesema nini" Prof. Issa Shivji
"Shughuli zilizotajwa katika awamu ya kwanza (ya mkataba wa bandari) sio za bandari pekee, kuna Special Economic Zone (maeneo mahususi ya kiuchumi), trade corridor, free zone" Prof. Issa Shivji
"Eneo ambalo sio la DP WORLD lakini ni karibu na eneo la DP WORLD, mtu akitaka kujenga barabara au flyover ambayo interfere (itaingilia) shughuli za DP WORLD hairuhusiwi kwa mujibu wa mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari). Serikali itahakikisha kwamba shughuli hizo hazitokuwepo kando kando na eneo la DP WORLD" Prof. Issa Shivji
"Kwa mfano serikali ina dhamira au haina dhamira ya kudevelop (kuendeleza) bandari ya Tanga au Mwanza kwa mujibu wa mkataba , DP WORLD wana haki ya kupewa taarifa hizo kabla ya yote ili wakitaka waweze ku-express interest (kuonesha nia)" Prof. Issa Shivji
"Kuna sekta nyeti katika uchumi na huwezi kuweka katika makampuni ya watu binafsi na bandari ni sekta nyeti mojawapo, ni roho na mishipa ya uchumi hivyo huwezi kuweka katika mikono ya watu binafsi kwa sababu mbalimbali" Prof. Issa Shivji
"Mali zetu ikiwemo madini tunazo-export (tunazozisafirisha nje) ma mali tunazozileta zinapitia bandari na mali nyingine ni very sensitive (nyeti sana), huwezi kuweka hiyo mikono mwa kampuni mbinafsi bila wewe kuwa na mamlaka" Prof. Issa Shivji
Huu mkataba usitishwe malamaja bungeni,waachane na maboresho bandari zetu zibaki chini ya TPA.Lusinde kesho ataita press kumshambulia prof shivji , watasaidiana na msukuma, baba levo na mwijaku...hao ndo wamepewa tenda ya kujitoa ufahamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mkataba ni haki yetu kuujuwa kama wananchi na ni haki yetu kukemea mikataba ovu yakifirauni yani ukomo wake haueleweki alafu bado tujione tupo salama apo.?Abariki kweli, anawaambia ukweli bado hamumuelewi.
Mama anawaletea maendeleo hamna macho wala muono wa kuyaona.
Shivji yupo sahihi kanisa. Hamtoweza kuuona mkataba.
Wewe ukioneshwa mkataba wa biashara za watu utakusaidia nini? Kusoma kwenyewe mkataba hujuwi.
"DP WORLD wakipata faida huwezi kuwatoza kodi lakini pia hakuna kifungu chochote (katika mkataba wa bandari) kinachozungumzia revenue sharing (mgawanyo wa mapato), kama nchi itafaidika vipi?" Prof. Shivji
"Mkataba huu (wa bandari) unaegemea zaidi upande mmoja na pia hauna ukomo wa muda. Wajibu wote ni wajibu wa serikali ya Tanzania lakini haki zote ni haki za DP WORLD" Profesa Issa Shivji
"Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) ni mkataba kati ya nchi na nchi kuhusu uwekezaji, na mkataba unasema ni kuhusu ushirikiano wa kiuchumi lakini ukweli ni kwamba mkataba huu ni aina ya mikataba ya uwekezaji" Prof. IssaShivji
"Katika mkataba huu wa bandari kuna mambo mawili, jambo la kwanza, mkataba unahusu ushirikiano wa kiuchumi lakini sio ushirikiano wa kiujumla bali ni katika eneo la bandari za bahari na bandari za maziwa. Na jambo la pili ni kwamba mwekezaji ameshatambulika" Prof. Issa Shivji
"Watu waliokuwa wanasema mkataba wa bandari ni wa miaka 100 hawakuwa wanamaanisha moja kwa moja ni miaka 100, walichomaanisha ni kuwa mkataba huu ni wa muda mrefu. Na ni kweli ni mkataba wa muda mrefu na utaisha pale ambapo mikataba yote ya miradi saba ya awamu ya kwanza itapokuwa imetekelezwa. Na kama kutakuwa na migongano au mifarakano, hadi itakapokuwa imetatuliwa" Prof. Issa Shivji
"Mkataba huu hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile hata kama tumevunja uhusiano wa kidplomasia na U.A.E (Falme za Kiarabu)" Prof. Issa Shivji
"Imezungumzwa sana kwamba watu wetu wataendelea na ajira zao, wafanyakazi Watanzania watashiriki vipi katika management (usimamizi)?, wafanyakazi wa kawaida (makuli) na HR (Afisa Rasilimali Watu) hawa watakuwa Watanzania lakini wengine wote katika management watatoka Dubai (DP World)" Prof. Issa Shivji
"Mikataba ya miradi (project agreement) na nchi mwenyeji (host government) mikataba hii haitapelekwa bungeni wala haitawekwa hadharani kwa sababu ni siri. Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari ) ulipelekwa bungeni kwasababu ni mkataba wa kimataifa lakini project agreement ni ya kibiashara hivyo ni confidential (siri). Watanzania hawatajua wameingia katika mkataba gani na kuna nini ndani ya mkataba na mkataba umesema nini" Prof. Issa Shivji
"Shughuli zilizotajwa katika awamu ya kwanza (ya mkataba wa bandari) sio za bandari pekee, kuna Special Economic Zone (maeneo mahususi ya kiuchumi), trade corridor, free zone" Prof. Issa Shivji
"Eneo ambalo sio la DP WORLD lakini ni karibu na eneo la DP WORLD, mtu akitaka kujenga barabara au flyover ambayo interfere (itaingilia) shughuli za DP WORLD hairuhusiwi kwa mujibu wa mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari). Serikali itahakikisha kwamba shughuli hizo hazitokuwepo kando kando na eneo la DP WORLD" Prof. Issa Shivji
"Kwa mfano serikali ina dhamira au haina dhamira ya kudevelop (kuendeleza) bandari ya Tanga au Mwanza kwa mujibu wa mkataba , DP WORLD wana haki ya kupewa taarifa hizo kabla ya yote ili wakitaka waweze ku-express interest (kuonesha nia)" Prof. Issa Shivji
"Kuna sekta nyeti katika uchumi na huwezi kuweka katika makampuni ya watu binafsi na bandari ni sekta nyeti mojawapo, ni roho na mishipa ya uchumi hivyo huwezi kuweka katika mikono ya watu binafsi kwa sababu mbalimbali" Prof. Issa Shivji
"Mali zetu ikiwemo madini tunazo-export (tunazozisafirisha nje) ma mali tunazozileta zinapitia bandari na mali nyingine ni very sensitive (nyeti sana), huwezi kuweka hiyo mikono mwa kampuni mbinafsi bila wewe kuwa na mamlaka" Prof. Issa Shivji
Unakemea mkataba wakati hao walio madarakani wenyewe wameingia kifirauni , utegemee kitu gani ??mkataba ni haki yetu kuujuwa kama wananchi na ni haki yetu kukemea mikataba ovu yakifirauni yani ukomo wake haueleweki alafu bado tujione tupo salama apo.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wale wabunge wakiongozwa na spika, ambaye ni mwanasheria nguli (km inavyo daiwa) hawakuona haya mambo? Hadi kupitisha kwa kishindo na harakaa??
Mbona inashangaza mnooo, khaaah
Rostam anajua alipoRais yuko wapi kwani!!?