Prof. Tibaijuka: Kwa sheria ya Mipango Miji ilitakiwa Viwanja 4 vya high density viunganishwe mbele na nyuma kujenga ghorofa Kariakoo!

Prof. Tibaijuka: Kwa sheria ya Mipango Miji ilitakiwa Viwanja 4 vya high density viunganishwe mbele na nyuma kujenga ghorofa Kariakoo!

Badala ya kuhamasisha uokoaji,amekalia kukosoa wakati alikuwa waziri husika,ni unafiki.hivi anajua bei ya plot kariakoo, utanunua viwanja vingapi na kwa bei gani ili uweze kupata lowdensity na uwekezaji gani utakaorudisha uwekezaji huo.sometimes tusiwe wajuaji against uhalisia, Manhatan imejengwa kwenye low density? Ujenzi wa maghorofa ni swala la kitaalam, Burj khalifa lina ghorofa karibu 200 limetumia sqm ngapi? Muhimu ni kuwekeza kwenye ukaguzi wa mara kwa mara wa mjenzi na ujenzi husika unapofanyika ili kijengwe kilichobora kulingana na design na Boq, pia athari za kimazingira na kwa majengo mengine
Suala la nafasi sio la jengo Tu, je utoaji wa taka upoje, magari kupita na maegesho upoje, watu kuweza kufanya biashara na usalama wao upoje ikiwa tatizo litatokea
 
Mbobezi wa Makazi duniani Prof Tibaijuka amesema pale Kariakoo Kwa mujibu wa sheria ya Mipango Miji ilitakiwa Viwanja 4 vya High density viunganishwe mbele na nyuma Ili Kujenga ghorofa

Nimeogopa sana Kwa yale maghorofa ya Kikinga yaliyojaa Kariakoo na Manzese

Baadae Mlale unono 🐼
Kuna mdau anajiita think different kwenye X kueleza kwamba

See new posts



Conversation​










Think Different

@lifeofmshaba
Follow

Baada ya miaka 5 majenge mengi ya Kariakoo yatakuwa yanadondoka kama embe dodo zilizoifa mengi yana umri wa miaka 10 mpaka 15 Yalijengwa sana wakati wa JK na mwanzoni mwa Magufuli, Yamejengwa na Nondo fake zisizo na viwango, sio Kariakoo tu kuna chance majengo mengi sana yatadondoka in the next 15 years kutokana na ubora wa nondo, Serikali imeua taasisi kama TBC vifaa vya ujenzi vinatengenezwa bila udhibiti, vinaingizwa nchi vikiwa viwango vibovu sanasektaa nyingine tutakujalia na kusaga meno ni maji, mabomba fake ni mengi sana yamefikiwa chini, tutaanza upya kila kitu kama ilivyo kwenye barabaraCCM wangeondoka tu
 
Nadhani ana pensheni cha UN. Mawaziri hawalipwi pension. Kiinua mgongo cha wabunge kinalipwa kila Bunge linapovunjwa kwa wabunge wote.

Amandla...
Tibaijuka alikuwa mtumishi wa umma, alikuwa lecture UDSM, na pia alifanya kazi UN, ingawa nafahamu pia ana biashara binafsi. Lakini anapata Pension kwa utumishi wake serikalini.
 
Mbobezi wa Makazi duniani Prof Tibaijuka amesema pale Kariakoo Kwa mujibu wa sheria ya Mipango Miji ilitakiwa Viwanja 4 vya High density viunganishwe mbele na nyuma Ili Kujenga ghorofa

Nimeogopa sana Kwa yale maghorofa ya Kikinga yaliyojaa Kariakoo na Manzese

Baadae Mlale unono 🐼
Mbona hapo anapoishi Mikocheni A alipogia kelele kisijengwe kituo cha mafuta ndio kimeshamiri na club ya 364 imegeuzwa kuwa supermarket yuko kimya?

Alishawahi kuwa waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi alifanya mabadiliko gani kuonesha umahiri wake alipokuwa UN Habitat?

Kilichosababisha ghorofa kutenguka kiuno ni RUSHWA full stop
 
Profesor kaelezea maoni yake kuhusu majumba ya Kariakoo.
Screenshot_20241119_100559_com.android.gallery3d.jpg


Huu utawala wa CCM ni kama utawala wa Familia ya Omari Bonho wa Gaboni.

Utawala wa kifisadi
 
1. Mmiliki wa Jengo yupo wapi?
NANI NI MMILIKI WAJENGO.
2. Ramani za jengo ziko wapi??
Uokozi bila Ramani.

3. Ghorofa nne watu wanaokolewa siku nne na sio moja. TAIFA LIMEOZA.

4. Selikali ipo Radhi kununua Mabomu, magali ya Jeshi nk kuizuia CHADEMA na Inashindwa KUNUNUA VIFAA VYA UOKOAJI kwa Raia wake.

5. Niffer amejipeleka Kituoni, Yuko wapi mmliki wa Jengo.

6. Je ni nani aliyetoa vibali vya kujenga na kubomoa anakamatwa Niffer.
TANZANIA YANGU MASIKINI

ZIMA MOTO NA UOKOAJI NI SAWA NA HAKUNA KITU ZERO KABISA.
JESHI LIVUNJWE HARAKA

KARIAKOO HAKUNA PAKING HAKUNA OPEN SPACE HATA MOJA

MAJENGO MENGI KARIAKOO YAMEOZA
 
Back
Top Bottom