Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Sijaona popote mtu alipotaja vigezo mahususi vya kisheria, taratibu au sera katika kugawa mikoa. Labda uniambie ni posti namba ngapi.
Ni swali halali, ambalo sina nafasi ya kulijibu wakati huu, lakini ninajuwa ukiweka juhudi kidogo tu kutafuta taarifa hiyo utapata jibu.
Tayari hata kwenye mada hii hii, baadhi yake vimekwishatajwa.