Profesa Adolf Mkenda mulika vyuo vikuu vyenye utitiri wa programmes ambazo ni irrelevant, unmarketable

Profesa Adolf Mkenda mulika vyuo vikuu vyenye utitiri wa programmes ambazo ni irrelevant, unmarketable

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Mhe.waziri wa elimu ukiwa kama mwanazuoni, saidia kumulika vyuo vikuu vimekuwa hodari kubuni programs ambazo ni sawa na chuma ulete ... Yaan wanakwapua pesa za wananchi / wasaka elimu ya juu (degree level) programs wanazo anzisha unakuta hazina soko ktk soko la ajira kabisaa yaan ni aibu ata kutamka mtu una degree ya progrm fulani

Kuna graduates ambao ata post za UTUMISHI tu wao kuhitaji izo professional ni nadra sanaaa lkn progrmms izo bado zina dunda hadi leo graduates wanaongezeka mtaani , no jobs na umachinga ndio huo msalaaa juu ya msala,

Kama wizara ya Maji iliweza kufuta miradi KICHEFUCHEFU., basi sasa ni wakat wa Wizara ya Elimu kufuta DEGREE PROGRAMS KICHEFUCHEFU
 
Mhe.waziri wa elimu ukiwa kama mwanazuoni, saidia kumulika vyuo vikuu vimekuwa hodari kubuni programs ambazo ni sawa na chuma ulete ... Yaan wanakwapua pesa za wananchi / wasaka elimu ya juu (degree level) programs wanazo anzisha unakuta hazina soko ktk soko la ajira kabisaa yaan ni aibu ata kutamka mtu una degree ya progrm fulani

Kuna graduates ambao ata post za UTUMISHI tu wao kuhitaji izo professional ni nadra sanaaa lkn progrmms izo bado zina dunda hadi leo graduates wanaongezeka mtaani , no jobs na umachinga ndio huo msalaaa juu ya msala,

Kama wizara ya Maji iliweza kufuta miradi KICHEFUCHEFU., basi sasa ni wakat wa Wizara ya Elimu kufuta DEGREE PROGRAMS KICHEFUCHEFU
Kama hazina soko kwanini zipate watu?hujafanya utafiti wa kutosha kuja na hilo pendekezo
 
Kozi kama procurement inabidi ifutwe, iwe sub subject kwa wahasibu.

Ukisoma procurement labda upate kazi serikalini lakini vinginevyo haina umuhimu wowote.

Archeology
Anthropology degree
History.
Nk
Nashauri Kozi kama procurement and supply chain management inabidi ifutwe, iwe sub subject kwa wahasibu pamoja na wafamasia.
 
Kama hazina soko kwanini zipate watu?hujafanya utafiti wa kutosha kuja na hilo pendekezo
Tukichukulia udahili wa miaka 10 iliyo pita 2012 turudi nyuma kidogo 2011 TCU ndio walio kuwa wana wapangia watu vyuo

Mfumo ule ulikuwa mbovu sana, muombaji alikuwa anatupwa chuo ambacho yy alikiweka chaguo la mwisho kulingana na ufaulu wake, unakuta kachaguliwa lile chaguo la mwisho na mkopo kapewa, zaman mkopo wazazi nao walikuwa wana pressure wakiamin iyo ndio fursa pekee ya kumpunguzia zigo la kusomesha mtoto ,

so mtu anakwenda tu kusoma programm ambayo hata utumishi tu (serikal) izo kada ni nadraaa kuita ....binafsi naamin usaili wa utumishi ndio usahili pekee ambao mtoto wa maskin anaweza akatoa coz hakunaga vi memo, mtoto wa fulani
 
Mhe.waziri wa elimu ukiwa kama mwanazuoni, saidia kumulika vyuo vikuu vimekuwa hodari kubuni programs ambazo ni sawa na chuma ulete ... Yaan wanakwapua pesa za wananchi / wasaka elimu ya juu (degree level) programs wanazo anzisha unakuta hazina soko ktk soko la ajira kabisaa yaan ni aibu ata kutamka mtu una degree ya progrm fulani

Kuna graduates ambao ata post za UTUMISHI tu wao kuhitaji izo professional ni nadra sanaaa lkn progrmms izo bado zina dunda hadi leo graduates wanaongezeka mtaani , no jobs na umachinga ndio huo msalaaa juu ya msala,

Kama wizara ya Maji iliweza kufuta miradi KICHEFUCHEFU., basi sasa ni wakat wa Wizara ya Elimu kufuta DEGREE PROGRAMS KICHEFUCHEFU
Duuuuu
 
Kozi kama procurement inabidi ifutwe, iwe sub subject kwa wahasibu.

Ukisoma procurement labda upate kazi serikalini lakini vinginevyo haina umuhimu wowote.

Archeology
Anthropology degree
History.
Nk
Public relations
Sociology
 
Bachelor of library and information studies (BALIS) is non sense [emoji23][emoji23][emoji23] eti unaweza kuwa hata PS.
 
Kuna vyuo vinapita maofisini kuokoteza watu wakusoma vyuoni mwao hadi masters. [emoji848][emoji848]

Yani wanaokota hadi vilaza [emoji851][emoji848][emoji848]

Inashangaza sana.

Yani imekuwa biashara ilimradi wapate ada basi lakini ubora wa elimu hakuna kitu.

Tutakuja kuwataja vile vyuo mnavyopita maofisini siku hizi kuokoteza watu wa kuja kusoma masters ambao hata Sifa ni mashaka matupu na mnaweka mambo rahisi ilimradi wamalize mpate ada tu basi!

Bure kabisa !
 
Bachelor of library and information studies (BALIS) is non sense [emoji23][emoji23][emoji23] eti unaweza kuwa hata PS.
Seriously.... Kuna kozi ya aina hii??🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom