Profesa Assad: Katiba Mpya sawa ila isitupe mtu ambaye hawezi kumsikiliza mtu yeyote kama ilivyokuwa

Profesa Assad: Katiba Mpya sawa ila isitupe mtu ambaye hawezi kumsikiliza mtu yeyote kama ilivyokuwa

Kama Katiba itakuwa imeiwezesha nchi kuwa na taasisi imara , Rais hatakuwa na nafasi ya kufanya mambo kwa utashi wake. Mfano mzuri ni jinsi Marehemu Magufuli alivyokuwa anakiuka Katiba kwa kutumia fedha nyingi kujenga kiwanja cha Ndege kwao CHATTLE na pia kununua Ndege bila kupata idhini ya Bunge !! Tukiwa na Bunge imara lenye wabunge waliopatikana kwa ridhaa ya wananchi, Rais akikiuka Katiba atakuwa impeached na hata kuachishwa kazi!!

Kama Katiba itakuwa imeiwezesha nchi kuwa na taasisi imara , Rais hatakuwa na nafasi ya kufanya mambo kwa utashi wake. Mfano mzuri ni jinsi Marehemu Magufuli alivyokuwa anakiuka Katiba kwa kutumia fedha nyingi kujenga kiwanja cha Ndege kwao CHATTLE na pia kununua Ndege bila kupata idhini ya Bunge !! Tukiwa na Bunge imara lenye wabunge waliopatikana kwa ridhaa ya wananchi, Rais akikiuka Katiba atakuwa impeached na hata kuachishwa kazi!!
Wanaopanda Ndege wanajua alifanya nini! Wewe mjinga endelea kuusikiliza maneno matamu lakini matokeo zero!
 
Kuna watu wao wanafikiri katiba mpya ndio kila kitu katika nchi ambayo katiba iliyopo haiheshimiki.
Juu ujinga unaitwa Katiba mpya ni kichekesho hata hii ya sasa utekelezaji wake umetushinda! Badala ya kufundisha uzalendo kwa taifa tunahangaika na ujinga unaitwa Katiba mpya! Katiba ni mwandishi kama yalivyo kwenye vitabu vya dini bila kuyatekeleza ni kelele tu! Katiba ya kugawana vyeo! Taifa limejaa wajinga akitokea mzalendo zinaanza kelele anaudikteta! Unafiki unafiki!
 
Aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Tanzania (CAG), Profesa Mussa Assad amesema ni vizuri kuwa na Katiba Mpya lakini vizuri kuwa na watu wa kutekeleza Katiba hiyo sawasawa.

Amesema hayo alipoenda kutoa maoni yake mbele ya Kikosi Kazi cha Rais, leo Mei 19, 2022 ambapo amesisitiza umuhimu wa kuwa na utawala bora Nchini.

“Tumezungumza namna ya kuongeza utawala bora, Taasisi kama Bunge, Serikali, Mahakama zote ni muhimu kufanya kazi inavyotakiwa, ndio maana miaka hii iliyopita wote tulifika mahala wote tukawa tunaogopa kusema chochote kwa kuwa kulikuwa na mtu ambaye hakuna mtu ambaye anaweza kumsikiliza,” - Profesa Assad.
inamaana katiba mpya ipunguze nguvu na
kinga ya raisi kustakiwa kama akifanya madudu akiwa madarakani .
 
Mtu anapotoa ushauri sio lazima utekelezwe.

Kwahiyo kusema mtu hashauriki wakati ana uhuru wa kupokea au kutopokea ushauri ni kumnyima haki ya kufanya maamuzi.
Pro.anamaanisha Udikteta nawewe na Fuvu lako lilivyo gumu umeshindwa kumuelewa Ha ha ha
 
Kama vile Lissu alivyomchambua Nyerere mkamjia juu anamsema vibaya baba wa taifa?
Lisu mwenyewe brabra nyingi tu! Saizi dishi lishayumba! Upumbavu wake ndo matokeo yake! Hata mkwe wake hawezi kumgonga! Kila kitu anajifanua unajua kama ilivyo huyu Assad!
 
Aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Tanzania (CAG), Profesa Mussa Assad amesema ni vizuri kuwa na Katiba Mpya lakini vizuri kuwa na watu wa kutekeleza Katiba hiyo sawasawa.

Amesema hayo alipoenda kutoa maoni yake mbele ya Kikosi Kazi cha Rais, leo Mei 19, 2022 ambapo amesisitiza umuhimu wa kuwa na utawala bora Nchini.

“Tumezungumza namna ya kuongeza utawala bora, Taasisi kama Bunge, Serikali, Mahakama zote ni muhimu kufanya kazi inavyotakiwa, ndio maana miaka hii iliyopita wote tulifika mahala wote tukawa tunaogopa kusema chochote kwa kuwa kulikuwa na mtu ambaye hakuna mtu ambaye anaweza kumsikiliza,” - Profesa Assad.
Dikteta alikuwa ni mtu hatari sn
 
Kama Katiba itakuwa imeiwezesha nchi kuwa na taasisi imara , Rais hatakuwa na nafasi ya kufanya mambo kwa utashi wake. Mfano mzuri ni jinsi Marehemu Magufuli alivyokuwa anakiuka Katiba kwa kutumia fedha nyingi kujenga kiwanja cha Ndege kwao CHATTLE na pia kununua Ndege bila kupata idhini ya Bunge !! Tukiwa na Bunge imara lenye wabunge waliopatikana kwa ridhaa ya wananchi, Rais akikiuka Katiba atakuwa impeached na hata kuachishwa kazi!!
Hapo kwenye taasisi imara ndiyo penyewe
 
Mtu anapotoa ushauri sio lazima utekelezwe.

