Prof Shivji: Nini kifanyike ili kujitoa kwenye mkataba wa DP-World?

Prof Shivji: Nini kifanyike ili kujitoa kwenye mkataba wa DP-World?

Stroke umekuwa mshabiki wa hawa watu kwa muda mrefu. Haya ndiyo tumekuwa tukiyapinga na mnatuona hatuitendei haki serikali yetu, kwa kuwakosoa.

Mimi najiuliza hata hivyo vyombo vyetu vya dola vinamshauri nini chief wao ?!.

Muungano ni tatizo kubwa sana. Na hizi ni athari zake.
Huu muungano wetu Tz haueleweki na hauvunjiki sababu hauko Katika vitabu vinavyotaja aina tatu tu za muungano,
i.e Union ( mnavunja serikali zenu na kuunda moja), Federal ( mnaendelea na Serikali zenu na kuwa na Serikali kuu ya muungano) , Confederal ( mnaendelea na Serikali zenu na kuungana katika mambo flani kama kutumia currency moja etc ),

Nyerere asifiwe sana kwa akili kubwa ya kukurupuka na kuleta umaskini kwa kuanzisha ujamaa ideology ambayo hakuielewa na kutunga muungano usioeleweka!

Hizi issue zisizoeleweka za muungano ni unintended consequences za muungano wetu. Tunachojua ni kuwa Zenji ni koloni letu Bara basi na muungano hauvunjiki kwa maslahi ya nchi yasiyoweza kuwekwa hadharani.

Huwa sikubaliani na Nyerere kabisa kwa kuleta ujamaa , ideology isiyofaa na ya kijinga mno kwa nchi masikini ( nimesoma ujamaa na ubepari ulaya na nikaelewa kuliko alivyoelewa Nyerere) maana msingi wa ujamaa ni kufanya kazi pamoja na kugawana Mali na Kwa Asili binadamu ni selfish and they are of different personalities wengine hardworkers wengine wavivu huwezi kusema wakae chungu kimoja utaleta unyonyaji tu na kuambukizana uvivu na Tz hatuna utajiri wa kugawana labda tugawane umaskini! Karl Marx anasema kitu Cha kwanza kinachomsukuma mtu kufanya kazi ni kupata maslahi binafsi ya kiuchumi na hata kukiwa na mgogoro chanzo Kikuu anasema huwa ni maslahi , japo sociologist wengine kina Max Weber wanasema binadamu pia anasukumwa katika kazi au mambo yake na kutaka sifa, kutaka umaarufu, kutaka uongozi, kutaka kutawala wengine etc.

Msingi wa ubepari ni mtaji, individualism, juhudi binafsi, ujasiriamali, uwekezaji na kupata profit kubwa sasa badala ya kufundisha raia uwekezaji wanafundishwa ngonjera za kijinga za ujamaa na ushirika my foot!! Hakuna ushirika katika Asili ya binadamu Kila mtu hupambania nafsi yake na hiyo ni human nature ndio maana ufisadi hautaisha bila kunyonga wahusika! Ujamaa ni ideology ya kufikirika na nchi inatakiwa kuingia katika ujamaa baada ya kuwa tajiri kupitiliza japo pia jambo Hilo ni utopia, haliko practical maana itabidi uwanyang'anye matajiri Mali zao walizopambana kujaza uzigawe Kwa jamii ya watu maskini na wavivu.

Nchi huendelea kwa ukuaji mkubwa wa viwanda vya watu binafsi ( capitalism) wanaolipa Kodi ambayo serikali isiyo ya kifisadi hutumia kodi hiyo kujenga miundombinu Bora ya Barabara, umeme, maji, reli, Usalama, amani, demokrasia etc. Sijui Nyerere alisoma vitabu Gani maana kawalisha raia matango pori na hawakumshtukia mpaka siku aliyoaga!

Ila katika hili la muungano Mwalimu apewe Maua yake maana alikuwa sahihi japo sababu za huu muungano ukitaka kuzijua nenda kasome BA Political Science pale Mlimani humu jukwaani au Mtaani si mahali pake!
 
