Profesa Adolf Mkenda mulika vyuo vikuu vyenye utitiri wa programmes ambazo ni irrelevant, unmarketable

[emoji769]✓Tunasubiri tunaitaji majina ya vyuo [emoji769]
 
Quality ni wajibu wa TCU NA NACTE
Choice ni wajibu wa muombaji kama degree haina soko (yaani chuo hakipati wanafunzi) basi chuo husika kitaifuta.
Kazi ya waziri si kufuta programs bali kutengeneza na kusimamia sera.
 
Hizo nyingine zinatakiwa kuwa kozi kwenye degree programme, hii itajenga uwezekano wa mhitimu kuwa na option nyingi zaidi kwenye soko la ajira. Jaza kozi za kutosha kwenye degree programme kuweka discipline hasa kwa hawa watoto wa siku hizi wanaochukulia kusoma kama jambo la mzaha mzaha tu, muda wote ni kuzunguka huku na kule na kuchati kwenye smartphone....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…