Prof Shivji: Nini kifanyike ili kujitoa kwenye mkataba wa DP-World?

kuna remot inaendesha nchi
 
Sababu kubwa ya Bandari yetu(zetu) kugawawiwa na wala siyo kuuzwa ninkugawa bure ni Kongo, na hilo liko juu ya Viongozi wote wa Tanzania, wanaochukuwa mali za Kongo wanaopiganisha Vita Kongo ili waibe rasilimali ndiyo wanaochukuwa pia Bandari zetu, muda utaongea na ndiyo hakuna kitu tutafanya, zimeshaenda hizo, sababu ni mali za Kongo na Serikali haitahusika na kitakachopita Bandarini ili isijulikane Mali zaKongo zinaenda wapi. Serikali haitajua nini kinaingia na kipi kinatoka.
Kwa kifupi kilichofanyika ni kama karne iliyopita foreign army wangetuvamia na ku seize Bandari yetu na kuweka military post kuirun Bandari kwa manufaa yao ila leo karne ya 21 hilo haliwezekani moja kwa moja wanatumia mbinu nyingine lkn matokeo ni yale yale.

Unafikiri timing ya Bandari kavu Kigali imetokea tu? Unganishaleni dots mtafika tu kwa mwenyewe, …
 
Tungeweza kutumia njia hii kujindoa kwenye mkataba huu, lakini kwa namna hawa wabunge wetu walivyopatikana inatia wasiwasi mkubwa.
 
Njia nyingine ya kujitoa ni kuwaondoa madarakani viongozi wote waliohusika, na wapambe wote washughlikiwe kwa mujibu wa sheria.. bila upendeleo
 
Mama ana TISS,na ndiyo mshauri wa Mama kwenye kila Jambo! Au unazani Mama kuleta DP hana baraka za TISS!!??
 
Jambo moja la msingi alipaswa Rais ni kuwashughulikia wanasheria wote walio kuwa kwenye timu hii ya mkataba huu kwani ni Wahaini na wahujumu uchumi.
Mkuu, atawashughulikiaje wakati ziara ya kwenda huko Dubaï kwenyewe ilipangwa na wasaidizi wake?
Kumbuka safari mbili za kwenda Dubaï kimya kimya!. Bunge nalo badala ya kuisimamia vyema Seikali, limegeuka kuwa mtetezi.
 
Kila nikikaa na kufiri naona kabisa dalili zote za kuwa na dpw hapa Tanzania, hatuna namna zaidi ya kukubali kilicho tokea, ingawa kama wananchi wanauwezo mkubwa lakini hatufui dafu.

Silaha yetu ni kwenye sanduku la kura, maybe tujaribu hio 2025.
Sanduku la kura ni Mali ya ukoo wa panya, tafuta Njia ingine.
 
Bunge laweza kupitisha azimio kurevorke azimio lake la kwanza na bunge lina mamlaka sovereignity power ya ku unvoke it's status. Wabunge wanaweza sema baada ya kusikiliza wananchi wetu tumeona kuwa azimio hilo halikuwa sahihi na tunalifuta inawezekana kabisa na kama azimio likifutwa hakuna rectification na kama hakuna rectification mkataba umefutwa, sasa njia hii pekee inawezekana.

Hayo ni maneno kabisa ya nguli wa sheria anayeaminiwa duniani kote ! sasa nyie wa bunge jifanyeni hamuoni wakati mnaona kelele zinazoendelea, mkiziba masikio swala hili litakuja na sura mpya kabisa kwa wananchi mtambue hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…