Jambo moja la msingi alipaswa Rais ni kuwashughulikia wanasheria wote walio kuwa kwenye timu hii ya mkataba huu kwani ni Wahaini na wahujumu uchumi.
Yeye mwenyewe ndio Payonia kwenye hilo hukumbuki Burj Khalifa waliweka Picha yake? Kwanza ata hivo ubavu wa kuwawajibisha hana. Ni mlenda mlenda tu.
 
WAPO WATU WAMEUMBWA KI TOFAUTI, WAZO LA KUMFIKIRIA MWINGINE HALIPO KABISA!, AKISHASHIBA YEYE IMETOSHA!
 
Huyu mama ni muhimu akawa na Baraza la watu wenye akili wakamshauri tuwache kuhonga chawa Ili tuu kujiingiza kwenye matatizo ,kwa sasa sidhani kama tuna Imani na bunge maana hawatujali sisi kama wananchi CCM imefikia pabaya na hii ikifanyika waje na hoja kwenye uchaguzi 2025 ....#uchawanikansainayotutafunapolepole
Baraza la mawaziri unalisingizia bure katika hili, hili suala la Bandari ni deal la mama na genge lake, mama anajua anachokifanya na huo mkataba ulivyo sasa ndio mama ametaka uwe hivyo.
 
Baada ya hotuba ndefu nimenukuu haya machache kutoka kwa Prof Shivji juu ya nini kifanyike ili kujitoa kwenye mkataba huu wa kinyonyaji wa DP- World. naandika kama anavyo sema:-

"Kwa ujumla kwa kuhitimisha, mkataba huu sisi wanasheria tunauita honoracy provitions na tukikubaliana hivyo je kuna njia gani ya kujitoa kwenye mkataba huu? Hii sitorudia kusema kwa sababu the destiny ilikuwa ni bunge kuto ridhia mkataba huu lakini kwa sasa na kwa busara zake bunge limeona mkataba huu unafaa na limesha uridhia.

Njia ya pili imependekezwa na chama cha wanasheria na Mzee Warioba, aliposema kwamba tuurekebishe mkataba huu na tufute vipengele vinavyo lalamikiwa. Je njia hii inawezekana? (haiwezekani!) kwa mkataba huu mshirika wako ni lazima akubali ndipo marekebisho yafanyike.

Kama alivyosema Bwana Richard (mzungumzaji aliyetangulia.) kwamba kama mshirika ananufaika na kifungu hiki hatoweza kukubali kurekebisha. Na hata ukisema anakubali je mkataba huo sasa baada ya kurekebishwa utarudi tena bungeni? kwa sababu huo ulio rekebishwa utakuwa haukupitishwa na Bunge!

Jambo jingine nilisikia kwenye clip kutoka kwa Dr. Slaa akisema kwamba kuna muda wa mwaka mmoja kujitoa akinukuu ibara ya tano ya mkataba huu. Nafikiri amekosea tafsiri ya jinsi alivyosoma mkataba huu, ibara ya 5 inasema tu kwamba kama katika muda wa miezi 12 baada ya kusainiwa kwa mkataba na endapo kama hawajakubaliana kupitia project agreement na negotiation, serikali ya Tanzania itakuwa na uwezo wa kutafuta proporsal sehemu nyingine, haisemi kabisa kujiondoa.

Njia ya tatu ya kuingia mahakamani kama wenasheria wengine walivyofanya hapa kuna matatizo. Kama tunavyojua mahakama zetu zinachukua muda mrefu sana kufanya maamuzi, pale kesi itakapo kuja kusikilizwa muda utakuwa umepita na wahusika watakuwa wamesha saini project agreements, mahakama itashindwa kufanya maamuzi ya haki baada ya muda huo kupita na kwakuwa uamuzi wake kwa kipindi hicho hautakuwa na maana yeyote ndivyo watakavyo sema.

Njia mojawapo sijui kama wenzangu wamefikiria hiyo, kwenda kufile case na kuomba inaction ili kuzuia serikali kusign any proporsal about agreement mpaka pale kesi ya msingi iwe imeamuliwa, inategemea kiasigani wataweza kuwasilisha hoja zao lakini kisheria inawezekana hiyo. Swali ni je, utakapoingia mahakamani utakuwa unachallenge nini? Huwezi ukachallenge mkataba (IGA) bali utakuwa unachallenge azimio la bunge kwamba ni unconstitutional kwasababu limeridhia mkataba ambao ni unconstitutional. Kwahiyo azimio la bunge liwe ni unconstitutional kwa kuridhia mkataba ambao ni unconstitutionala ihope itakuwa vizuri.

