kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Hapa sasa sukusu gang watakosa usingizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea ukweli mtupu watu wanaogopa kumueleza ukweli huyu mzee ni hovyoUtadhani ana PhD ya political science, hadi leo analia lia na nafasi ya CAG? Mbona halilii nafasi yake UD? Nilishamuona ni mtu wa hovyo tu! always comments zake zinazuiliwa na mambo ya kidini. Ni mdini.
Aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Tanzania (CAG), Profesa Mussa Assad amesema ni vizuri kuwa na Katiba Mpya lakini vizuri kuwa na watu wa kutekeleza Katiba hiyo sawasawa.
Amesema hayo alipoenda kutoa maoni yake mbele ya Kikosi Kazi cha Rais, leo Mei 19, 2022 ambapo amesisitiza umuhimu wa kuwa na utawala bora Nchini.
“Tumezungumza namna ya kuongeza utawala bora, Taasisi kama Bunge, Serikali, Mahakama zote ni muhimu kufanya kazi inavyotakiwa, ndio maana miaka hii iliyopita wote tulifika mahala wote tukawa tunaogopa kusema chochote kwa kuwa kulikuwa na mtu ambaye hakuna mtu ambaye anaweza kumsikiliza,” - Profesa Assad.
Ni muhimu azungumziwe, bila kuzungumziwa watu watajifunza vipi? Hao akina Hitler au Idd Amin mpaka leo wanazungumziwa itakuwa huyu dictator wa juzi kati hapa ndiyo asizungumziwe?Kuna watu wana udhaifu wa kutosamehe waliokufa juu ya mapungufu yao,wataendelea kuyasema tu.
Professa assad ni mtu mzima lakini katika hili naona kila siku vijembe kwa magufuli,kama ana lake moyoni basi haliishi tu tokea alipoanza kumsema ?
Hali ya utawala wa magufuli ulikuwa unafahamika na kila mtu hapa nchini,hakuna haja ya kuanza kupiga vijembe kwa jambo ambalo liko wazi kwa watu.
Profesa aatuli,atoe mawazo aachane na marehemu,inatia kinyaa sana kumzungumzia mtu ambaye ameshakufa
Profesa mwenye dharau na Kibri ambaye anajifanya ni mjuzi wa kila kitu.Mtu alishafariki dunia lakini bado unazidi kumongeleaongelea.Kama na kuondolewa kile cheo,ni wengi wanaondolewa lakini wanatazama mbele na siyo kuongeaongea mambo ya nyuma utafikiri wazee wa vijiweni.Alishawahi kusema eti tulikuwa na 'Dubwana' hapa.Kejeli na majina yasiyofaa kuwaita watu wengine siyo sifa nzuri katika Uislam na Muislam kama anavyoonekana ila Mwenyezi Mungu ndiye anamjua zaidi.Acha' KIBRI' hiyo ni sifa ya Muumba wako,siyo wewe.Aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Tanzania (CAG), Profesa Mussa Assad amesema ni vizuri kuwa na Katiba Mpya lakini vizuri kuwa na watu wa kutekeleza Katiba hiyo sawasawa.
Amesema hayo alipoenda kutoa maoni yake mbele ya Kikosi Kazi cha Rais, leo Mei 19, 2022 ambapo amesisitiza umuhimu wa kuwa na utawala bora Nchini.
“Tumezungumza namna ya kuongeza utawala bora, Taasisi kama Bunge, Serikali, Mahakama zote ni muhimu kufanya kazi inavyotakiwa, ndio maana miaka hii iliyopita wote tulifika mahala wote tukawa tunaogopa kusema chochote kwa kuwa kulikuwa na mtu ambaye hakuna mtu ambaye anaweza kumsikiliza,” - Profesa Assad.
Pia napinga kwa wao kuzungumzwa kwa mifano mibaya,sio kwwmba napinga kuzungumzwa magufuli tu bali mpaka nyerere napinga asizungumzwe.Mbona Nyerere anazungumzwa??
Pia napinga na sikubaliani na wanaowasema vibaya watu hao sio kwa magufuli tu.Hitler, Idd Amin, Mobuttu, Bokassa wanasemwa mpaka leo sembuse magufuli.?!
Muafaka lazima uwepo hata kama hatukubaliana.Na kila mtu akisikilizwa tutafikia muafaka?
Inategemea na aina ya ushauri kwa sababu, kuna baadhi ya mambo ukishauriwa lazima utekeleze vinginevyo utaumia.Mtu anapotoa ushauri sio lazima utekelezwe.
Kwahiyo kusema mtu hashauriki wakati ana uhuru wa kupokea au kutopokea ushauri ni kumnyima haki ya kufanya maamuzi.
Unaweza kukuta akaboronga, unajua kukosoa ni rahisi sana kuliko kutenda na hasa wabongo tulivyo na tabia ya kupigania tusiyoyaamini.2025 tungetest mitambo kwa Prof Assad angalau miaka 5 tu. Anaupiga mwingi sana
Kama vile Lissu alivyomchambua Nyerere mkamjia juu anamsema vibaya baba wa taifa?Mbona Nyerere anazungumzwa??
Sana!nimesikia kama Magufuli amechambuliwa. Naungana na Prof nchi ilipoteza uelekeo
Mbona hujamuweka Nyerere ambaye ukimsema unajiwa juu na watu, unambuka Lissu alivyoma Nyerere nini kilitokea?Hitler, Idd Amin, Mobuttu, Bokassa wanasemwa mpaka leo sembuse magufuli.?!
Assad na mwenzie Ramadhan Dau ukiwaona utafikiri ni watu wa maana kumbe ni wanafiki ambao chini ya ngozi yao umejaa ubaguzi wa kidini uliokithiri!! Kwa wale wanaowafahamu toka wakisoma UDSM mpaka walipoanza kazi nje ya chuo kikuyu watakubaliana na observation yangu!profesa naye atenganishe muda wa smile na kuuchuna. mimi siku zote namuona akiiuchna tuu!
Nani sasa wa kujifunza hao viongozi wa ccm?Ni muhimu azungumziwe, bila kuzungumziwa watu watajifunza vipi? Hao akina Hitler au Idd Amin mpaka leo wanazungumziwa itakuwa huyu dictator wa juzi kati hapa ndiyo asizungumziwe?
Goodness udikteka wake ndiyo legacy aliyoiacha na proof ni hivi anavyozungumziwa.
Bila Mungu kuingilia kati hii nchi ingeharibika sana,....in H.Rungwe's voice.yule baba kaburini ndiko sehemu sahihi kuweko maana kama angelikuweko mpaka leo hatujui wangapi wangebaki na mavi yao nyumbani
Kila raia ana cha kujifunza.Nani sasa wa kujifunza hao viongozi wa ccm?
Ni kweli hawa wote ni watu wa brabra tu! Magufuli hakuhitaji watu wajinga wajinga kama huyo mdini! Unashuti ujinga halafu akusikilize! Kwani hawakuwahi kumsikia Makamba anasema alipihiwa simu na Magufuli kuombwa ushauri lakini Magufuli baada ya kuusikiliza ushauri ile akamwambia ushauri wako sio mzuri! Sasa huyu nae anasema alikuwa hataki ushauri kivipi? Stupid Professor!Utadhani ana PhD ya political science, hadi leo analia lia na nafasi ya CAG? Mbona halilii nafasi yake UD? Nilishamuona ni mtu wa hovyo tu! always comments zake zinazuiliwa na mambo ya kidini. Ni mdini.