Ni swali halali, ambalo sina nafasi ya kulijibu wakati huu, lakini ninajuwa ukiweka juhudi kidogo tu kutafuta taarifa hiyo utapata jibu.
Tayari hata kwenye mada hii hii, baadhi yake vimekwishatajwa.
Hakuna vigezo kabisa ni heshima tuuuu labda mbaita legacy inatafutwa kwa nguvu
I don't think Rais SSH wants to create such a precedent!!!
Naomba tuache porojo pembeni. Tuchukueni mikoa 5 ya sasa tulinganishe na mkoa pendekezwa kwa vigezo vinane:
1. Area in aquarelle kilometres
2. Longest route in kilometres within the Region
3. Population
4. Number of District, Regional and Referral hospitals
5, Number of secondary schools
6, number of universities.
7. GDP
8. GDP PER CAPITA
Mikoa hii: SINGIDA, KILIMANJARO, KATAVI, LINDI, KUSINI PEMBA
Bora Karagwe na Kyerwa wanaendana vizuri na wahaya ila watu wa Ngara na Biharamulo ni bora tu wakamegwa wakaunganishwa na washuti wenzao wa Kakonko. Wanaendana kabisa.Hizo Wilaya kusahaulika ni ubinafsi na ukabila tu! Ukishasema hivyo, itakuwa ni sababu ya kuikata biharamulo kutoka Kagera. Wahaya hawajawahi kuiona kama ni wilaya inayostahili kuwa sehemu ya Kagera. Huyo Tibaijuka anajifanya ujuaji wa kizembe tu maana ndo wanaoongoza ku-despise wilaya wanazoziona eti siyo za wahaya halisia. Ngara, Karagwe wote wanaonekana kama wacahafuzi wa mkoa wa Kagera machoni mwa akina Tibaijuka. Ni sawa na akina Mbowe wanaposema Kilimanjaro wanawaona wapare kama wavamizi.
Wengine waliomtangulia SSH walitumia vigezo gani kugawa mikoa?
Hata madiwani wao wenyewe wamekataa kuanzishwa huo mkoaWalitumia ULAFI NA UPENDELEO!!! Sasa mama hana sababu ya kuiga tabia chafu za namna hiyo kwani yeye ni muumini wa dini inayoamini kutenda haki!!!
Hata madiwani wa huko wamerukwa na akilimama anatema povu kama karukwa na akili
Imeshapita hiyo mkuu!! Acha kupoteza muda wako!Hata madiwani wao wenyewe wamekataa kuanzishwa huo mkoaView attachment 1802982
Search vzr haiwez kuwa hivoAcheni uzushi na propaganda. Si ajabu watu wanawaita 'sukuma gang'.
Umbali wa kutoka chato mjini mpaka ngara mjini ni kilometa 257.
Ukweli utabaki pale pale Chato haina hadhi ya kuwa Mkoa na pia haina geograhical au historical prerequisites za kufanywa kuwa makao makuu ya mkoa. Yaan ukiangalia history, population, geograghia ya eneo husika na social ecomical factors zingine huwezi kuifanya chato kuwa makao makuu ya Mkoa wowote ule ndani ya kanda ya ziwa.
View attachment 1802732
..mkoa wa Geita ubadilishwe jina na kuitwa mkoa wa Chato tuondokane na usumbufu na mizozo isiyo na tija.
Sisi wanageita hatuitaki Chato. Iondoke tu.Sisi wana Kagera tunaimiss Kagera ya zamani na wilaya zake zote
Thubutuuuu koma kabisa.Mimi nadhani kama ni lazima kumuezi huyo shujaa wao basi mkoa wa Geita ubadilishwe jina uitwe CHATO na makao makuu ya mkoa yahamishiwe wilaya ya CHATO kuokoa au kupunguza matumizi yasiyo na ulazima.
Kutoka Moshi Kwenda Arusha mbona Kilomita 80 tu ?Inshu sio kujengeka, kuna vigezo vingi tu haikidhi, yaani kutoka geita hadi chato ni kama km 100!!eti na penyewe pawe mkoa?!!
Wewe mwana GEITA hutaki kumuezi shujaa wenu?Thubutuuuu koma kabisa.