Njia nyingine ambayo inawezekana kabisa, Mheshimiwa waziri mkuu amesema watafanya amendment lakini kama nilivyosema haiwezekani. Bunge laweza kupitisha azimio kurevorke azimio lake la kwanza na bunge lina mamlaka sovereignity power ya ku unvoke it's status. Wabunge wanaweza sema baada ya kusikiliza wananchi wetu tumeona kuwa azimio hilo halikuwa sahihi na tunalifuta inawezekana kabisa na kama azimio likifutwa hakuna rectification na kama hakuna rectification mkataba umefutwa, sasa njia hii pekee inawezekana.

Ni kwa kiasigani wananchi wataweza kuwashinikiza wabunge wao kuwalazimisha wakae tena bungeni warevorke azimio hilo na kufunga huo mjadala inategemea na uwamuzi wao wananchi. Kusema kweli bunge haliko chini ya Dubai hata sheria za kimataifa haziwezi kuli zuia ndio maana ya sovereignity of parliament kwa hivyo uamuzi wa Bunge utaheshimiwa.

Jambo la mwisho kama ninavyopenda kusema kuhusu mchakato mzima wa ubinafsishaji. Kila mara ubinafsishaji unahalalishwa kwa kusema kwamba sisi kama serikali hatukuwa na tija katika uendeshaji wa shirika hili, hiki ni kisingizio na kimetumika kubinafsisha mashirika yaliyokuwa yanaleta faida, nani anataka shirika linalotia hasara? Kuna sekta nyeti katika uchumi huwezi kuweka mikononi mwa watu na bandari ni sekta nyeti mojawapo, huwezi kuiweka mikononi mwa watu kwa sababu mbalimbali.

Mali yetu yote tuna export kupitia bandari, madini yetu yote yanapitia bandarini, mali yote tunayoleta kutoka nje yetu na ya wengine inapitia bandari na mali zenyewe ni sensitive. Sasa huwezi kuweka hiyo bandari mikononi mwa private company bila ya wewe kuwa na control na all say power hujui wataforward nini kupitisha ama watafaidika nini na huwezi kuzuia.

Kama kuna tatizo la ufanisi ni bora kuajiri management kutoka nje, ingawa itakuwa chini yetu kama vile Dubai wanavyoajiri watu kutoka nje kwani lazima ubinafsishe? Na hii sio ukodishaji kama watu wanavyosema ni ubinafsishaji kwa sababu unaweka control mikononi mwa private company bila ushindani kinyume na katiba ya nchi.

Kwa upande wangu mi naona kuna sekta nyeti za uchumi ambazo ni lazima zibaki mikononi mwa serikali na bandari ni moja wapo, fedha ni muhimu na nishati ni yatatu. Unaweza kubinafsisha hoteli au maduka lakini sio bandari wala sekta ya fedha, hata ukiruhusu mabenki binafsi lakini ni lazima uwe na commercial bank ya serikali ni lazima." Amesema Prof Shivji kwenye mjadala huo.
Prof Shivji ni mtu mzima,

Anajua Watanzania tukifanya Regime change, utakuwa mwisho wa mkataba huo wanaodai hauvunjiki.

Kuvunja mkataba na DP World ni kuiondoa CCM madarakani Kwa maandamano, maana Kwa Sanduku la kura wanaiba.
 
Sababu kubwa ya Bandari yetu(zetu) kugawawiwa na wala siyo kuuzwa ninkugawa bure ni Kongo, na hilo liko juu ya Viongozi wote wa Tanzania, wanaochukuwa mali za Kongo wanaopiganisha Vita Kongo ili waibe rasilimali ndiyo wanaochukuwa pia Bandari zetu, muda utaongea na ndiyo hakuna kitu tutafanya, zimeshaenda hizo, sababu ni mali za Kongo na Serikali haitahusika na kitakachopita Bandarini ili isijulikane Mali zaKongo zinaenda wapi. Serikali haitajua nini kinaingia na kipi kinatoka.
Kwa kifupi kilichofanyika ni kama karne iliyopita foreign army wangetuvamia na ku seize Bandari yetu na kuweka military post kuirun Bandari kwa manufaa yao ila leo karne ya 21 hilo haliwezekani moja kwa moja wanatumia mbinu nyingine lkn matokea ni yale yale.

