luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
- Thread starter
- #21
Ata Udsm ipo iyo information studies, kama sijakoseaSeriously.... Kuna kozi ya aina hii??🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata Udsm ipo iyo information studies, kama sijakoseaSeriously.... Kuna kozi ya aina hii??🤣🤣🤣
Highway engineering.Engineering je?
[emoji769]✓Tunasubiri tunaitaji majina ya vyuo [emoji769]Kuna vyuo vinapita maofisini kuokoteza watu wakusoma vyuoni mwao hadi masters. [emoji848][emoji848]
Yani wanaokota hadi vilaza [emoji851][emoji848][emoji848]
Inashangaza sana.
Yani imekuwa biashara ilimradi wapate ada basi lakini ubora wa elimu hakuna kitu.
Tutakuja kuwataja vile vyuo mnavyopita maofisini siku hizi kuokoteza watu wa kuja kusoma masters ambao hata Sifa ni mashaka matupu na mnaweka mambo rahisi ilimradi wamalize mpate ada tu basi!
Bure kabisa !
Oyaa kukumsela mpka hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daahHuman resources management