Prof. Tibaijuka: Chato haina sifa kuwa Mkoa
Sijaona popote mtu alipotaja vigezo mahususi vya kisheria, taratibu au sera katika kugawa mikoa. Labda uniambie ni posti namba ngapi.
Ni swali halali, ambalo sina nafasi ya kulijibu wakati huu, lakini ninajuwa ukiweka juhudi kidogo tu kutafuta taarifa hiyo utapata jibu.

Tayari hata kwenye mada hii hii, baadhi yake vimekwishatajwa.
 
Serikali ndio huwa inatumia hivi vigezo nane katika kugawa mikoa?
Naomba tuache porojo pembeni. Tuchukueni mikoa 5 ya sasa tulinganishe na mkoa pendekezwa kwa vigezo vinane:

1. Area in aquarelle kilometres
2. Longest route in kilometres within the Region
3. Population
4. Number of District, Regional and Referral hospitals
5, Number of secondary schools
6, number of universities.
7. GDP
8. GDP PER CAPITA

Mikoa hii: SINGIDA, KILIMANJARO, KATAVI, LINDI, KUSINI PEMBA
 
Hizo Wilaya kusahaulika ni ubinafsi na ukabila tu! Ukishasema hivyo, itakuwa ni sababu ya kuikata biharamulo kutoka Kagera. Wahaya hawajawahi kuiona kama ni wilaya inayostahili kuwa sehemu ya Kagera. Huyo Tibaijuka anajifanya ujuaji wa kizembe tu maana ndo wanaoongoza ku-despise wilaya wanazoziona eti siyo za wahaya halisia. Ngara, Karagwe wote wanaonekana kama wacahafuzi wa mkoa wa Kagera machoni mwa akina Tibaijuka. Ni sawa na akina Mbowe wanaposema Kilimanjaro wanawaona wapare kama wavamizi.
Bora Karagwe na Kyerwa wanaendana vizuri na wahaya ila watu wa Ngara na Biharamulo ni bora tu wakamegwa wakaunganishwa na washuti wenzao wa Kakonko. Wanaendana kabisa.
 
Walitumia ULAFI NA UPENDELEO!!! Sasa mama hana sababu ya kuiga tabia chafu za namna hiyo kwani yeye ni muumini wa dini inayoamini kutenda haki!!!
Hata madiwani wao wenyewe wamekataa kuanzishwa huo mkoa
Screenshot_20210530-213639.jpg
 
Acheni uzushi na propaganda. Si ajabu watu wanawaita 'sukuma gang'.

Umbali wa kutoka chato mjini mpaka ngara mjini ni kilometa 257.

Ukweli utabaki pale pale Chato haina hadhi ya kuwa Mkoa na pia haina geograhical au historical prerequisites za kufanywa kuwa makao makuu ya mkoa. Yaan ukiangalia history, population, geograghia ya eneo husika na social ecomical factors zingine huwezi kuifanya chato kuwa makao makuu ya Mkoa wowote ule ndani ya kanda ya ziwa.
View attachment 1802732
Search vzr haiwez kuwa hivo
 
..mkoa wa Geita ubadilishwe jina na kuitwa mkoa wa Chato tuondokane na usumbufu na mizozo isiyo na tija.

This is a good proposition kuondokana na mzizi wa fitina !!

Tukumbuke tu kuwa maamuzi mengi ya mwendazake likiwemo hili la mkoa wa Chato pamoja na kujenga international stadium ni maamuzi ya kufikirisha sana kwa akili ya kawaida ya upembuzi yakinifu!!!
 
Mimi nadhani kama ni lazima kumuezi huyo shujaa wao basi mkoa wa Geita ubadilishwe jina uitwe CHATO na makao makuu ya mkoa yahamishiwe wilaya ya CHATO kuokoa au kupunguza matumizi yasiyo na ulazima.
Thubutuuuu koma kabisa.
 
Back
Top Bottom