Unafikiri timing ya Bandari kavu Kigali imetokea tu? Unganishaleni dots mtafika tu kwa mwenyewe, …
Amani na Utulivu uko katika Risk ya juu sana.

Tubadili uongozi wa Nchi na mambo yatabadilika.
 
Huu muungano wetu Tz haueleweki na hauvunjiki sababu hauko Katika vitabu vinavyotaja aina tatu tu za muungano,
i.e Union ( mnavunja serikali zenu na kuunda moja), Federal ( mnaendelea na Serikali zenu na kuwa na Serikali kuu ya muungano) , Confederal ( mnaendelea na Serikali zenu na kuungana katika mambo flani kama kutumia currency moja etc ),

Nyerere asifiwe sana kwa akili kubwa ya kukurupuka na kutunga muungano usioeleweka!

Hizi issue zisizoeleweka za muungano ni unintended consequences za muungano wetu. Tunachojua ni kuwa Zenji ni koloni letu Bara basi na muungano hauvunjiki kwa maslahi ya nchi yasiyoweza kuwekwa hadharani.

Huwa sikubaliani na Nyerere kwa kuleta ujamaa , ideology isiyofaa na ya kijinga mno kwa nchi masikini ( nimesoma ujamaa na ubepari ulaya na nikaelewa kuliko alivyoelewa Nyerere) maana msingi wa ujamaa ni kufanya kazi pamoja na kugawana na Kwa Asili binadamu ni selfish and they are of different personalities wengine hardworkers wengine wavivu huwezi kusema wakae chungu kimoja utaleta unyonyaji tu na Tz hatuna utajiri wa kugawana labda tugawane umaskini! Karl Marx anasema kitu Cha kwanza kinachomsukuma mtu kufanya kazi ni kupata maslahi binafsi ya kiuchumi na hata kukiwa na mgogoro chanzo Kikuu anasema huwa ni maslahi , japo sociologist wengine wanasema binadamu pia anasukumwa katika kazi au mambo yake na kutaka sifa, kutaka umaarufu, kutaka uongozi, kutaka kutawala wengine etc.

Msingi wa ubepari ni mtaji, individualism, juhudi binafsi, ujasiriamali, uwekezaji na kupata profit sasa badala ya kufundisha raia uwekezaji wanafundishwa ngonjera za ushirika my foot!! Hakuna ushirika katika Asili ya binadamu Kila mtu hupambania nafsi yake na hiyo ni human nature ndio maana ufisadi hautaisha bila kunyonga wahusika!

Ila katika hili la muungano Mwalimu apewe Maua yake maana alikuwa sahihi japo sababu za huu muungano ukitaka kuzijua nenda kasome BA Political Science pale Mlimani humu jukwaani au Mtaani si mahali pake!
Mkuu hebu tudokezee kidogo japo hata kwa code (hiyo paragra ya mwisho)
 
Tutakuwa kitovu cha madawa ya kulevya, kwasababu yataingia bila ya sisi kuwa na uwezo wa kuzuia.
Sikubaliani na mikataba ya kinyonyaji ila tusijidanganye kwamba magendo au madawa ya kulevya yalikua hayapiti bandarini ilihali ipo chini ya serikali.

Hapo TPA si ndio kulijaa rushwa Kila siku mara mizigo icheleweshwe, mara mizigo ipotee, mara watu wakwepe Kodi so as much as tunapinga mikataba ya kihuni ila tusidhani kuendelea kuendesha bandari kupitia TPA ndio itatuepusha na magendo kupita. TPA hawajawahi kuwa wasafi hata siku Moja so tusiwageuze Malaika humu ni Wezi pengine kuliko hao Dp world.
 
Mbona mnawaamsha hawa? Waacheni wagongwe kwanza ili akili ikae vizuri, wao wana fikiri privatisation inaanzia awamu ya 6 , kumbe imemuweko miaka mingi tena kwa hasara.
 
