Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Uhaini wao ni nini ?!!Jambo moja la msingi alipaswa Rais ni kuwashughulikia wanasheria wote walio kuwa kwenye timu hii ya mkataba huu kwani ni Wahaini na wahujumu uchumi.
Uhujumu uchumi wao ni nini ?!!
Yaani kwa kuwa una MAWAZO MBADALA dhidi ya hao wanasheria basi wahukumiwe kwa mawazo yao waliyoyatoa na kuridhiwa na "think tankers" wa nchi?!!![emoji15][emoji15][emoji1787]