Kwahiyo kusema mtu hashauriki wakati ana uhuru wa kupokea au kutopokea ushauri ni kumnyima haki ya kufanya maamuzi.
Nadhani issue siyo kushaurika ila ni kuheshimu katiba, kuheshimu sheria , kuheshimu rules of engagement, kujenga utamaduni wa demokrasia.
 
Pro.anamaanisha Udikteta nawewe na Fuvu lako lilivyo gumu umeshindwa kumuelewa Ha ha ha
Hilo ndilo lilolokuvutia wewe

Mimi lilolonivutia ni hilo na ni moja wapo ya mambo aliyoyazungumzia.
 
profesa naye atenganishe muda wa smile na kuuchuna. mimi siku zote namuona akiiuchna tuu!
Akiuchuna hatakosa kusikika na akikosa kusikika hatakosa uteuzi, kwasasa hamekosa Raha zote zakuwa kiongozi unajua ukizoea Raha na starehe yakuwa na cheo kikubwa ghafla ukinyangwa bila kutarajia lazima roho ikuume Kwa kukosa huduma za kutembea duniani kwa pesa za wajinga, viongoz wetu hawa wezi kuishi Kwa Raha nafuraha bila kwenda Ulaya na Marekani. Si unaona kikwete wa miaka sita iliyopita siyo kikwete sasa Leo kikwete anaweza kutembea Ulaya muda wowote akitakita na hakuna wakumnyima pesa.
 
Kwa lugha nyepesi "je uwezo wa Watu Kuisimamia katiba mpya upo?" Kama tunao uwezo tutafaidika sana na katiba mpya, lau kama hatuna watu wa kusimamia na kuitekeleza kinaweza kuwa kiroja!
Si mlisema Katiba mpya ndio muarobaini nyie au?

Kwa taarifa yenu South Africa,Kenya na Uganda Wana Katiba mpya tena nzuri ila upigaji na upuuzi mwingine uko pale pale..

Aliwashauri Bob Wine mkajua anawazingua unless Katiba mpya ni daraja la kuingiza wanasaiasa mafisadi wa huko Upinzani madarakani.
 
Kama Katiba itakuwa imeiwezesha nchi kuwa na taasisi imara , Rais hatakuwa na nafasi ya kufanya mambo kwa utashi wake. Mfano mzuri ni jinsi Marehemu Magufuli alivyokuwa anakiuka Katiba kwa kutumia fedha nyingi kujenga kiwanja cha Ndege kwao CHATTLE na pia kununua Ndege bila kupata idhini ya Bunge !! Tukiwa na Bunge imara lenye wabunge waliopatikana kwa ridhaa ya wananchi, Rais akikiuka Katiba atakuwa impeached na hata kuachishwa kazi!!
Kwa hiyo wizi wa Sasa unafanywa na taasisi sio? Kwani tatizo la Tanzania ni Rais au maana naona kila mnachoongea mnasema Rais
 
Tatizo la watanzania hawataki kukubali kwamba kiongozi mzuri anaongoza kwa mawazo yake na ahadi alizotoa kabla ya kuchaguliwa. Sasa kila mtu anataka ajizukie eti kumshauri. Ushauri ukikataliwa ooh hakubali ushauri. Hakubali ushauri wako kwani wewe ndio umechaguliwa kua rais?
Kwa mfano jpm alikua anasikiliza sana maoni ila alifuata maoni aliyoona yanafaa kufuatana na staili yake na jinsi yeye aliona sawa.
Yeye alijali maslahi ya umma. Kwa hivyo aliona mawazo yenye kuleta maendeleo ya umma ndio bora. Sasa kuna watu ushauri wao ni kupata suluhu ya maslahi yao binafsi rais akiwatolea nje ndio utasikia ooh sio msikivu.
Magufuli alikuwa kiongozi mzuri?
 
Prof. kasema vizur. Swali dogo tu. Hao watu/viongozi watakaosimamia utekelezaji wa katiba watapatikanaje na katika mazingira yapi ya kisheria na kisiasa kwa ajili ya kuwalinda katika utekelezaji wa majukumu hayo mazito.

Tusipuuze ukweli kwamba mpaka sasa tunayo katiba na mihimili yake - Serikali, Bunge na Mahakama. Tumekwama wapi mpaka tuanze kuzungumzia Katiba Mpya wakati zoezi la 2014 la katiba mpya yalijahitimishwa.
Hapa Tzn yatabadilika maandishi ila sio hulka za watu 😄😄
 
Si mlisema Katiba mpya ndio muarobaini nyie au?

Kwa taarifa yenu South Africa,Kenya na Uganda Wana Katiba mpya tena nzuri ila upigaji na upuuzi mwingine uko pale pale..

Aliwashauri Bob Wine mkajua anawazingua unless Katiba mpya ni daraja la kuingiza wanasaiasa mafisadi wa huko Upinzani madarakani.
Kwani mie hiyo Katiba yanisaidia nini? Hainiongezei kikombe cha kahawa wala karanga
 
Ili tuendelee tunahitaji wananchi wenye uthubutu wa kuwashughulikia viongozi ili viongozi wawatumikie wananchi.
Kwa sasa viongozi wanafanya wanalotaka kwa udanganyifu kuwa ni maslahi ya uma.
Kinyume chake viongozi wataunda syndicate ya upigaji na kulindana.
 
Back
Top Bottom