Jambo moja la msingi alipaswa Rais ni kuwashughulikia wanasheria wote walio kuwa kwenye timu hii ya mkataba huu kwani ni Wahaini na wahujumu uchumi.
Wote wamo kwenye hilo dili la kuuza nchi.
Kuanzia mshughulika hadi washunghulikiwa wote lao moja.
Sijui itakuwaje
Ila hii ni aibu ya karne na vizazi vyote vijavyo havitaelewa kilitokea nini.
 
Sikubaliani na mikataba ya kinyonyaji ila tusijidanganye kwamba magendo au madawa ya kulevya yalikua hayapiti bandarini ilihali ipo chini ya serikali.

Hapo TPA si ndio kulijaa rushwa Kila siku mara mizigo icheleweshwe, mara mizigo ipotee, mara watu wakwepe Kodi so as much as tunapinga mikataba ya kihuni ila tusidhani kuendelea kuendesha bandari kupitia TPA ndio itatuepusha na magendo kupita. TPA hawajawahi kuwa wasafi hata siku Moja so tusiwageuze Malaika humu ni Wezi pengine kuliko hao Dp world.
Ndiyo uigawe bandari kama mali iliyokuchosha ?!. Apishe wengine wenye ubunifu, siyo kuwarudisha watu utumwani.
 
Mbona mnawaamsha hawa? Waacheni wagongwe kwanza ili akili ikae vizuri, wao wana fikiri privatisation inaanzia awamu ya 6 , kumbe imemuweko miaka mingi tena kwa hasara.
Sisi ndiyo tutagongwa kwa msumari na kizazi kijacho wakati wao tayari wana fungu la kutosha kuishi maisha ya kifahari
 
Baada ya hotuba ndefu nimenukuu haya machache kutoka kwa Prof Shivji juu ya nini kifanyike ili kujitoa kwenye mkataba huu wa kinyonyaji wa DP- World. naandika kama anavyo sema:-

"Kwa ujumla kwa kuhitimisha, mkataba huu sisi wanasheria tunauita honoracy provitions na tukikubaliana hivyo je kuna njia gani ya kujitoa kwenye mkataba huu? Hii sitorudia kusema kwa sababu the destiny ilikuwa ni bunge kuto ridhia mkataba huu lakini kwa sasa na kwa busara zake bunge limeona mkataba huu unafaa na limesha uridhia.

Njia ya pili imependekezwa na chama cha wanasheria na Mzee Warioba, aliposema kwamba tuurekebishe mkataba huu na tufute vipengele vinavyo lalamikiwa. Je njia hii inawezekana? (haiwezekani!) kwa mkataba huu mshirika wako ni lazima akubali ndipo marekebisho yafanyike.

Kama alivyosema Bwana Richard (mzungumzaji aliyetangulia.) kwamba kama mshirika ananufaika na kifungu hiki hatoweza kukubali kurekebisha. Na hata ukisema anakubali je mkataba huo sasa baada ya kurekebishwa utarudi tena bungeni? kwa sababu huo ulio rekebishwa utakuwa haukupitishwa na Bunge!

Jambo jingine nilisikia kwenye clip kutoka kwa Dr. Slaa akisema kwamba kuna muda wa mwaka mmoja kujitoa akinukuu ibara ya tano ya mkataba huu. Nafikiri amekosea tafsiri ya jinsi alivyosoma mkataba huu, ibara ya 5 inasema tu kwamba kama katika muda wa miezi 12 baada ya kusainiwa kwa mkataba na endapo kama hawajakubaliana kupitia project agreement na negotiation, serikali ya Tanzania itakuwa na uwezo wa kutafuta proporsal sehemu nyingine, haisemi kabisa kujiondoa.

Njia ya tatu ya kuingia mahakamani kama wenasheria wengine walivyofanya hapa kuna matatizo. Kama tunavyojua mahakama zetu zinachukua muda mrefu sana kufanya maamuzi, pale kesi itakapo kuja kusikilizwa muda utakuwa umepita na wahusika watakuwa wamesha saini project agreements, mahakama itashindwa kufanya maamuzi ya haki baada ya muda huo kupita na kwakuwa uamuzi wake kwa kipindi hicho hautakuwa na maana yeyote ndivyo watakavyo sema.

Njia mojawapo sijui kama wenzangu wamefikiria hiyo, kwenda kufile case na kuomba inaction ili kuzuia serikali kusign any proporsal about agreement mpaka pale kesi ya msingi iwe imeamuliwa, inategemea kiasigani wataweza kuwasilisha hoja zao lakini kisheria inawezekana hiyo. Swali ni je, utakapoingia mahakamani utakuwa unachallenge nini? Huwezi ukachallenge mkataba (IGA) bali utakuwa unachallenge azimio la bunge kwamba ni unconstitutional kwasababu limeridhia mkataba ambao ni unconstitutional. Kwahiyo azimio la bunge liwe ni unconstitutional kwa kuridhia mkataba ambao ni unconstitutionala ihope itakuwa vizuri.

Njia nyingine ambayo inawezekana kabisa, Mheshimiwa waziri mkuu amesema watafanya amendment lakini kama nilivyosema haiwezekani. Bunge laweza kupitisha azimio kurevorke azimio lake la kwanza na bunge lina mamlaka sovereignity power ya ku unvoke it's status. Wabunge wanaweza sema baada ya kusikiliza wananchi wetu tumeona kuwa azimio hilo halikuwa sahihi na tunalifuta inawezekana kabisa na kama azimio likifutwa hakuna rectification na kama hakuna rectification mkataba umefutwa, sasa njia hii pekee inawezekana.

Ni kwa kiasigani wananchi wataweza kuwashinikiza wabunge wao kuwalazimisha wakae tena bungeni warevorke azimio hilo na kufunga huo mjadala inategemea na uwamuzi wao wananchi. Kusema kweli bunge haliko chini ya Dubai hata sheria za kimataifa haziwezi kuli zuia ndio maana ya sovereignity of parliament kwa hivyo uamuzi wa Bunge utaheshimiwa.

Jambo la mwisho kama ninavyopenda kusema kuhusu mchakato mzima wa ubinafsishaji. Kila mara ubinafsishaji unahalalishwa kwa kusema kwamba sisi kama serikali hatukuwa na tija katika uendeshaji wa shirika hili, hiki ni kisingizio na kimetumika kubinafsisha mashirika yaliyokuwa yanaleta faida, nani anataka shirika linalotia hasara? Kuna sekta nyeti katika uchumi huwezi kuweka mikononi mwa watu na bandari ni sekta nyeti mojawapo, huwezi kuiweka mikononi mwa watu kwa sababu mbalimbali.

Mali yetu yote tuna export kupitia bandari, madini yetu yote yanapitia bandarini, mali yote tunayoleta kutoka nje yetu na ya wengine inapitia bandari na mali zenyewe ni sensitive. Sasa huwezi kuweka hiyo bandari mikononi mwa private company bila ya wewe kuwa na control na all say power hujui wataforward nini kupitisha ama watafaidika nini na huwezi kuzuia.

Kama kuna tatizo la ufanisi ni bora kuajiri management kutoka nje, ingawa itakuwa chini yetu kama vile Dubai wanavyoajiri watu kutoka nje kwani lazima ubinafsishe? Na hii sio ukodishaji kama watu wanavyosema ni ubinafsishaji kwa sababu unaweka control mikononi mwa private company bila ushindani kinyume na katiba ya nchi.

Kwa upande wangu mi naona kuna sekta nyeti za uchumi ambazo ni lazima zibaki mikononi mwa serikali na bandari ni moja wapo, fedha ni muhimu na nishati ni yatatu. Unaweza kubinafsisha hoteli au maduka lakini sio bandari wala sekta ya fedha, hata ukiruhusu mabenki binafsi lakini ni lazima uwe na commercial bank ya serikali ni lazima." Amesema Prof Shivji kwenye mjadala huo.
Shivji hana uelewa wowote huyo mzee, waulize Lord denning na Faizafoxy wao ndio wajuz wa sheria kuhusu masuala yote ya mikataba na uelewa mpaka kuhusu foreign investors!! Over 🤣🤣🤣🤣
 
Jambo moja la msingi alipaswa Rais ni kuwashughulikia wanasheria wote walio kuwa kwenye timu hii ya mkataba huu kwani ni Wahaini na wahujumu uchumi.
Upo serious? Umewaza pande zote au upande mmoja tu?
 
Back
Top Bottom